Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pimbi wa LumumbaMkuu wanakuja muda si mrefu kukupinga.
Na ndicho wanachokifanya wanafiki akina NdungaiNyerere aliona hayaView attachment 1474529
Mzuvendi Tabutupu salaamKuna watu wataleta nyuzi za kishamba sana eti haoni mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya miaka 5 au 10 ya Dr Magufuli. Sisemei Dr Magufuli hajafanya kazi , la hasha, Kajitahidi na kachapa kazi ila Tanzania ina watu mil 58 , naamini kuna watu Zaidi ya mil 1 wanaoweza kufanya vizuri kwenye kiti cha Urais Zaidi ya Dr Magufuli.
Wengi wanaomzunguzia Dr Magufuli kama mungu ni washamba Fulani ambao hawana exposure ya kutosha na elimu yao ni ya chini sana. Lakini tatizo lao kubwa ni IQ yao kuwa chini sana below the bottom line .
Tanzania kukosa viongozi wazuri ni matokeo ya Katiba mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kuua Demokrasia ambayo ndio njia sahihi ya kuwaona viongozi wazuri. Wengi wanahofu hata wamekata tamaa ya siasa kwa sababu ya vitisho vya wenye mamlaka wasio jali haki za binadamu hata ndani ya chama cha CCM.
Hata Nyerere aliimbiwa nyimbo kama hizi na maadhi ya wapumbavu na wasio na akili lakini mwishoni mwenyewe Nyerere akaona hatoshi. Laiti angekubali vichwa kama kina Kambona leo Tanzania ingekua moja ya nchi zenye uchumi bora na Imara Africa Zaidi ya Nigeria na South Africa.
Ethiopia imetawaliwa na Mawaziri wakuu wawili wakatili wasio jail haki za binadamu ,wao waliamini katika maendeleo ya mkono wa chuma nao si wengine ni Hailemariam Desalegn na Meles Zenawi.
Katika vipindi vyao haki za buinadamu zilizorota sana, waandishi wa Habari wengi walifungwa na kuteswa , wananchi wengi walikimbia nchi yao , wapinzania wangi wakaishia gerezani . Pamoja na maendeleo waliyo yaleta kama barabara, Ethiopia airlines, etc mwisho chama chao kikakiri hawahitaji viongozi wakatili wanao angalia maenmdeleo bila haki za binadamu , wanahitaji demokrasia, uhuru wa kuchagua, uhuru wa kuongea na kusikilizwa etc.
Hawa wote waliimbiwa manyimbo ya kipumbavu kama wanayo imba kima kessy, msukuma, lijuakali,Sanga na wapumbavu wengine bungeni wasio jitambua kutokana na IQ zao kuwa chini sana.
Baada yah hapo chama kikamleta kijana msomi na mwelevu Abiy Ahmed ambaye ameleta neema kwa watu wa Ethiopia, maendeleo anasimamia, uchumi unaenda kwa kasi, hata kisasi na mtu, vyama vya siasa vinafanya siasa, wandishi wanaandika mambo yao kwa uhuru, walio kimbia nchi yao wamerudi,mahakama zinafanya kazi zao kwa uhuru, vyombo vya dola vinasimamia haki sawasawa bila kumwonea mtu etc.
Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.
Kumbuka: Wale waliokua nondo Olevel wakiamini wao ndio wenye akili Tanzania, Siku wameenda shule kama Ilboru , Mzumbe Kibaha, wakashangaa wanashika mkia.
Pongezi sana kwa Dr Magufuli na Marais wote waliopita,
Dr Magufuli fanya kazi yako ,sepaaaaa.
Wapo wengi wenye maono na Taifa hili.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania wote Mil 58.
wakat unamuombea akae muda huo hujafikiria yy n binadamu na cku zake za kuish zinahesabika?nlitazamia usema serikali ijenge mfumo imara ili akitoka huyu aingiw mwngine mwenye vission ile ile.Nitakuona mbumbumbu kama kwel unakiri hakuna kama maguful hata kwa miaka 30 huk ukijua kabxa yy atanyakuliwa muda wwte,,je huyo ambaye atakuwa kama magufuli kwa miaka 30 ijayo atatoka sayar ya mars au n mfumo ndo utamjenga?think big,acha kuhusisha tumbo wkt wa kufikirNdani ya ccm na hata nje ya ccm kwa kizazi hiki sioni wa kumfikia magufuli hata robo utendaji wake.
