Kusavaivu hadi leo hii wengi wetu bila kupigwa chale tusingetoboa

Kusavaivu hadi leo hii wengi wetu bila kupigwa chale tusingetoboa

Nisikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Maisha haya ya kitanzania yaliyojaa dhiki, umasikini, roho mbaya, husda, vijicho, masengenyo na masimango ingekuwa ngumu sana kutoboa kimaisha kama wengi wetu tusingepita kwa kina karumanzira ili kuwekwa sawa.

Kila mtu anafahamu kilichompeleka kwa mganga lakini ukweli ni kwamba watu ndiyo sababu ya watu kwenda kwa waganga!.

Mara nyingi watu wanaofanya twende kwa waganga kwa ajili ya tiba ya kuweka miili sawa ni MASHANGAZI & WAJOMBA (USHANGAZINI na UJOMBANI).

Hadi leo sijafahamu ni kwanini kwenye jamii hii ya watanzania kina-Shangazi na Wajomba mara nyingi kama si zote wamekuwa na husda sana kwa watoto wa ndugu zao,yaani wapo radhi wakaroge huku na huko ili kuona mtoto wa ndugu yao hafanikiwi,na mara zote hizo wanapokuwa wakihangaika na watoto wa ndugu zao huwa wamewasahau watoto wao kwamba wanaendelea kukua na umri kuzidi kusonga, mwisho wa siku wanakuja kushituka watoto wa ndugu waliokuwa wakiwapiga vita wamefanikiwa huku mitoto yao akiendelea kugombania ugali wa mazabe hapo makwao.

Tusingechukua hatua mapema za kwenda kwa Sangoma kuwekwa mili sawa bila shaka mashangazi na wajomba wangekuwa wametumaliza zamani sana.

Kuanzia kizazi cha miaka ya 1970 hadi 1990 ukikuta mtu hana Chale kwenye mwili wake basi yawezekana hakuwa akiishi Tanzania na kama aliishi Tanzania uenda hakuwa na Mashangazi au Wajomba.

Asilimia 90% ya kizazi cha Miaka 1970 hadi 1990 wamepigwa Chale na Chale nyingi zilizopigwa kwa watu hao ni kuwekwa sawa ili mambo yanyooke baada ya kuharibiwa na Ndugu zao hasa Mashangazi na wajomba.


  • Sijawahi pigwa chale.
  • Sijawahi pelekwa kwa Mganga.
  • sijui mganga.

Nimezaliwa 1971
 
Miaka ya 80 nikiwa Old Moshi secondary, wakati wa kuoga tulikuwa tunachekana na wingi wa chale kwenye mwili. Sio mchezo, usipochanjwa hutoboi. Mtu anakuambia hajui kwa mganga ni Mungu tu Ila mwilini chale zimejaa, Ni uuuuungwana!!
 
Kuna bint nilitaka nimgegede leo jioni bahati mbaya sijui aliinama vip ndio nikaona chale juu ya tako na alivyo kaha sawa kifuaNi nako iko chale nyeus iliyotakiwa kufutwa ila ikashindikana Basi haifichikia

Mara nyingi siwakubali San mademu venya chale na machale nais nao Kama Ni wachawi tu
Ungegegeda tuu, wala hakuna ambacho kingekuathiri baadae. Hizo ni imani za kinjinga zinazowasumbua wajinga, hazina matokeo yeyote ya maana kwao zaidi ya kuharibu miili yao, kujipotezea baadhi ya fursa nk.
 
Soma mambo ya walawi vizuri"usimwache mchawi akaishi,auawe"!!

Kumbe maandiko yanatambua uchawi sio !!

Yaani kama kuna nguvu za Mungu pia kuna nguvu za giza yaani uchawi!!

Kasome na Musa MBELE ya farao kuhusu fimbo ile!!!

Kama kweli huamini ipo siku uki decode pin code FULANI utashangaa SANA!!

Mi scientist hizi mambo nilikua sizitaki hata kuzisikia coz niliamini azipo lakini nilipoanza kujenga,kuingia kwenye biashara na mengineyo aiseh very bad!!!


Toa tu fungu la kumi angalau ulindwe na Mungu dhidi ya mabaya!!!
Uchawi unaoongelewa kwenye biblia sio huu wa kiafrica na kitanzania mnaofundishana hapa
 
Unadanganya, Sidanganyiki, Usidanganye.

Hakuna kitu kama hicho Tanzania.

Chale haina uhusiano wowote ule wa moja kwa moja na yale uliyoyainisha kwenye muktadha wako..

Wacha upotoshaji.
 
Nisikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Maisha haya ya kitanzania yaliyojaa dhiki, umasikini, roho mbaya, husda, vijicho, masengenyo na masimango ingekuwa ngumu sana kutoboa kimaisha kama wengi wetu tusingepita kwa kina karumanzira ili kuwekwa sawa.

