Kusema hakuna mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya Dkt. Magufuli ni kukosa akili

Kusema hakuna mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya Dkt. Magufuli ni kukosa akili

Mkuu wanakuja muda si mrefu kukupinga.
Pimbi wa Lumumba
FB_IMG_1589682992908.jpg
 
Kuna watu wataleta nyuzi za kishamba sana eti haoni mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya miaka 5 au 10 ya Dr Magufuli. Sisemei Dr Magufuli hajafanya kazi , la hasha, Kajitahidi na kachapa kazi ila Tanzania ina watu mil 58 , naamini kuna watu Zaidi ya mil 1 wanaoweza kufanya vizuri kwenye kiti cha Urais Zaidi ya Dr Magufuli.

Wengi wanaomzunguzia Dr Magufuli kama mungu ni washamba Fulani ambao hawana exposure ya kutosha na elimu yao ni ya chini sana. Lakini tatizo lao kubwa ni IQ yao kuwa chini sana below the bottom line .

Tanzania kukosa viongozi wazuri ni matokeo ya Katiba mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kuua Demokrasia ambayo ndio njia sahihi ya kuwaona viongozi wazuri. Wengi wanahofu hata wamekata tamaa ya siasa kwa sababu ya vitisho vya wenye mamlaka wasio jali haki za binadamu hata ndani ya chama cha CCM.

Hata Nyerere aliimbiwa nyimbo kama hizi na maadhi ya wapumbavu na wasio na akili lakini mwishoni mwenyewe Nyerere akaona hatoshi. Laiti angekubali vichwa kama kina Kambona leo Tanzania ingekua moja ya nchi zenye uchumi bora na Imara Africa Zaidi ya Nigeria na South Africa.

Ethiopia imetawaliwa na Mawaziri wakuu wawili wakatili wasio jail haki za binadamu ,wao waliamini katika maendeleo ya mkono wa chuma nao si wengine ni Hailemariam Desalegn na Meles Zenawi.

Katika vipindi vyao haki za buinadamu zilizorota sana, waandishi wa Habari wengi walifungwa na kuteswa , wananchi wengi walikimbia nchi yao , wapinzania wangi wakaishia gerezani . Pamoja na maendeleo waliyo yaleta kama barabara, Ethiopia airlines, etc mwisho chama chao kikakiri hawahitaji viongozi wakatili wanao angalia maenmdeleo bila haki za binadamu , wanahitaji demokrasia, uhuru wa kuchagua, uhuru wa kuongea na kusikilizwa etc.

Hawa wote waliimbiwa manyimbo ya kipumbavu kama wanayo imba kima kessy, msukuma, lijuakali,Sanga na wapumbavu wengine bungeni wasio jitambua kutokana na IQ zao kuwa chini sana.

Baada yah hapo chama kikamleta kijana msomi na mwelevu Abiy Ahmed ambaye ameleta neema kwa watu wa Ethiopia, maendeleo anasimamia, uchumi unaenda kwa kasi, hata kisasi na mtu, vyama vya siasa vinafanya siasa, wandishi wanaandika mambo yao kwa uhuru, walio kimbia nchi yao wamerudi,mahakama zinafanya kazi zao kwa uhuru, vyombo vya dola vinasimamia haki sawasawa bila kumwonea mtu etc.

Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.

Kumbuka: Wale waliokua nondo Olevel wakiamini wao ndio wenye akili Tanzania, Siku wameenda shule kama Ilboru , Mzumbe Kibaha, wakashangaa wanashika mkia.

