Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Una uhakika? Sio kwamba hawakuwepo, walikuwepo sema walidhibitiwaMbona wakati wq Magufuri kulikuwa hakuna ushrnzi huu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika? Sio kwamba hawakuwepo, walikuwepo sema walidhibitiwaMbona wakati wq Magufuri kulikuwa hakuna ushrnzi huu .
Wewe ni wale wale tu wenye hulka za kikatili. Sasa unazungumzia wahalifu halafu hao wakifungwa wanakuha kuachiwa miaka mitank baadae eti hawana hatia. Sasa utawalipa fidia.Hivi karibuni kumetokea kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu hasa katika jiji la Dar es Salaam.
Leo hii kwenye taarifa ya habari imetangazwa kuwa wahalifu hawa wameua mtu mmoja eneo la Kawe.
Haya yanatokea kukiwa kumemalizika kikao cha wakuu wa polisi ambapo Rais Samia aliwaeleza mambo mengi sana polisi ikiwemo kuwaachia watu endapo upelelezi haujakamilika.
Leo kwa maslahi mapana ya nchi yangu napenda kumshauri Rais wangu mpendwa Samia kuwa, tunajua anapenda sana haki, anataka haki itendeke, ila kwenye kushughulikia wahalifu na uhalifu ni vizuri aviachie vyombo vyetu kufanya kazi ambayo wamekuwa wanaifanya kila siku katika kushughulikia wahalifu.
Kwa Tanzania yetu kuna watu bila kuwa ndani hawawezi kuacha uhalifu na wanawekwaga ndani kwa sababu maalum ikiwemo kuhakikisha kwenye jamii yetu kunakuwa na amani na utulivu. Ukitaka kuwaweka ndani ukiwa na ushahidi hutapata huo ushahidi kwa namna wanavyofanya matukio yao na kwa namna nchi yetu ilivyo nyuma kiteknolojia. Wenzetu wako vizuri kiteknolojia ikiwemo kuwa na kamera za mitaani na teknolojia ya DNA na database za wanachi wote ndo mana likitokea tukio upelelezi unakamilika haraka.
Nakuomba Rais wangu mpendwa, waachie polisi wetu wafanye kazi yao dhidi ya hawa wahalifu kulingana na mazingira yetu yalivyo. Kila nchi ina mazingira yake, Sio kwamba Marekani alishindwa kutawala Afghanistan ila kwa jinsi Afghanistan ilivyo nchi haiwezi kwenda bila utawala wa manguvu na ndo mana Leo Taliban karudi kutawala Afghanistan tena kwa baraka za Mmarekani yuleyule aliwafurusha pale mwanzoni
Ulikuwepo sana tu sema wewe uliziba masikio. Ndio kipindi ambacho watu wengi wamepotea kutekwa hadi Mabilionea.Mbona wakati wq Magufuri kulikuwa hakuna ushrnzi huu .
Acha uongoMaelekezo ya kutowashikilia watu upelelezi usipokamilika ndo matokeo yake haya
Sio ukatili ila huo ndo uhalisia. Kuna watu hawatakiwi kuwa mtaani na kama tukikubali wawe mtaani basi tukibali pia ujambazi, mauaji na watu kujeruhiwa kuwa sehemu ya maisha yetu.Wewe ni wale wale tu wenye hulka za kikatili. Sasa unazungumzia wahalifu halafu hao wakifungwa wanakuha kuachiwa miaka mitank baadae eti hawana hatia. Sasa utawalipa fidia.
Hapo ni wafanye kazi kwa weledi na sio kukamata kamata tu.
Tuwaachie polisi wafanye kazi zao dhidi ya hawa wahalifu kama wanavyofanya siku zote na tusipende kuwafanya wajione hawafanyi chochote maana kwa jinsi wanavyofanya wanatusaidia sana kuishi kwa amaniHatupo salama.
Hao panya wasipoangaliwa wataipindua nchi miguu juu kichwa chini.
Nimeona kule fb, dada ameuliwa na panyarod,
God Mercy.
Ulikuwepo sema alitumia mbinu hizi tunazoshauri zifanyike katika kuzuia haya matukio. Hata kwenye ulimwengu wa walioendelea hizi njia huwa zinatumika sanaMbona wakati wq Magufuri kulikuwa hakuna ushrnzi huu .
Kwa hili umeongea point Sana mkuu, japo hofu ya Rais polisi wasije kuonea watu ambao hawahusiki, hila kwa ilivyofikia Sasa, polisi Inatakiwa wakimkamata kijana ambae ni anahisiwa ni kibaka au jamii ya panyarodi, wahakikishe wanammaliza kabisa wakatupwe mbugani huko, inasikitisha hao panyarodi nasikia wamemuua kijana mdogo kabisa hasiye na hatiaHivi karibuni kumetokea kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu hasa katika jiji la Dar es Salaam.
