Kurejea kwa Vitendo vya Uhalifu. Rais wangu Samia acha polisi wafanye kazi

Kurejea kwa Vitendo vya Uhalifu. Rais wangu Samia acha polisi wafanye kazi

Kuna wahalifu wengi sana wako mtaani saivi kutokana na maelekezo ya upelelezi kukamilika ndo mtu kushikiliwa au kupelekwa mahakamani. Tunaishi mtaani tunawaona
Unadhani polisi wakipewa rushwa na watuhumiwa kuna mtuhumiwa atapelekwa mahakamani kweli?
 
Kazi imeanza huko 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220915-162412.png
    Screenshot_20220915-162412.png
    85 KB · Views: 2
Hivi karibuni kumetokea kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Leo hii kwenye taarifa ya habari imetangazwa kuwa wahalifu hawa wameua mtu mmoja eneo la Kawe.

Haya yanatokea kukiwa kumemalizika kikao cha wakuu wa polisi ambapo Rais Samia aliwaeleza mambo mengi sana polisi ikiwemo kuwaachia watu endapo upelelezi haujakamilika.

Leo kwa maslahi mapana ya nchi yangu napenda kumshauri Rais wangu mpendwa Samia kuwa, tunajua anapenda sana haki, anataka haki itendeke, ila kwenye kushughulikia wahalifu na uhalifu ni vizuri aviachie vyombo vyetu kufanya kazi ambayo wamekuwa wanaifanya kila siku katika kushughulikia wahalifu.

Kwa Tanzania yetu kuna watu bila kuwa ndani hawawezi kuacha uhalifu na wanawekwaga ndani kwa sababu maalum ikiwemo kuhakikisha kwenye jamii yetu kunakuwa na amani na utulivu. Ukitaka kuwaweka ndani ukiwa na ushahidi hutapata huo ushahidi kwa namna wanavyofanya matukio yao na kwa namna nchi yetu ilivyo nyuma kiteknolojia. Wenzetu wako vizuri kiteknolojia ikiwemo kuwa na kamera za mitaani na teknolojia ya DNA na database za wanachi wote ndo mana likitokea tukio upelelezi unakamilika haraka.

Nakuomba Rais wangu mpendwa, waachie polisi wetu wafanye kazi yao dhidi ya hawa wahalifu kulingana na mazingira yetu yalivyo. Kila nchi ina mazingira yake, Sio kwamba Marekani alishindwa kutawala Afghanistan ila kwa jinsi Afghanistan ilivyo nchi haiwezi kwenda bila utawala wa manguvu na ndo mana Leo Taliban karudi kutawala Afghanistan tena kwa baraka za Mmarekani yuleyule aliwafurusha pale mwanzoni
Samia ndio chanzo cha tatizo, Yeye alifikiri Magufuli alikuwa njinga aliwachia vijana wafanye shughuri zao bila bughuza ili mradi hajipatie kipato na kujikimu, Samia alibomoa na kuwafukuza hao vijana kwenye maeneo walipokuwa ndiye alifanya makosa makubwa,hapo hakuna cha panya lord,ni vijana waliokosa chakula wananjaa kali,tunakoelekea hali itazidi kuwa mbaya zaidi hata wamwage askali 1000,Samia hahachie wamachinga wafanye biashara kama enzi za Magufuli ili tatizo litaisha lenyewe, lasivyo tunaenda kutengeneza vikundi vya kujilipua kama Somalia, Maana mwenye njaa ana cha kupoteza hata ukimpa elfu 10000 tu kwamba jilipue tu anaweza.
 
Hivi karibuni kumetokea kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Leo hii kwenye taarifa ya habari imetangazwa kuwa wahalifu hawa wameua mtu mmoja eneo la Kawe.

Haya yanatokea kukiwa kumemalizika kikao cha wakuu wa polisi ambapo Rais Samia aliwaeleza mambo mengi sana polisi ikiwemo kuwaachia watu endapo upelelezi haujakamilika.

Leo kwa maslahi mapana ya nchi yangu napenda kumshauri Rais wangu mpendwa Samia kuwa, tunajua anapenda sana haki, anataka haki itendeke, ila kwenye kushughulikia wahalifu na uhalifu ni vizuri aviachie vyombo vyetu kufanya kazi ambayo wamekuwa wanaifanya kila siku katika kushughulikia wahalifu.