Pongezi sana kwa Dr Magufuli na Marais wote waliopita,
Dr Magufuli fanya kazi yako ,sepaaaaa.
Wapo wengi wenye maono na Taifa hili.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania wote Mil 58.
Mzuvendi Tabutupu salaam

Wanasaikolojia wanasema "mtu anayeongea kwa sauti ya juu katika mazungumzo, au mtu anayetumia lugha kali katika mijadala analazimisha watu waamini kua hakuna mbadala wa anachokiongea na pili amepungukiwa mapenzi na anao ongea nao ( Mfano mzuri ni pale unapokua na penzi changa uongeaji wake huwa tofauti na unapokua umemchoka uliyekua unampenda)

NAOMBA NIKUPE ELIMU HII ADHIMU UKITAKA ICHUKUE UKIGOMA HEWALA UKIAMUA KUNITUSI INSHALLAH...

MOSI
Makhalifa/Viongozi/Watawala ni uzao na si mafunzo. watu hawa ni uzao wanmwishoni mwa mwaka yaani Oktoba hadi Desemba pale, hawa haswa huletwa katika dunia hii kwa ajili ya kuongoza.

PILI
Makhalifa/Viongozi/Watawala ubora wao sasa huchagizwa na makuzi ambayo hujumuisha elimu, mazingira na hata maumbile (urefu, ufupi, unene au wembamba).

Nitafafanua kidogo mjeledi huu

ELIMU
Hapa Makhalifa/Viongozi/Watawala hupewa Muongozo wa kiuzoefu dhidi ya kazi yao Mfano wake ni sawa na kumchukia mtoto mwenye kipaji cha kuchora kisha ukamuingiza darasani kumnoa zaidi.

MAKUZI
Wanasaikolojia wanasema mtoto aliyelelewa katika mazingira ya ukatili katika kipindi cha mwaka mmoja hadi sita hawezi kuwa na upendo, wala huruma akikua.

MAZINGIRA
Wanasayansi ya jamii wanasema "asili ya mwanadamu haina uhalisia wake yenyewe, bali ni zao la mazingira yanayomzunguka" mazingira humfinyanga mtu kulingana na yenyewe na si kinyume chake.

MAUMBILE
Urefu; tabia za maumbile zinawahukumu watu wa aina hii kuwa watulivu katika MAAMUZI na wenye kujiamini, kitu ambacho kinawatengenezea marafiki wengi kuliko maadui.

Ufupi; tabia ya maumbile huhukumu kwamba watu wa kaliba hii hujihisi kudharauliwa na kutopewa kipaumbele katika maamuzi, hujikuta wakiwa na maadui wengi hasa wale wasiokua na busara katika ung'amuzi wa Mambo

Aidha hupenda kuchomoza katika kundi kubwa la watu ili kuonyesha uwepo wao, hivyo hujikuta wakilazimika kutumia nguvu nyingi kuthibitisha nia yao.

Unene + Urefu; tabia za maumbile huwahukumu watu hawa kama watu wavivu na wakatili sana, hupenda kutumia maumbo yao makubwa kupata vitu visivyo halali yao

Pia hujiamini kupindukia na kuingia kwenye kundi la watu wenye dharau na hii huwa nzuri au mbaya bi maana anakuachia kwa kukuhurumia au kwa kujua muda wowote akihitaji jambo Hilo atalipata

Wembamba + Urefu; vipenzi vya wanawake, wazinifu wapenda sifa, wasiojali hisia za mtu, hujihusisha pia na ukatili japo ukatili wao ni wa kihisia zaidi kuliko kimaungo.

Watulivu sana, wasio na papara katika Mambo, hujiamini sana, kitendo cha kupelekea kuwa na dharau, ni rahisi kutengemeza maadui wa siri kuliko wa dhahiri

Hivyo uzao ule wa Mwisho wa Mwisho Makhalifa/Viongozi/Watawala akikumbwa na tabia hizo za kimaumbile unapata matokeo sawia.

KWANINI HOFU KUWA DR. MAGUFULI HAKUNA KAMA YEYE?

Dr. JPM amefanikiwa kuwa wa pekee kutokana na yeye kuwa na combination nyingi sana ambazo zinaleta matokeo chanya na hasi yenye muelekeo chanya.