Leo hii kwenye taarifa ya habari imetangazwa kuwa wahalifu hawa wameua mtu mmoja eneo la Kawe.
Haya yanatokea kukiwa kumemalizika kikao cha wakuu wa polisi ambapo Rais Samia aliwaeleza mambo mengi sana polisi ikiwemo kuwaachia watu endapo upelelezi haujakamilika.
Leo kwa maslahi mapana ya nchi yangu napenda kumshauri Rais wangu mpendwa Samia kuwa, tunajua anapenda sana haki, anataka haki itendeke, ila kwenye kushughulikia wahalifu na uhalifu ni vizuri aviachie vyombo vyetu kufanya kazi ambayo wamekuwa wanaifanya kila siku katika kushughulikia wahalifu.
Kwa Tanzania yetu kuna watu bila kuwa ndani hawawezi kuacha uhalifu na wanawekwaga ndani kwa sababu maalum ikiwemo kuhakikisha kwenye jamii yetu kunakuwa na amani na utulivu. Ukitaka kuwaweka ndani ukiwa na ushahidi hutapata huo ushahidi kwa namna wanavyofanya matukio yao na kwa namna nchi yetu ilivyo nyuma kiteknolojia. Wenzetu wako vizuri kiteknolojia ikiwemo kuwa na kamera za mitaani na teknolojia ya DNA na database za wanachi wote ndo mana likitokea tukio upelelezi unakamilika haraka.
Nakuomba Rais wangu mpendwa, waachie polisi wetu wafanye kazi yao dhidi ya hawa wahalifu kulingana na mazingira yetu yalivyo. Kila nchi ina mazingira yake, Sio kwamba Marekani alishindwa kutawala Afghanistan ila kwa jinsi Afghanistan ilivyo nchi haiwezi kwenda bila utawala wa manguvu na ndo mana Leo Taliban karudi kutawala Afghanistan tena kwa baraka za Mmarekani yuleyule aliwafurusha pale mwanzoni
Yaani nashauri task force iundwe kukabiliana na Hawa wahuni, wakikamatwa wakatupwe kwenye mto wenye mamba wafilie mbali wote, hakuna kuwapeleka mahakamaniInasikitisha sana juzi hawa vijana wanaojiita panya road wamemuua kijana mmoja pale Buguruni kwa kumchoma kisu.
Mkuu wa Mkoa Mh Makala yupo kweli?
Hawa watoto ni kuwapoteza mazima ..inasikitisha sana...
Kwenye kushughulikia jambo makosa yanatokea. Ni lazima yatokee. kikubwa tuvipe moyo vyombo vyetu kwa kazi nzuri wanayofanya. Tusiwakatishe tamaa na kuwaonesha hakuna lolote zuri wanalofanya.Kwa hili umeongea point Sana mkuu, japo hofu ya Rais polisi wasije kuonea watu ambao hawahusiki, hila kwa ilivyofikia Sasa, polisi Inatakiwa wakimkamata kijana ambae ni anahisiwa ni kibaka au jamii ya panyarodi, wahakikishe wanammaliza kabisa wakatupwe mbugani huko, inasikitisha hao panyarodi nasikia wamemuua kijana mdogo kabisa hasiye na hatia
tushawachoka nanyie!Mbona wakati wq Magufuri kulikuwa hakuna ushrnzi huu .
Hii ni awamu ya kulamba asali.Yaani nashauri task force iundwe kukabiliana na Hawa wahuni, wakikamatwa wakatupwe kwenye mto wenye mamba wafilie mbali wote, hakuna kuwapeleka mahakamani
👍 👍Kauli za Rais zinahusikaje na Polisi kushindwa kusimamia Usalama?
Hivyo nyie watu wa Dar mkiendelea kuwaficha hao watoto wenu mtakwisha,pia ni lazima muwe ma sungusungu na mfanye vikao vya kuwataja ila mnajifanyaga mko busy Sana na kusaka pesa.
Kwahiyo kipindi Cha msukuma mwenzenu ndio ilikuwa awamu ya watakatifu kina bashite,Sabaya,mnyeti, sindio?Hii ni awamu ya kulamba asali.
Kila mtu amerudi kwenye kazi yake aliyokuwa akifanya hapo awalim
Acha upotoshajiHii ni awamu ya kulamba asali.
Kila mtu amerudi kwenye kazi yake aliyokuwa akifanya hapo awalim
Hapa JF wewe ndio unaongoza kwa uongo.Acha upotoshaji