I salute you Madame!Ila Queen Darleen ana uke mrefu sana aisee.
Kuanzisha kampuni na kumiliki ni vitu viwili tofauti,mfano precision air now,apple,Facebook,nk.Wana kiredio pia kipo Dom nimekisahau jina.
Mbona sasa hashindwe kuwatetea WCB ili song's zao zichezwe pale CMG.Ruge kapiga pini.CMG ni mali ya kusaga huyo RM ni employee tu
Unataka kusema wameanzisha redio Dom na hawaimiliki?Kuanzisha kampuni na kumiliki ni vitu viwili tofauti,mfano precision air now,apple,Facebook,nk.
Nani kakwambia anamuogopa?Na wasiwasi na nani mmiliki wa Clouds Media group.Wanasema ni ya familia ya Kusaga.Mi nakataa hapo.It seems Ruge ni mkubwa kuliko Kusaga.
Ruge ni zaidi ya mkurugenzi wa vipindi pale.Angekuwa muajiriwa.Angelishatimuliwa.
Kusaga anamuogopa Ruge.I don't know why?
Wasafi na CMG tunawalinganisha katika nyanja ya kiburudani zaidi na in terms of control ya muziki bongo,so huwezi linganisha wasafi na azam au star tv na hata ITV.Kuna media houses nyingi sana Bongo, ushindani unaouzungumzia ni upi? Mfano: kwa maoni yangu ulinganifu unaofanywa kati ya Clouds na Wasafi umekaa kishabiki sana, na si mpya, ulifanyika pia ilipoanza Magic FM, Times FM na EFM, na sasa haziongelewi tena, na zote ni kwenye eneo moja sana la burudani, jiulize kwanini ulinganifu hauhusishi media nyingine kama IPP media, StarTV, Channel na Azam Media.
Exactly Wewe ni mjuvi hakika.Mie naona Joe anaanza kujitoa kidogo pale CMG coz ni mali ya familia
Anataka kuwa na investment yake nje ya familia
Huyo mnaemuita mhaya nae ni mmoja kati ya share holders toka CMG ikijulikana kama mawingu enzi zile za ofisi ikiwa pale MWENGE!
U can't compare wasafi with news based media's.lazima ujue malengo ya media's mbalimbali na kuweza kuzilinganisha,so hapo ondoa star tv,azam,na ITV.Kuna media houses nyingi sana Bongo, ushindani unaouzungumzia ni upi? Mfano: kwa maoni yangu ulinganifu unaofanywa kati ya Clouds na Wasafi umekaa kishabiki sana, na si mpya, ulifanyika pia ilipoanza Magic FM, Times FM na EFM, na sasa haziongelewi tena, na zote ni kwenye eneo moja sana la burudani, jiulize kwanini ulinganifu hauhusishi media nyingine kama IPP media, StarTV, Channel na Azam Media.
Usikute walishabanduana tayari ndo mana wanaona kawaida tuHalafu sijui ni nini,dada yake naye chupi linaonekana halafu anatingisha mbele ya kaka yake!Maadili ya wapi hayo
Ana akili sana ya kibiashara kuliko Joe?! Au ulitaka umuone Joe nae akihangaika na ma-Fiesta ndipo uone nae ana akili ya kibiashara?!Ruge mutahaba ana akili sana ya biashara kuliko Joe ile CMG unayoiona ni akili za Ruge yy Joe pale anapewa tu taarifa nini kinaendelea
hahahaIla Queen Darleen ana uke mrefu sana aisee.
Exactly ni kweli.Usanii hauna tofauti na wanasiasa
Hakuna mbinu yoyote pale ni suala la muda tu pumba zitajitenga na ngano safi.Mbinu ya aina gani hiyo mkuu,fafanua
Sio kwa maudhui Yale ya kuonyesha birthday party, arobaini za watoto, party za diamond, yaani kidemu chochote Cha diamond kikiwa na sherehe wasafi tv iko liveKama unaona mbali wasafi wanaleta mapinduzi ya media, miaka mitano ijayo wcb itakuwa media yenye nguvu kuliko zote bongo
Duh aiseehahaha