Nitahitimisha kwa combination hiyo;
Ni uzao wa mwisho wa mwaka, amekuzwa katika kutumia jasho katika kupata mkate, amelelewa kijasiri na katika kuamini katika yeye, amekuzwa katika mazingira ya dini, amefunzwa upendo wenye kuzingatia haki na utu, amepata elimu katika kiwango cha juu sana Dr. Of Philosophy PhD.

Kutokana na kimo chake rejea sifa tajwa hapo juu. Hivyo utaona ni namna gani inavyokua ngumu kukumbana na sifa zote hizi katika sehemu moja.

JE HAKUNA KAMA YEYE?
La hasha, wapo wanaoweza kuwa kama yeye au hata zaidi ya yeye bali lipo jambo moja lililothibitika kijamii kwamba "Ndege mmoja aliyepo mkononi ni bora kuliko wawili walio porini"

NINI KIFANYIKE SASA?

Hypothetically
Dr. JPM anatakiwa kabla ya kuchoka/kuchokwa na kuondoka atupe zawadi ya mfumo wa upatikanaji Viongozi

Mfanowe;
Liwepo Baraza la Usalama wa Taifa lenye wajumbe ambao hupatikana kwa kupandishwa vyeo kutokana na weledi na sifa zao tukuka kazini.

Mfano; amewahi fanya Jambo la kizalendo lenye tija kwa nchi hivyo kupata wadhifa fulani, Baraza hili litakua ni siri na automatic yaani wajumbe wake kutumikia kwa kiapo ambacho watakua chini ya watchdogs na adhabu yake atakapo kengeuka ni kuwa wiped out yeye na kizazi chake.

Baraza hilo litakua na wajibu wa kupitisha viongozi wa kada mbali mbali kwa njia ya Kura za Siri.

Usiku mwema.
 
Ninachojua Yohana atakufa tu.
Acha apewe hata life time kwenye hiko kitabu cha sheria mama lkn hatadumu...

Yohana sasa ana miaka 60 vyovyote iwavyo ndani ya kumi ijayo atakuwa kaenda kuonana na Nkurunziza aliko.
Mwisho wa andiko.
 
Namshauri anayezungumziwa humu atizame namna Leiscester City walivo achieve EFL championship chini ya Manager Ranielli. Na nini kilifata mwaka ujao kwa Manager wao.
Achia ngazi kabla hujachokwa. Hao wanaokupigia kipenga sasa hivi ndio watakuwa wa kwanza kusema walifanya makosa. Jee wewe utajitetea vipi? Usifanye mpaka ukachokwa na ukaanza kusakamwa ka Elbashir wa Sudan.

Zaidi ya hayo yote, kujibadilishia katiba na kuongeza muda zaidi ya miaka 10 ni kuwavunjia heshima Marais walopita kabla yako Mh Mwinyi, Mh Mkapa na Mh Kikwete. Unapelekea dunia iamini you are the smartest of the bunch. Frankly, you are not as smart as you are led to believe.
 
Wa
Ndani ya ccm na hata nje ya ccm kwa kizazi hiki sioni wa kumfikia magufuli hata robo utendaji wake.
Kwa haraka haraka toka baba wa Taifa nyerere aondoke madarakani 1984 nchi yetu haikuwahi kupata mzalendo kama magufuli wengi walijali maslahi yao ila magufuli kajilipua kuvaa viatu vya nyerere

Tukimpoteza magufuli itatuchikua miaka 30 tena kumpata magufuli mpya

Ndio maana tunakuomba magufuli ukae madarakani mpaka 2034 Ili uinyoshe nchi

Nchi ilishaoza hii ilishakua shamba la bibi

Magufuli tunakuomba kaa madarakani walau hata 2034 utupeleke tuwe kama Thailand

Hizi kelele za wachache mtandaoni ni za vijana wanaotumiwa na mafisadi kukuchafua zikuumize kichwa mzee wetu

