Kurejea kwa Vitendo vya Uhalifu. Rais wangu Samia acha polisi wafanye kazi

Kurejea kwa Vitendo vya Uhalifu. Rais wangu Samia acha polisi wafanye kazi

Hao ni wa kutandika risasi tu

Mtu akijifanya nunda na wee mpeleke kiununda

Mnakumbuka wale vijana sehemu za ilala walikuwa wanajiita chaukucha
Mnajuwa walifanywa nini!na kwann walipotezwa na hawakurudi tena?

Ova
 
Hapa JF wewe ndio unaongoza kwa uongo.
Uongo wangu ndo umesababisha leo Spika katoa maelekezo bungeni kwa serikali na Mkuu wa Mkoa wa Dar kutoa tamko kwa wazazi ambao hawatawaona watoto wao wakawatafute vituo vya polisi na kwenye hospitali

Huwezi shindana na akili kubwa we endelea kuomboleza tu hapo Burundi
 
Hao ni wa kutandika risasi tu

Mtu akijifanya nunda na wee mpeleke kiununda

Mnakumbuka wale vijana sehemu za ilala walikuwa wanajiita chaukucha
Mnajuwa walifanywa nini!na kwann walipotezwa na hawakurudi tena?

Ova
Naamini ushauri uliotolewa hapa unafanyiwa kazi
 
Hivi karibuni kumetokea kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Leo hii kwenye taarifa ya habari imetangazwa kuwa wahalifu hawa wameua mtu mmoja eneo la Kawe.

Haya yanatokea kukiwa kumemalizika kikao cha wakuu wa polisi ambapo Rais Samia aliwaeleza mambo mengi sana pfu kulingana na mazingira yetu yalivyo. Kila nchi ina mazingira yake, Sio kwamba Marekani alishindwa kutawala Afghanistan ila kwa jinsi Afghanistan ilivyo nchi haiwezi kwenda bila utawala wa manguvu na ndo mana Leo Taliban karudi kutawala Afghanistan tena kwa baraka za Mmarekani yuleyule aliwafurusha pale mwanzoni
watu tunapenda usalama lkn si kwa gharama ya usalama wa wengine, na sidhan km rais samia alikua akimaanisha vibaka, kuna aina ya kesi alizokua anamaanisha ambazo watu walikaa ndani maka kisa upelelezi haujakamilika na si hao wanaokata watu mapanga mitaani
 
Maelekezo ya kutowashikilia watu upelelezi usipokamilika ndo matokeo yake haya

Moja ya mbinu za kufanya kusiwepo na uhalifu mitaani ni kukamata wahalifu na kuwaweka ndani kwa mda fulani. Hili Tanzania limesaidia sana kufanya mitaani kuwe na amani. Maana ukisema umkamate mtu ukishakamilisha upelelezi basi wahalifu wengi watazagaa mitaani na kuwazidi nguvu polisi maana polisi hawawezi kuwa kila mahali na kila wakati.
Sio kweli kwani hiyo kauli kaitoa lini na hao panya road wameanza uhalifu wao lini?
 
Hivi karibuni kumetokea kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu hasa katika jiji la Dar es Salaam.

Leo hii kwenye taarifa ya habari imetangazwa kuwa wahalifu hawa wameua mtu mmoja eneo la Kawe.

Haya yanatokea kukiwa kumemalizika kikao cha wakuu wa polisi ambapo Rais Samia aliwaeleza mambo mengi sana polisi ikiwemo kuwaachia watu endapo upelelezi haujakamilika.

Leo kwa maslahi mapana ya nchi yangu napenda kumshauri Rais wangu mpendwa Samia kuwa, tunajua anapenda sana haki, anataka haki itendeke, ila kwenye kushughulikia wahalifu na uhalifu ni vizuri aviachie vyombo vyetu kufanya kazi ambayo wamekuwa wanaifanya kila siku katika kushughulikia wahalifu.

Kwa Tanzania yetu kuna watu bila kuwa ndani hawawezi kuacha uhalifu na wanawekwaga ndani kwa sababu maalum ikiwemo kuhakikisha kwenye jamii yetu kunakuwa na amani na utulivu. Ukitaka kuwaweka ndani ukiwa na ushahidi hutapata huo ushahidi kwa namna wanavyofanya matukio yao na kwa namna nchi yetu ilivyo nyuma kiteknolojia. Wenzetu wako vizuri kiteknolojia ikiwemo kuwa na kamera za mitaani na teknolojia ya DNA na database za wanachi wote ndo mana likitokea tukio upelelezi unakamilika haraka.