Kwa haraka haraka toka baba wa Taifa nyerere aondoke madarakani 1984 nchi yetu haikuwahi kupata mzalendo kama magufuli wengi walijali maslahi yao ila magufuli kajilipua kuvaa viatu vya nyerere
Tukimpoteza magufuli itatuchikua miaka 30 tena kumpata magufuli mpya
Ndio maana tunakuomba magufuli ukae madarakani mpaka 2034 Ili uinyoshe nchi
Nchi ilishaoza hii ilishakua shamba la bibi
Magufuli tunakuomba kaa madarakani walau hata 2034 utupeleke tuwe kama Thailand
Hizi kelele za wachache mtandaoni ni za vijana wanaotumiwa na mafisadi kukuchafua zikuumize kichwa mzee wetu
Mungu akupe nguvu katika uongozi wako
Wawakat unamuombea akae muda huo hujafikiria yy n binadamu na cku zake za kuish zinahesabika?nlitazamia usema serikali ijenge mfumo imara ili akitoka huyu aingiw mwngine mwenye vission ile ile.Nitakuona mbumbumbu kama kwel unakiri hakuna kama maguful hata kwa miaka 30 huk ukijua kabxa yy atanyakuliwa muda wwte,,je huyo ambaye atakuwa kama magufuli kwa miaka 30 ijayo atatoka sayar ya mars au n mfumo ndo utamjenga?think big,acha kuhusisha tumbo wkt wa kufikir
Namshauri anayezungumziwa humu atizame nama Leiscester City walivo achieve EFL championship chini ya Manager Ranielli. Na nini kifata mwaka ujao kwa Manager wao.
Achia ngazi kabla hujachokwa. Hao wanaokupigia kipenga sasa hivi ndio watakuwa wa kwanza kusema walifanya makosa. Jee wewe utajitetea vipi? Usifanye mpaka ukaanza kusakamwa ka Elbashir wa Sudan.
Zaidi ya hayo yote, kujibadilishia katiba na kuongeza muda wako wa kikomo ni kuwavunjia heshima Marais walopita kabla yako Mh Mwinyi, Mh Mkapa na Mh Kikwete. Unapelekea dunia iamini you are the smartest of the bunch. Truthfully, you are not as smart as you are led to believe.
Nyerere aliona hayaView attachment 1474529
Naona unazidi kumtia hasira anaegawa riziki ya pumzi hata nkurunzinza may mosi alihutubia taifa hakujua chini ya siku kumi angeanza kuoza na kutoa harufu.Ndani ya ccm na hata nje ya ccm kwa kizazi hiki sioni wa kumfikia magufuli hata robo utendaji wake.
Kwa haraka haraka toka baba wa Taifa nyerere aondoke madarakani 1984 nchi yetu haikuwahi kupata mzalendo kama magufuli wengi walijali maslahi yao ila magufuli kajilipua kuvaa viatu vya nyerere
Tukimpoteza magufuli itatuchikua miaka 30 tena kumpata magufuli mpya
Ndio maana tunakuomba magufuli ukae madarakani mpaka 2034 Ili uinyoshe nchi
Nchi ilishaoza hii ilishakua shamba la bibi
Magufuli tunakuomba kaa madarakani walau hata 2034 utupeleke tuwe kama Thailand
Hizi kelele za wachache mtandaoni ni za vijana wanaotumiwa na mafisadi kukuchafua zikuumize kichwa mzee wetu
Mungu akupe nguvu katika uongozi wako
Naona unazidi kumtia hasira anaegawa riziki ya pumzi hata nkurunzinza may mosi alihutubia taifa hakujua chini ya siku kumi angeanza kuoza na kutoa harufu.