Mungu akupe nguvu katika uongozi wako
wakat unamuombea akae muda huo hujafikiria yy n binadamu na cku zake za kuish zinahesabika?nlitazamia usema serikali ijenge mfumo imara ili akitoka huyu aingiw mwngine mwenye vission ile ile.Nitakuona mbumbumbu kama kwel unakiri hakuna kama maguful hata kwa miaka 30 huk ukijua kabxa yy atanyakuliwa muda wwte,,je huyo ambaye atakuwa kama magufuli kwa miaka 30 ijayo atatoka sayar ya mars au n mfumo ndo utamjenga?think big,acha kuhusisha tumbo wkt wa kufikir
 
Achana naye.. hajui hata nini ana andika.. tatizo shule hana.
Wawakat unamuombea akae muda huo hujafikiria yy n binadamu na cku zake za kuish zinahesabika?nlitazamia usema serikali ijenge mfumo imara ili akitoka huyu aingiw mwngine mwenye vission ile ile.Nitakuona mbumbumbu kama kwel unakiri hakuna kama maguful hata kwa miaka 30 huk ukijua kabxa yy atanyakuliwa muda wwte,,je huyo ambaye atakuwa kama magufuli kwa miaka 30 ijayo atatoka sayar ya mars au n mfumo ndo utamjenga?think big,acha kuhusisha tumbo wkt wa kufikir
 
Kabisa.. na ahakikishe ana train vijana kwa.ajili ya succession lakini huyu jamaa anataka awe star mwenyewe.. vijana pontential wote kawafukuza.
Namshauri anayezungumziwa humu atizame nama Leiscester City walivo achieve EFL championship chini ya Manager Ranielli. Na nini kifata mwaka ujao kwa Manager wao.
Achia ngazi kabla hujachokwa. Hao wanaokupigia kipenga sasa hivi ndio watakuwa wa kwanza kusema walifanya makosa. Jee wewe utajitetea vipi? Usifanye mpaka ukaanza kusakamwa ka Elbashir wa Sudan.

Zaidi ya hayo yote, kujibadilishia katiba na kuongeza muda wako wa kikomo ni kuwavunjia heshima Marais walopita kabla yako Mh Mwinyi, Mh Mkapa na Mh Kikwete. Unapelekea dunia iamini you are the smartest of the bunch. Truthfully, you are not as smart as you are led to believe.
 
Ndani ya ccm na hata nje ya ccm kwa kizazi hiki sioni wa kumfikia magufuli hata robo utendaji wake.
Kwa haraka haraka toka baba wa Taifa nyerere aondoke madarakani 1984 nchi yetu haikuwahi kupata mzalendo kama magufuli wengi walijali maslahi yao ila magufuli kajilipua kuvaa viatu vya nyerere

Tukimpoteza magufuli itatuchikua miaka 30 tena kumpata magufuli mpya

Ndio maana tunakuomba magufuli ukae madarakani mpaka 2034 Ili uinyoshe nchi

Nchi ilishaoza hii ilishakua shamba la bibi

Magufuli tunakuomba kaa madarakani walau hata 2034 utupeleke tuwe kama Thailand

Hizi kelele za wachache mtandaoni ni za vijana wanaotumiwa na mafisadi kukuchafua zikuumize kichwa mzee wetu

Mungu akupe nguvu katika uongozi wako
Naona unazidi kumtia hasira anaegawa riziki ya pumzi hata nkurunzinza may mosi alihutubia taifa hakujua chini ya siku kumi angeanza kuoza na kutoa harufu.
 
Ni hasara na msiba mkubwa kwa Taifa letu kuwa na wabunge wengi wa chama chakavu bungeni.
FB_IMG_1581784320400.jpg
 
Ukiona hivi ni dalili amechokwa.. kuna mahali nimesoma eti maombi yamejibiwa nchi nyingine.
Naona unazidi kumtia hasira anaegawa riziki ya pumzi hata nkurunzinza may mosi alihutubia taifa hakujua chini ya siku kumi angeanza kuoza na kutoa harufu.
 