Kwa Tanzania yetu kuna watu bila kuwa ndani hawawezi kuacha uhalifu na wanawekwaga ndani kwa sababu maalum ikiwemo kuhakikisha kwenye jamii yetu kunakuwa na amani na utulivu. Ukitaka kuwaweka ndani ukiwa na ushahidi hutapata huo ushahidi kwa namna wanavyofanya matukio yao na kwa namna nchi yetu ilivyo nyuma kiteknolojia. Wenzetu wako vizuri kiteknolojia ikiwemo kuwa na kamera za mitaani na teknolojia ya DNA na database za wanachi wote ndo mana likitokea tukio upelelezi unakamilika haraka.

Nakuomba Rais wangu mpendwa, waachie polisi wetu wafanye kazi yao dhidi ya hawa wahalifu kulingana na mazingira yetu yalivyo. Kila nchi ina mazingira yake, Sio kwamba Marekani alishindwa kutawala Afghanistan ila kwa jinsi Afghanistan ilivyo nchi haiwezi kwenda bila utawala wa manguvu na ndo mana Leo Taliban karudi kutawala Afghanistan tena kwa baraka za Mmarekani yuleyule aliwafurusha pale mwanzoni
Rais anatenda kazi kama waziri wa mambo ya nje ambaye anatakiwa kupeti peti huko wakati uharifu ukishika kasi. Panya road wametoa roho uhai ya mwanafunzi wa chuo huko Kawe na waharifu waliojifanya wafuasi wa Mwamposa wakitokea kanisani lakini ghafla wanabadilika kuwa kama simba kurarua binadamu.......hii sio sawa....mharifu habembelezwi la sivyo kuna siku wataingia kwenye jumba la vitasa hapo watajua hawajui...panya road sio binadamu wa kawaida, wanavuta na kujidunga madawa kabla ya utekelezaji wa tukio na sio rahisi kuwatambua mpaka apatikane kijana ajiunge humo ili wapate taarifa sahihi.

Wakipanga kufanya tukio wanachagua maeneo angalau matatu moja wapo lazima watafanukisha ila wanaambatana na boda boda ambao huwezi kuwatilia shaka
 
Nitake radhi. Mie nakaa Songea. Dar nina ndugu na marafiki
CDF mstaafu Mabeyo, IGP mstaafu Sirro ndio walikuwa kiboko cha panya road na waliandika kitabu kwenye mapango ya Amboni, mapango Mwanza, Ruembe Kilosa, Dar es Salaam, MKIRU na Mnazi bay Mtwara
 
Hivi karibuni kumetokea kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Leo hii kwenye taarifa ya habari imetangazwa kuwa wahalifu hawa wameua mtu mmoja eneo la Kawe.

Haya yanatokea kukiwa kumemalizika kikao cha wakuu wa polisi ambapo Rais Samia aliwaeleza mambo mengi sana polisi ikiwemo kuwaachia watu endapo upelelezi haujakamilika.

Leo kwa maslahi mapana ya nchi yangu napenda kumshauri Rais wangu mpendwa Samia kuwa, tunajua anapenda sana haki, anataka haki itendeke, ila kwenye kushughulikia wahalifu na uhalifu ni vizuri aviachie vyombo vyetu kufanya kazi ambayo wamekuwa wanaifanya kila siku katika kushughulikia wahalifu.

Kwa Tanzania yetu kuna watu bila kuwa ndani hawawezi kuacha uhalifu na wanawekwaga ndani kwa sababu maalum ikiwemo kuhakikisha kwenye jamii yetu kunakuwa na amani na utulivu. Ukitaka kuwaweka ndani ukiwa na ushahidi hutapata huo ushahidi kwa namna wanavyofanya matukio yao na kwa namna nchi yetu ilivyo nyuma kiteknolojia. Wenzetu wako vizuri kiteknolojia ikiwemo kuwa na kamera za mitaani na teknolojia ya DNA na database za wanachi wote ndo mana likitokea tukio upelelezi unakamilika haraka.

Nakuomba Rais wangu mpendwa, waachie polisi wetu wafanye kazi yao dhidi ya hawa wahalifu kulingana na mazingira yetu yalivyo. Kila nchi ina mazingira yake, Sio kwamba Marekani alishindwa kutawala Afghanistan ila kwa jinsi Afghanistan ilivyo nchi haiwezi kwenda bila utawala wa manguvu na ndo mana Leo Taliban karudi kutawala Afghanistan tena kwa baraka za Mmarekani yuleyule aliwafurusha pale mwanzoni
Kwa msingi wa andiko lako ulitaka wahalifu kama Hawa mapanya yaachiliwe. Hawa ni watoto wa wenye nafasi na wanafanyia hayo Kwa ulimbukeni wa wanaowalea !!
 
Back
Top Bottom