Mbona wako vichaa wengi tu barabarani, wamchukie mmojawapo wameapisheKuna watu wataleta nyuzi za kishamba sana eti haoni mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya miaka 5 au 10 ya Dr Magufuli. Sisemei Dr Magufuli hajafanya kazi , la hasha, Kajitahidi na kachapa kazi ila Tanzania ina watu mil 58 , naamini kuna watu Zaidi ya mil 1 wanaoweza kufanya vizuri kwenye kiti cha Urais Zaidi ya Dr Magufuli.
Wengi wanaomzunguzia Dr Magufuli kama mungu ni washamba Fulani ambao hawana exposure ya kutosha na elimu yao ni ya chini sana. Lakini tatizo lao kubwa ni IQ yao kuwa chini sana below the bottom line .
Tanzania kukosa viongozi wazuri ni matokeo ya Katiba mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kuua Demokrasia ambayo ndio njia sahihi ya kuwaona viongozi wazuri. Wengi wanahofu hata wamekata tamaa ya siasa kwa sababu ya vitisho vya wenye mamlaka wasio jali haki za binadamu hata ndani ya chama cha CCM.
Hata Nyerere aliimbiwa nyimbo kama hizi na maadhi ya wapumbavu na wasio na akili lakini mwishoni mwenyewe Nyerere akaona hatoshi. Laiti angekubali vichwa kama kina Kambona leo Tanzania ingekua moja ya nchi zenye uchumi bora na Imara Africa Zaidi ya Nigeria na South Africa.
Ethiopia imetawaliwa na Mawaziri wakuu wawili wakatili wasio jail haki za binadamu ,wao waliamini katika maendeleo ya mkono wa chuma nao si wengine ni Hailemariam Desalegn na Meles Zenawi.
Katika vipindi vyao haki za buinadamu zilizorota sana, waandishi wa Habari wengi walifungwa na kuteswa , wananchi wengi walikimbia nchi yao , wapinzania wangi wakaishia gerezani . Pamoja na maendeleo waliyo yaleta kama barabara, Ethiopia airlines, etc mwisho chama chao kikakiri hawahitaji viongozi wakatili wanao angalia maenmdeleo bila haki za binadamu , wanahitaji demokrasia, uhuru wa kuchagua, uhuru wa kuongea na kusikilizwa etc.
Hawa wote waliimbiwa manyimbo ya kipumbavu kama wanayo imba kima kessy, msukuma, lijuakali,Sanga na wapumbavu wengine bungeni wasio jitambua kutokana na IQ zao kuwa chini sana.
Baada yah hapo chama kikamleta kijana msomi na mwelevu Abiy Ahmed ambaye ameleta neema kwa watu wa Ethiopia, maendeleo anasimamia, uchumi unaenda kwa kasi, hata kisasi na mtu, vyama vya siasa vinafanya siasa, wandishi wanaandika mambo yao kwa uhuru, walio kimbia nchi yao wamerudi,mahakama zinafanya kazi zao kwa uhuru, vyombo vya dola vinasimamia haki sawasawa bila kumwonea mtu etc.
Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.
Kumbuka: Wale waliokua nondo Olevel wakiamini wao ndio wenye akili Tanzania, Siku wameenda shule kama Ilboru , Mzumbe Kibaha, wakashangaa wanashika mkia.
Pongezi sana kwa Dr Magufuli na Marais wote waliopita,
Dr Magufuli fanya kazi yako ,sepaaaaa.
Wapo wengi wenye maono na Taifa hili.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania wote Mil 58.