Hili jamaa hapa kuna mipumbavu kama kina kessy, msukuma, mulinga, lusinde etc waliliimbia minyimbo ya kubaki madarakani na kulisifia kama mungu.
FB_IMG_1591697536045.jpeg
 
Kuna watu wataleta nyuzi za kishamba sana eti haoni mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya miaka 5 au 10 ya Dr Magufuli. Sisemei Dr Magufuli hajafanya kazi , la hasha, Kajitahidi na kachapa kazi ila Tanzania ina watu mil 58 , naamini kuna watu Zaidi ya mil 1 wanaoweza kufanya vizuri kwenye kiti cha Urais Zaidi ya Dr Magufuli.

Wengi wanaomzunguzia Dr Magufuli kama mungu ni washamba Fulani ambao hawana exposure ya kutosha na elimu yao ni ya chini sana. Lakini tatizo lao kubwa ni IQ yao kuwa chini sana below the bottom line .

Tanzania kukosa viongozi wazuri ni matokeo ya Katiba mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kuua Demokrasia ambayo ndio njia sahihi ya kuwaona viongozi wazuri. Wengi wanahofu hata wamekata tamaa ya siasa kwa sababu ya vitisho vya wenye mamlaka wasio jali haki za binadamu hata ndani ya chama cha CCM.

Hata Nyerere aliimbiwa nyimbo kama hizi na maadhi ya wapumbavu na wasio na akili lakini mwishoni mwenyewe Nyerere akaona hatoshi. Laiti angekubali vichwa kama kina Kambona leo Tanzania ingekua moja ya nchi zenye uchumi bora na Imara Africa Zaidi ya Nigeria na South Africa.

Ethiopia imetawaliwa na Mawaziri wakuu wawili wakatili wasio jail haki za binadamu ,wao waliamini katika maendeleo ya mkono wa chuma nao si wengine ni Hailemariam Desalegn na Meles Zenawi.

Katika vipindi vyao haki za buinadamu zilizorota sana, waandishi wa Habari wengi walifungwa na kuteswa , wananchi wengi walikimbia nchi yao , wapinzania wangi wakaishia gerezani . Pamoja na maendeleo waliyo yaleta kama barabara, Ethiopia airlines, etc mwisho chama chao kikakiri hawahitaji viongozi wakatili wanao angalia maenmdeleo bila haki za binadamu , wanahitaji demokrasia, uhuru wa kuchagua, uhuru wa kuongea na kusikilizwa etc.

Hawa wote waliimbiwa manyimbo ya kipumbavu kama wanayo imba kima kessy, msukuma, lijuakali,Sanga na wapumbavu wengine bungeni wasio jitambua kutokana na IQ zao kuwa chini sana.

Baada yah hapo chama kikamleta kijana msomi na mwelevu Abiy Ahmed ambaye ameleta neema kwa watu wa Ethiopia, maendeleo anasimamia, uchumi unaenda kwa kasi, hata kisasi na mtu, vyama vya siasa vinafanya siasa, wandishi wanaandika mambo yao kwa uhuru, walio kimbia nchi yao wamerudi,mahakama zinafanya kazi zao kwa uhuru, vyombo vya dola vinasimamia haki sawasawa bila kumwonea mtu etc.

Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.

Kumbuka: Wale waliokua nondo Olevel wakiamini wao ndio wenye akili Tanzania, Siku wameenda shule kama Ilboru , Mzumbe Kibaha, wakashangaa wanashika mkia.

Pongezi sana kwa Dr Magufuli na Marais wote waliopita,
Dr Magufuli fanya kazi yako ,sepaaaaa.
Wapo wengi wenye maono na Taifa hili.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania wote Mil 58.
Mbona wako vichaa wengi tu barabarani, wamchukie mmojawapo wameapishe
 
Kuna watu wataleta nyuzi za kishamba sana eti haoni mtu wa kuvaa viatu vya Urais baada ya miaka 5 au 10 ya Dr Magufuli. Sisemei Dr Magufuli hajafanya kazi , la hasha, Kajitahidi na kachapa kazi ila Tanzania ina watu mil 58 , naamini kuna watu Zaidi ya mil 1 wanaoweza kufanya vizuri kwenye kiti cha Urais Zaidi ya Dr Magufuli.