Kila mtu anafahamu kilichompeleka kwa mganga lakini ukweli ni kwamba watu ndiyo sababu ya watu kwenda kwa waganga!.

Mara nyingi watu wanaofanya twende kwa waganga kwa ajili ya tiba ya kuweka miili sawa ni MASHANGAZI & WAJOMBA (USHANGAZINI na UJOMBANI).

Hadi leo sijafahamu ni kwanini kwenye jamii hii ya watanzania kina-Shangazi na Wajomba mara nyingi kama si zote wamekuwa na husda sana kwa watoto wa ndugu zao,yaani wapo radhi wakaroge huku na huko ili kuona mtoto wa ndugu yao hafanikiwi,na mara zote hizo wanapokuwa wakihangaika na watoto wa ndugu zao huwa wamewasahau watoto wao kwamba wanaendelea kukua na umri kuzidi kusonga, mwisho wa siku wanakuja kushituka watoto wa ndugu waliokuwa wakiwapiga vita wamefanikiwa huku mitoto yao akiendelea kugombania ugali wa mazabe hapo makwao.

Tusingechukua hatua mapema za kwenda kwa Sangoma kuwekwa mili sawa bila shaka mashangazi na wajomba wangekuwa wametumaliza zamani sana.

Kuanzia kizazi cha miaka ya 1970 hadi 1990 ukikuta mtu hana Chale kwenye mwili wake basi yawezekana hakuwa akiishi Tanzania na kama aliishi Tanzania uenda hakuwa na Mashangazi au Wajomba.

Asilimia 90% ya kizazi cha Miaka 1970 hadi 1990 wamepigwa Chale na Chale nyingi zilizopigwa kwa watu hao ni kuwekwa sawa ili mambo yanyooke baada ya kuharibiwa na Ndugu zao hasa Mashangazi na wajomba.
...Sasa sisi Tunakuchoshaje ? [emoji57][emoji57]
 
Nisikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Maisha haya ya kitanzania yaliyojaa dhiki, umasikini, roho mbaya, husda, vijicho, masengenyo na masimango ingekuwa ngumu sana kutoboa kimaisha kama wengi wetu tusingepita kwa kina karumanzira ili kuwekwa sawa.

Kila mtu anafahamu kilichompeleka kwa mganga lakini ukweli ni kwamba watu ndiyo sababu ya watu kwenda kwa waganga!.

Mara nyingi watu wanaofanya twende kwa waganga kwa ajili ya tiba ya kuweka miili sawa ni MASHANGAZI & WAJOMBA (USHANGAZINI na UJOMBANI).

Hadi leo sijafahamu ni kwanini kwenye jamii hii ya watanzania kina-Shangazi na Wajomba mara nyingi kama si zote wamekuwa na husda sana kwa watoto wa ndugu zao,yaani wapo radhi wakaroge huku na huko ili kuona mtoto wa ndugu yao hafanikiwi,na mara zote hizo wanapokuwa wakihangaika na watoto wa ndugu zao huwa wamewasahau watoto wao kwamba wanaendelea kukua na umri kuzidi kusonga, mwisho wa siku wanakuja kushituka watoto wa ndugu waliokuwa wakiwapiga vita wamefanikiwa huku mitoto yao akiendelea kugombania ugali wa mazabe hapo makwao.

Tusingechukua hatua mapema za kwenda kwa Sangoma kuwekwa mili sawa bila shaka mashangazi na wajomba wangekuwa wametumaliza zamani sana.

Kuanzia kizazi cha miaka ya 1970 hadi 1990 ukikuta mtu hana Chale kwenye mwili wake basi yawezekana hakuwa akiishi Tanzania na kama aliishi Tanzania uenda hakuwa na Mashangazi au Wajomba.

Asilimia 90% ya kizazi cha Miaka 1970 hadi 1990 wamepigwa Chale na Chale nyingi zilizopigwa kwa watu hao ni kuwekwa sawa ili mambo yanyooke baada ya kuharibiwa na Ndugu zao hasa Mashangazi na wajomba.
Iyo ni Imani yako tu ya chale ss kwetu hatufanyi ayo mambo na tunasavaivu vzr kabisaa tena ni jamii kubwa tu ambayo haifanyi izo mila
 
Kwa upande wa, kutokuugua maladhi kama malaria nk, nakumbuka kwa Bibi yangu chai asubuhi ilikuwa ni dawa, hakuna chai kama chai, ni majani ya mitishamba, yanachemshwa, mnatia sukari mnapiga kama vile tanga wizi!
Leo hii nikisikia mtu anasema anaumwa malaria huwa nashangaa, Mimi naweza kukaa hata miaka 7 bila kuugua malaria
 
Mimi nakumbuka nilipelekwa kwa mganga nikiwa na miaka sita iv ila ilipfka zoezi la kupigwa chale nilikemea kwa kumtaja Yesu
Mzazi alisitisha kila kitu tukaanza safari ya kurudi
 
Back
Top Bottom