Kurejea kwa Vitendo vya Uhalifu. Rais wangu Samia acha polisi wafanye kazi

Kurejea kwa Vitendo vya Uhalifu. Rais wangu Samia acha polisi wafanye kazi

Hivi karibuni kumetokea kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Leo hii kwenye taarifa ya habari imetangazwa kuwa wahalifu hawa wameua mtu mmoja eneo la Kawe.

Haya yanatokea kukiwa kumemalizika kikao cha wakuu wa polisi ambapo Rais Samia aliwaeleza mambo mengi sana polisi ikiwemo kuwaachia watu endapo upelelezi haujakamilika.

Leo kwa maslahi mapana ya nchi yangu napenda kumshauri Rais wangu mpendwa Samia kuwa, tunajua anapenda sana haki, anataka haki itendeke, ila kwenye kushughulikia wahalifu na uhalifu ni vizuri aviachie vyombo vyetu kufanya kazi ambayo wamekuwa wanaifanya kila siku katika kushughulikia wahalifu.

Kwa Tanzania yetu kuna watu bila kuwa ndani hawawezi kuacha uhalifu na wanawekwaga ndani kwa sababu maalum ikiwemo kuhakikisha kwenye jamii yetu kunakuwa na amani na utulivu. Ukitaka kuwaweka ndani ukiwa na ushahidi hutapata huo ushahidi kwa namna wanavyofanya matukio yao na kwa namna nchi yetu ilivyo nyuma kiteknolojia. Wenzetu wako vizuri kiteknolojia ikiwemo kuwa na kamera za mitaani na teknolojia ya DNA na database za wanachi wote ndo mana likitokea tukio upelelezi unakamilika haraka.

Nakuomba Rais wangu mpendwa, waachie polisi wetu wafanye kazi yao dhidi ya hawa wahalifu kulingana na mazingira yetu yalivyo. Kila nchi ina mazingira yake, Sio kwamba Marekani alishindwa kutawala Afghanistan ila kwa jinsi Afghanistan ilivyo nchi haiwezi kwenda bila utawala wa manguvu na ndo mana Leo Taliban karudi kutawala Afghanistan tena kwa baraka za Mmarekani yuleyule aliwafurusha pale mwanzoni
Wewe ni wale wale tu wenye hulka za kikatili. Sasa unazungumzia wahalifu halafu hao wakifungwa wanakuha kuachiwa miaka mitank baadae eti hawana hatia. Sasa utawalipa fidia.

Hapo ni wafanye kazi kwa weledi na sio kukamata kamata tu.
 
Hatupo salama.

Hao panya wasipoangaliwa wataipindua nchi miguu juu kichwa chini.

Nimeona kule fb, dada ameuliwa na panyarod,

God Mercy.
 
Wewe ni wale wale tu wenye hulka za kikatili. Sasa unazungumzia wahalifu halafu hao wakifungwa wanakuha kuachiwa miaka mitank baadae eti hawana hatia. Sasa utawalipa fidia.

Hapo ni wafanye kazi kwa weledi na sio kukamata kamata tu.
Sio ukatili ila huo ndo uhalisia. Kuna watu hawatakiwi kuwa mtaani na kama tukikubali wawe mtaani basi tukibali pia ujambazi, mauaji na watu kujeruhiwa kuwa sehemu ya maisha yetu.

Kuna mazingira fulani huwezi kuapply demokrasia ndo mana hadi leo misri inatawaliwa kijeshi maana ukitaka kufanya demokrasia basi kubali watu wenye siasa kali kushika hatamu na dunia kukosa amani
 
Hatupo salama.

Hao panya wasipoangaliwa wataipindua nchi miguu juu kichwa chini.

Nimeona kule fb, dada ameuliwa na panyarod,

God Mercy.
Tuwaachie polisi wafanye kazi zao dhidi ya hawa wahalifu kama wanavyofanya siku zote na tusipende kuwafanya wajione hawafanyi chochote maana kwa jinsi wanavyofanya wanatusaidia sana kuishi kwa amani

Kwenye mapungufu yao machache tuendelee kuyashughulikia taratibu
 
Mbona wakati wq Magufuri kulikuwa hakuna ushrnzi huu .
Ulikuwepo sema alitumia mbinu hizi tunazoshauri zifanyike katika kuzuia haya matukio. Hata kwenye ulimwengu wa walioendelea hizi njia huwa zinatumika sana
 
Hivi karibuni kumetokea kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Leo hii kwenye taarifa ya habari imetangazwa kuwa wahalifu hawa wameua mtu mmoja eneo la Kawe.

