KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
Wasisahau kuja na sadaka za kujimalizaWAUMINI WA MWAMPOSA MNAITWA HUKU, MKIJA MSISAHAU KUJA NA MAJI NA MAFUTA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasisahau kuja na sadaka za kujimalizaWAUMINI WA MWAMPOSA MNAITWA HUKU, MKIJA MSISAHAU KUJA NA MAJI NA MAFUTA
Kwahiyo ni nini sababu ya yote yale yanayonasibishwa na uchawiMe too
SijuiKwahiyo ni nini sababu ya yote yale yanayonasibishwa na uchawi
Imani za uchawi zilitokea wapindio
Duuh.Sijui
watu wa zamani ambao hawakua na njia nzuri ya kufafanua mambo(sayansi)Imani za uchawi zilitokea wapi
Alooooo,kumbe!watu wa zamani ambao hawakua na njia nzuri ya kufafanua mambo(sayansi)
Mkuu kwani unagegeda Chale?Kuna bint nilitaka nimgegede leo jioni bahati mbaya sijui aliinama vip ndio nikaona chale juu ya tako na alivyo kaha sawa kifuaNi nako iko chale nyeus iliyotakiwa kufutwa ila ikashindikana Basi haifichikia
Mara nyingi siwakubali San mademu venya chale na machale nais nao Kama Ni wachawi tu
Soma mambo ya walawi vizuri"usimwache mchawi akaishi,auawe"!!Me too
Hana haja ya kurifaa mbali huko,aniulize mimi!Soma mambo ya walawi vizuri"usimwache mchawi akaishi,auawe"!!
Kumbe maandiko yanatambua uchawi sio !!
Yaani kama kuna nguvu za Mungu pia kuna nguvu za giza yaani uchawi!!
Kasome na Musa MBELE ya farao kuhusu fimbo ile!!!
Kama kweli huamini ipo siku uki decode pin code FULANI utashangaa SANA!!
Mi scientist hizi mambo nilikua sizitaki hata kuzisikia coz niliamini azipo lakini nilipoanza kujenga,kuingia kwenye biashara na mengineyo aiseh very bad!!!
Toa tu fungu la kumi angalau ulindwe na Mungu dhidi ya mabaya!!!
Mkuu Ni kweli huwenda nayo mbunyee yake ina madhabau ya kuzimu. Of Wich naweza beba roo zao na Kisha kubeba mikosi kbsa kaah mbali kbsaaMkuu kwani unagegeda Chale?
Nenda kapige hiyo Mang'anyu
Mm ndio mleta madaNdioo maana hata Takwimu ambazo zimetolewa zinaonesha Tanzania Ni ya 2 kwenye ushirikina ikiongozwa na Cameroon
AminaSoma mambo ya walawi vizuri"usimwache mchawi akaishi,auawe"!!
Kumbe maandiko yanatambua uchawi sio !!
Yaani kama kuna nguvu za Mungu pia kuna nguvu za giza yaani uchawi!!
Kasome na Musa MBELE ya farao kuhusu fimbo ile!!!
Kama kweli huamini ipo siku uki decode pin code FULANI utashangaa SANA!!
Mi scientist hizi mambo nilikua sizitaki hata kuzisikia coz niliamini azipo lakini nilipoanza kujenga,kuingia kwenye biashara na mengineyo aiseh very bad!!!
Toa tu fungu la kumi angalau ulindwe na Mungu dhidi ya mabaya!!!
Sijui piaDuuh.
ushawahi kulogwa mkuu.