Kura zikipigwa leo, hakika anarudi zake kisiwani

Kura zikipigwa leo, hakika anarudi zake kisiwani

Tanzania tunahitaji katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi ili tupate Rais na wabunge makini.
Rais Samia anafanya vizuri sana ukilinganisha na mtangulizi wake.
Kwasasa ambadilishe Waziri wa Fedha,ili atutoe hapa tulipo kwama,mambo yaende
Acha akili za konokono. Tuonyeshe aliyoyafanya Vizuri zaidi. Nitajie jambo moja la kusisimua.
 
I

Inaelekea unayo shida ya kuelewa! Hebu tutajie rasimali asili za Mauritius zipatazo hata kumi kisha tuone hiyo utalii kama ndio the best. Hujui kuwa wanategemea Utalii kwa Sababu hawana Potential resources zingine. Hebu Rusia angekuwa anategemea utalii badala ya Gesi na Mafuta kipindi hiki cha Vita?
Aliyekwambia kuwa TZ hatuna rasilimali nyingine ni nani?. Mungu kuweka mbuga kubwa za wanyama hapa kwetu alijua anataka nini kutoka kwetu. Hivyo kufufua ATCL na kulifanya shirika lenye kuweza kushindana kimataifa ni maamuzi sahihi kabisa.

Tuna kilimo ambacho kinafanyiwa mapinduzi kwa sasa, lakini huwezi kuukwepa utalii kama unataka kukuza uchumi wa TZ.
 
Nashukuru kuona bado wenye akili kama wewe mpo,sio mijanaume na ndevu zao nimekaa oooh mama ana upiga mwingi,mara anahujumiwa,mara bora sasa kuna uhuru wakati kiuhalisia maisha magumu balaa kila mahala mafuta hayashikiki.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania
Kwa hali ilivyo huku mtaani.

Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.

Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.

CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.

Ni hayo tu.
huwa tunawachelewesha sana watu kama hawa ndio maana tunateseka.
 
Zanzibar tunapiga kura kila uchaguzi kuiondoa CCM lakini vibaraka wao bado wanatawala. Nyie machogo mnafikiri kura zenu zitaleta mabadiliko?
 
Acha kuuliza maswali ambayo sio sehemu ya mjadala. Mjadala ni Umpendaye hana Uwezo wa kutisha wa kuongoza Nchi. Ameishia kubakia Kiwiliwili cha Kiongozi tu lakini Kiakili hakuna kitu. Mambo ya sina cha kumfanya sio sehemu ya mjadala. Tunamueleza ukweli ili ajipime na kuchukua maamuzi stahiki. Muda wake wa kuongoza kwa dezo ukiiisha aondoke.
Keyboard warrior.
Mjadala usokuwa na suluhisho.
Hapa we kama mwanaume kweli tuambie utamfanya nini Mama..

Ikiwa huna cha kumfanya ndo ujue ana uwezo kuzidi ukoo wenu wote. Hutaki hama nchi tuachie rais wetu
 
Hivi Kwa nini baadhi ya watu hawana macho matatu ya kuona mbali. Historia inaonyesha Falme zllizoleta mabadiliko chanyq katika Tawala Zao Ni wale Wenye maono na misimamo ya kusindika hayo maono. Mama Kwa kumsikiliza ana maono gani? Maono sio Sindano kwamba unaiweza kuificha kwenye Mfuko wa Koti au Mkoba. Maono huonekana wazi hata kupitia kujieleza tu. Tuonyesheni bila kutangatanga maono ya mama. Uongozi sio jambo la kukurupuka. Hata Yesu Kristu kiini cha Uongozi aliwakanya Mitume kuwa wasije wakakurupuka kutoka Yerusalemu na kuanza kwenda Kazi ya utume mpaka wameimarishwa na Roho Mtakatifu. Yeye mamq anadhani Kazi ya Uongozi Ni kule kukesha anachati anakokuongelea eti analala late akijibu meseji?
Kelele za mwenye nyumba hizo
 
Mafuta 1500 yaliuzwa mwaka gani hapa Tanzania? Unataka kutudanganya tukiwa macho? Je, mafuta yaliwahi kushuka hapa Tanzania enzi ya Magufuli baada ya soko la dunia kupanda? Labda nikukumbushe bei za mafuta ya petrol kwa DSM

1. Mwaka 2015 sh 2115
2. Mwaka 2016 sh 2063
3. Mwaka 2017 sh 2014
4. Mwaka 2018 sh. 2409
5. Mwaka 2019 sh. 2319


Bei za mafuta zimepanda duniani kote; tunaweza tu kulaumu kama bei zikipanda Tanzania pekee
June 2020 yalikua 1500, check jedwali chini.
Screenshot_20220804-173549_1.jpg
 
Nimeshajua.

Ila codes za nini hapa JF?. Una fake ID afu bado unatumia codes?

Bado hawezi fanya kitu.

Marehem asimangwi wacha kila mtu avune kwa urefu wake white paper 2025 wakufa wakujizika itajukikana siku hiyo wengi hawato amini
Kwel tusubiri Hadi 2025? Nan aweza predict Bei za petrol zitakuwaje mwaka huo? Bei za bidhaa je?

Kwakwel Mungu aingilie kati.
 
Kwa hali ilivyo huku mtaani.

Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.

Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.

CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.

Ni hayo tu.
Nani kakudanganya Cccm wanategemea Sanduku la Kura?
 
Nimeshajua.

Ila codes za nini hapa JF?. Una fake ID afu bado unatumia codes?

Bado hawezi fanya kitu.

June 2020 yalikua 1500, check jedwali chini.
View attachment 2314103
Hatuoni jitiada za dhati za Serikali kushughulika tatizo la kupanda mafuta.

1.Bado wanatumia V8 Kwa Kodi zetu. Kwann hawabani matumizi Ili kumpunguzia mzigo mwananchi?

2. Wamerudisha WARSHA, seminar ktk mahoteli makubwa mambo ambayo yalifutwa na mtangulizi kubana matumizi.

3. Mafisadi waliotumbuliwa na wenye KASHFA lukuki wamerudishwa.

4. Bandari bubu zimerudi.

Jamani hatua za haraka zinahitajika kuinusuru Nchi.
 
Back
Top Bottom