Kwa kumbukumbu zangu timamu,hakuna watu walioeatesa wananchi wa Tanzania Kama viongozi waliokuwa CCM kipindi Cha uongozi wa awamu ya pili,ya tatu na ya nne .mtu alikuwa akivaa sare za CCM inatosha huishi bila kufanya kazi.ufisadi,wizi,rushwa,ukwepaji Kodi,watu kutokufanya kazi,watu kujilimbikizi Mali,ukinunua uongozi vilikifhiri awamu zote hizo.kwa Sasa wanaisoma namba.na wananchi walio wengi wanasema JPM anatosha hata akipewa uongozi miaka 15 bado ni kidogo.CCM ulikuwa Kama mchwa unaokula mbao hata mabati.nikimkumbuka mh ngeleja, sengerema imezungukwa na ziwa Victoria Hadi leo wananchi wake hawana maji wakati kahama Wana maji kutoka ziwa Victoria? Watanzania wote Sasa watafaidi keki ya taifa,hivyo hoja ya kubalidi Katina aongezewe muda sio today tija ni maendeleo kwanzaKuna watu wataleta nyuzi za kishamba sana eti haoni mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya miaka 5 au 10 ya Dr Magufuli. Sisemei Dr Magufuli hajafanya kazi , la hasha, Kajitahidi na kachapa kazi ila Tanzania ina watu mil 58 , naamini kuna watu Zaidi ya mil 1 wanaoweza kufanya vizuri kwenye kiti cha Urais Zaidi ya Dr Magufuli.
Wengi wanaomzunguzia Dr Magufuli kama mungu ni washamba Fulani ambao hawana exposure ya kutosha na elimu yao ni ya chini sana. Lakini tatizo lao kubwa ni IQ yao kuwa chini sana below the bottom line .
Tanzania kukosa viongozi wazuri ni matokeo ya Katiba mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kuua Demokrasia ambayo ndio njia sahihi ya kuwaona viongozi wazuri. Wengi wanahofu hata wamekata tamaa ya siasa kwa sababu ya vitisho vya wenye mamlaka wasio jali haki za binadamu hata ndani ya chama cha CCM.
Hata Nyerere aliimbiwa nyimbo kama hizi na maadhi ya wapumbavu na wasio na akili lakini mwishoni mwenyewe Nyerere akaona hatoshi. Laiti angekubali vichwa kama kina Kambona leo Tanzania ingekua moja ya nchi zenye uchumi bora na Imara Africa Zaidi ya Nigeria na South Africa.
Ethiopia imetawaliwa na Mawaziri wakuu wawili wakatili wasio jail haki za binadamu ,wao waliamini katika maendeleo ya mkono wa chuma nao si wengine ni Hailemariam Desalegn na Meles Zenawi.
Katika vipindi vyao haki za buinadamu zilizorota sana, waandishi wa Habari wengi walifungwa na kuteswa , wananchi wengi walikimbia nchi yao , wapinzania wangi wakaishia gerezani . Pamoja na maendeleo waliyo yaleta kama barabara, Ethiopia airlines, etc mwisho chama chao kikakiri hawahitaji viongozi wakatili wanao angalia maenmdeleo bila haki za binadamu , wanahitaji demokrasia, uhuru wa kuchagua, uhuru wa kuongea na kusikilizwa etc.
Hawa wote waliimbiwa manyimbo ya kipumbavu kama wanayo imba kima kessy, msukuma, lijuakali,Sanga na wapumbavu wengine bungeni wasio jitambua kutokana na IQ zao kuwa chini sana.
Baada yah hapo chama kikamleta kijana msomi na mwelevu Abiy Ahmed ambaye ameleta neema kwa watu wa Ethiopia, maendeleo anasimamia, uchumi unaenda kwa kasi, hata kisasi na mtu, vyama vya siasa vinafanya siasa, wandishi wanaandika mambo yao kwa uhuru, walio kimbia nchi yao wamerudi,mahakama zinafanya kazi zao kwa uhuru, vyombo vya dola vinasimamia haki sawasawa bila kumwonea mtu etc.
Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.
Kumbuka: Wale waliokua nondo Olevel wakiamini wao ndio wenye akili Tanzania, Siku wameenda shule kama Ilboru , Mzumbe Kibaha, wakashangaa wanashika mkia.
Pongezi sana kwa Dr Magufuli na Marais wote waliopita,
Dr Magufuli fanya kazi yako ,sepaaaaa.
Wapo wengi wenye maono na Taifa hili.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania wote Mil 58.
Kabisa! Ni kukosa akili kama walivyo wanachedema kusema mpaka leo hakuna wa kuvaa viatu vya MboweWaje niwaongezee IQ capacity