Nakuomba Rais wangu mpendwa, waachie polisi wetu wafanye kazi yao dhidi ya hawa wahalifu kulingana na mazingira yetu yalivyo. Kila nchi ina mazingira yake, Sio kwamba Marekani alishindwa kutawala Afghanistan ila kwa jinsi Afghanistan ilivyo nchi haiwezi kwenda bila utawala wa manguvu na ndo mana Leo Taliban karudi kutawala Afghanistan tena kwa baraka za Mmarekani yuleyule aliwafurusha pale mwanzoni
Sasa hapa tofautisha muhalifu, muhalifu kweli treatment yake iwe nyingine na ya muhalifu sababu fulani ametaka mtu huyo aonekane ni muhalifu.
 
watu tunapenda usalama lkn si kwa gharama ya usalama wa wengine, na sidhan km rais samia alikua akimaanisha vibaka, kuna aina ya kesi alizokua anamaanisha ambazo watu walikaa ndani maka kisa upelelezi haujakamilika na si hao wanaokata watu mapanga mitaani
Ukiona unalala na kuamka asubuhi salama ujue kuna kazi polisi wanafanya. Kama polisi wakisema wawaachie wahalifu wote wazagae mtaani kwa sababu tu hakuna ushahidi basi hii nchi itakuwa Kama Nigeria ndani ya masaa machache tu
 
Sasa hapa tofautisha muhalifu, muhalifu kweli treatment yake iwe nyingine na ya muhalifu sababu fulani ametaka mtu huyo aonekane ni muhalifu.
Hakuna treatment ya tofauti kwa muhalifu.
 
Hawa watoto ni kupiga risasi kama kumi hivii nadhani akili zitawakaa sawa maana wanachofanya ni UJAMBAZIII sasa jambazi hachekewei hata siku mojaa.. leo wanavamia makazi kesho watavamia vituo vya polisi kupora bunduki na sehemu za biasharaa au bank kabisa...!! Wanapata confidence ya kufanya uhalifu sababu serikali haipo serious toka huyo Binti auliwee sio polisi wala waziri kasema neno wapoo tu mbwa hawa wanakula AC kwa tozo za wananchi juzi suala hili sio la kumuachia mkuu wa mkoa nae limeshamshindaaaa kazi kuitisha vikao na kupiga mikwaraa tuu
 
Kuna mtu kachangia hoja huko juu kwamba , hawa wahalifu tunaishi nao mtaani lkn kutoa taarifa polisi ili wakamatwe ndio tatzo lipo hapo .
 
Shida ya hii nchi ni kuwapa wanawake mihimili mikubwa waongoze tucheke ila iko siku akili zitakaa sawa.
 
Uongo wangu ndo umesababisha leo Spika katoa maelekezo bungeni kwa serikali na Mkuu wa Mkoa wa Dar kutoa tamko kwa wazazi ambao hawatawaona watoto wao wakawatafute vituo vya polisi na kwenye hospitali

Huwezi shindana na akili kubwa we endelea kuomboleza tu hapo Burundi
Duh.

Kweli hili tutusa.

Kwahiyo wewe post zako ndio zinaiendesha serikali?

Akili kubwa wewe kabisa??

Wahaya bwana. Ila nakushangaa mhaya anayekosa akili kama wewe.

Endelea kusota hapo kwenye hako ka Lawfirm unakopata mshahara kiduchu baada ya kupiga majungu wenzako.
 
Ukiona unalala na kuamka asubuhi salama ujue kuna kazi polisi wanafanya. Kama polisi wakisema wawaachie wahalifu wote wazagae mtaani kwa sababu tu hakuna ushahidi basi hii nchi itakuwa Kama Nigeria ndani ya masaa machache tu
hapo ndio tatizo, sasa km ushahidi hakuna huyo mtu mnamshilia ili iweje au mtampeleka mahakama gani? usikute mmemkamata bila hata ya probable cause
 
Duh.

Kweli hili tutusa.

Kwahiyo wewe post zako ndio zinaiendesha serikali?

Akili kubwa wewe kabisa??

Wahaya bwana. Ila nakushangaa mhaya anayekosa akili kama wewe.

Endelea kusota hapo kwenye hako ka Lawfirm unakopata mshahara kiduchu baada ya kupiga majungu wenzako.
Unaumia eeh?
 
Back
Top Bottom