pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
May be ujanisoma vizuri, msimamo ni kwamba hakuna katiba hakuna uchaguzi.Acha kujidanganya, nafasi ya URAIS Kwa KATIBA hii hutoipata, usijitoe UFAHAMU!!!!!
JECHA unamkumbuka? SheIn alitamka na akasikika akisema nitakubali nimeshindwa,
Ben akamjibu nenda Kiri ww umeshindwa, na Si CCM.
Kama uko serious ungana na HARAKATI kuhakikisha hakuna UCHAGUZI kabla ya KATIBA mpya.
Na huyo mwingine wa Ccm atakuja na kipi kipya cha kurekebisha mambo ?? Wanasemaga kila chenye mwanzo kina mwisho wake ! Na la kuvunda halina ubani !!Kwa hari ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Wana mabegi yao meusiCCM haitegemei kura kukaa madarakani acha upotoshaji wakijinga.
Mwamba Mimi sio mtu wa kulalama wa ushabiki wa kivyama, fuatilia mada zangu humu jukwaanijiwe kaondoka tayari hapa tuko na mama.
jikite kwenye mada tafadhali.
Umeamua kuwa negative, hayo uliyoandika sio maisha yako halisi. Umeamua kulialia tu.Kazi gani sasa, nikitaka nitegeshe genge nafukuzwa hadi nikodi nyumba. Unaweza ukachoma mahindi kwenye nyumba wewe?
Miradi aliyoacha JPM haitekelezeki pasipo kuwepo tozo. SGR peke yake ni trilioni 16 hujaongelea miradi mingine mikubwa.Unaweza ukaona vile,ila pesa 85% inaishia kwenye mifuko ya watu ,Kama nchi inafunguka why matozo yote mpaka kwenye mafuta?
Watanzania sio wajinga,
Hio sababu haina tofauti na jibu la kwanini Tz kuna inflation kuwa sababu ni vita ya urusi na ukraine. Ni kuishiwa hoja.Mtu wa namna hii tunaambiwa anahujumiwa? Mtu wa namna hii anajigamba eti huwa analala usiku wa Manane akijibu meseji. Unajiuliza meseji za aina gani anajibu ikiwa mambo yako ulivyoyaeleza hapo Juu?
KATIBA mpya italeta yafuatayo.May be ujanisoma vizuri, msimamo ni kwamba hakuna katiba hakuna uchaguzi.
That's nikasema ikiwa uchaguzi utafanyika.
Pili kuwa na katiba bado sio kigezo Cha wahuni kuiba kura, mkakati wa kulinda kura lazima kuwapo,
Mataifa makubwa pamoja na mifumo yao mizuri ya upigaji kura bado shida ya udukuaji kura upo,hata Uingereza wamebatilisha kupiga kura KWa Hofu ya kudukuliwa kura hizo ,sembuse kwetu hapa, ambapo wizi wa kura imekua desturi na mila
Una uhakika?Kinachomsaidia huyo mama ni kuwa ameondosha tu wasiojulikana basi....
Mengine yote ni zero
Kwani kwenye Ccm hakuna collective responsibility yakumsaidia mkuu ?? Ila itapatikana mpaka yeye aondoke kwanrza ?? Mimi nadhani kama yeye atashindwa au ameshindwa basi ni Ccmndio imeshindwa !! Sio MTU mmoja pekee !!!Wanamhujumu? Wanamhujumu yeye akiwa wapi? Anahujumiwa yeye AKILI za kujua anahujumiwa akiwa amezikodishia wapi? Anahujumiwa vipi ilhali ana Vyombo lukuki vya Dola vya kumkusanyia faarifa? Amewezaje kujua Magawio ya Mashirika ya Umma enzi za Magufuli yalikuwa yanakopwa Bank na ashindwe kujua kuwa anahujumiwa?
Tatizo letu Ni Unafiki. Alipoboronga Marehemu Magufuli hakuwa anahujumiwa ila huyu kila Failure anahujumiwa! Hivi Kwa nini hatutaki kuelewa kuwa Nchi hii kimahitaji na Changamoto zake haviwiani na uwezo wa Mama? Mungu sio mjinga kutuumba Kwa uwezo tofauti. Hata Malaika wanazidiana Uwezo. Mama HANA UWEZO WA KIAKILI wa kutosha kabisa kuongoza Nchi kama hii. Kama CCM wakiwa wakweli tu Kwa nafsi Zao na Kwa kuzingatia Mahitaji ya Watanzania basi hawatampa mama tena Nafasi. Mimi nkionana naye huo ukweli nitampa.
Uchumi ulibalance kwa wenye nazo na wasio nazoUle msemo ni kwa sababu ya kuwabana walio kuwa wanafuja mali za umma. Lakini watu walikuwa wabunifu kuanzisha biashara na wengi walibuni mbinu mbali mbali na uhuru wa kufanya hivyo ulikuwa mwingi. Kwa sasa bila pesa ndefu huwezi anzisha biashara. Maana lazima uwe na pesa ya pango. Pesa ziko na wachache.
Wewe ndio uko Zii hata ufanyaje huko mtaani ataingia 2030..Kwa hari ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
AnahisiaUna uhakika?
Wewe ndio uko Zii hata ufanyaje huko mtaani ataingia 2030..
Mbona tuko active na tunazidi kuupiga mwingi mkuu kama hivi 👇
Si KULALAMIKA ndugu, ni kutumia HAKI ya KIKATIBA Kutoa maoni.Mwamba Mimi sio mtu wa kulalama wa ushabiki wa kivyama, fuatilia mada zangu humu jukwaani
Mimi ni kupambana kitaa na nimefanikiwa Kwa Hilo, serikali kuilaumu wakati huna uwezo wa kubadilisha mambo ni sawa na Bure.
Ukiachana na ugumu wa maisha Tanzania tuna vijana wa hovyo sana ambao kazi yao ni kulalamika tu
upuuzi wako ni wa kusemea watu wengine,huo msimamo umeupataje?Kwa hari ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Mwambie amtukane hadharani.Anahisia