Haya yanatokea kukiwa kumemalizika kikao cha wakuu wa polisi ambapo Rais Samia aliwaeleza mambo mengi sana polisi ikiwemo kuwaachia watu endapo upelelezi haujakamilika.

Leo kwa maslahi mapana ya nchi yangu napenda kumshauri Rais wangu mpendwa Samia kuwa, tunajua anapenda sana haki, anataka haki itendeke, ila kwenye kushughulikia wahalifu na uhalifu ni vizuri aviachie vyombo vyetu kufanya kazi ambayo wamekuwa wanaifanya kila siku katika kushughulikia wahalifu.

Kwa Tanzania yetu kuna watu bila kuwa ndani hawawezi kuacha uhalifu na wanawekwaga ndani kwa sababu maalum ikiwemo kuhakikisha kwenye jamii yetu kunakuwa na amani na utulivu. Ukitaka kuwaweka ndani ukiwa na ushahidi hutapata huo ushahidi kwa namna wanavyofanya matukio yao na kwa namna nchi yetu ilivyo nyuma kiteknolojia. Wenzetu wako vizuri kiteknolojia ikiwemo kuwa na kamera za mitaani na teknolojia ya DNA na database za wanachi wote ndo mana likitokea tukio upelelezi unakamilika haraka.

Nakuomba Rais wangu mpendwa, waachie polisi wetu wafanye kazi yao dhidi ya hawa wahalifu kulingana na mazingira yetu yalivyo. Kila nchi ina mazingira yake, Sio kwamba Marekani alishindwa kutawala Afghanistan ila kwa jinsi Afghanistan ilivyo nchi haiwezi kwenda bila utawala wa manguvu na ndo mana Leo Taliban karudi kutawala Afghanistan tena kwa baraka za Mmarekani yuleyule aliwafurusha pale mwanzoni
Kwa hili umeongea point Sana mkuu, japo hofu ya Rais polisi wasije kuonea watu ambao hawahusiki, hila kwa ilivyofikia Sasa, polisi Inatakiwa wakimkamata kijana ambae ni anahisiwa ni kibaka au jamii ya panyarodi, wahakikishe wanammaliza kabisa wakatupwe mbugani huko, inasikitisha hao panyarodi nasikia wamemuua kijana mdogo kabisa hasiye na hatia
 
Inasikitisha sana juzi hawa vijana wanaojiita panya road wamemuua kijana mmoja pale Buguruni kwa kumchoma kisu.
Mkuu wa Mkoa Mh Makala yupo kweli?
Hawa watoto ni kuwapoteza mazima ..inasikitisha sana...
Yaani nashauri task force iundwe kukabiliana na Hawa wahuni, wakikamatwa wakatupwe kwenye mto wenye mamba wafilie mbali wote, hakuna kuwapeleka mahakamani
 
Kwa hili umeongea point Sana mkuu, japo hofu ya Rais polisi wasije kuonea watu ambao hawahusiki, hila kwa ilivyofikia Sasa, polisi Inatakiwa wakimkamata kijana ambae ni anahisiwa ni kibaka au jamii ya panyarodi, wahakikishe wanammaliza kabisa wakatupwe mbugani huko, inasikitisha hao panyarodi nasikia wamemuua kijana mdogo kabisa hasiye na hatia
Kwenye kushughulikia jambo makosa yanatokea. Ni lazima yatokee. kikubwa tuvipe moyo vyombo vyetu kwa kazi nzuri wanayofanya. Tusiwakatishe tamaa na kuwaonesha hakuna lolote zuri wanalofanya.

Kwa experience ya duniani huko muhalifu ukimchekea na usipomuwekea mazingira magumu ya ku operate basi jiandae na wewe kulia na kuumia. Nigeria na South Afrika wameshafika kwenye hatua iyo hivyo inabidi tujitahidi tusifike huko
 
Yaani nashauri task force iundwe kukabiliana na Hawa wahuni, wakikamatwa wakatupwe kwenye mto wenye mamba wafilie mbali wote, hakuna kuwapeleka mahakamani
Hii ni awamu ya kulamba asali.

Kila mtu amerudi kwenye kazi yake aliyokuwa akifanya hapo awalim
 
Rais anahusika vipi na Majukumu waliyopewa Polisi. Polisi watimize majukumu yao ya kulinda raia na mali zao..
 
Hii ni awamu ya kulamba asali.

Kila mtu amerudi kwenye kazi yake aliyokuwa akifanya hapo awalim
Kwahiyo kipindi Cha msukuma mwenzenu ndio ilikuwa awamu ya watakatifu kina bashite,Sabaya,mnyeti, sindio?
 
Back
Top Bottom