Wengi wanaomzunguzia Dr Magufuli kama mungu ni washamba Fulani ambao hawana exposure ya kutosha na elimu yao ni ya chini sana. Lakini tatizo lao kubwa ni IQ yao kuwa chini sana below the bottom line .

Tanzania kukosa viongozi wazuri ni matokeo ya Katiba mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kuua Demokrasia ambayo ndio njia sahihi ya kuwaona viongozi wazuri. Wengi wanahofu hata wamekata tamaa ya siasa kwa sababu ya vitisho vya wenye mamlaka wasio jali haki za binadamu hata ndani ya chama cha CCM.

Hata Nyerere aliimbiwa nyimbo kama hizi na maadhi ya wapumbavu na wasio na akili lakini mwishoni mwenyewe Nyerere akaona hatoshi. Laiti angekubali vichwa kama kina Kambona leo Tanzania ingekua moja ya nchi zenye uchumi bora na Imara Africa Zaidi ya Nigeria na South Africa.

Ethiopia imetawaliwa na Mawaziri wakuu wawili wakatili wasio jail haki za binadamu ,wao waliamini katika maendeleo ya mkono wa chuma nao si wengine ni Hailemariam Desalegn na Meles Zenawi.

Katika vipindi vyao haki za buinadamu zilizorota sana, waandishi wa Habari wengi walifungwa na kuteswa , wananchi wengi walikimbia nchi yao , wapinzania wangi wakaishia gerezani . Pamoja na maendeleo waliyo yaleta kama barabara, Ethiopia airlines, etc mwisho chama chao kikakiri hawahitaji viongozi wakatili wanao angalia maenmdeleo bila haki za binadamu , wanahitaji demokrasia, uhuru wa kuchagua, uhuru wa kuongea na kusikilizwa etc.

Hawa wote waliimbiwa manyimbo ya kipumbavu kama wanayo imba kima kessy, msukuma, lijuakali,Sanga na wapumbavu wengine bungeni wasio jitambua kutokana na IQ zao kuwa chini sana.

Baada yah hapo chama kikamleta kijana msomi na mwelevu Abiy Ahmed ambaye ameleta neema kwa watu wa Ethiopia, maendeleo anasimamia, uchumi unaenda kwa kasi, hata kisasi na mtu, vyama vya siasa vinafanya siasa, wandishi wanaandika mambo yao kwa uhuru, walio kimbia nchi yao wamerudi,mahakama zinafanya kazi zao kwa uhuru, vyombo vya dola vinasimamia haki sawasawa bila kumwonea mtu etc.

Ni lazima watanzania tuendelee kuzipuuza sauti za hawa wachumia tumbo, wasio na akili. Tanzania inauwezo wa kutoa viongozi ambao wanaweza kubadilisha nchi hii ndani ya miaka michache, ikawa nchi nzuri, yenye uhuru, yenye uchumi imara, yenye kujali haki za binadamu, yenye demokrasia etc.

Kumbuka: Wale waliokua nondo Olevel wakiamini wao ndio wenye akili Tanzania, Siku wameenda shule kama Ilboru , Mzumbe Kibaha, wakashangaa wanashika mkia.

Pongezi sana kwa Dr Magufuli na Marais wote waliopita,
Dr Magufuli fanya kazi yako ,sepaaaaa.
Wapo wengi wenye maono na Taifa hili.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania wote Mil 58.
Kwa kumbukumbu zangu timamu,hakuna watu walioeatesa wananchi wa Tanzania Kama viongozi waliokuwa CCM kipindi Cha uongozi wa awamu ya pili,ya tatu na ya nne .mtu alikuwa akivaa sare za CCM inatosha huishi bila kufanya kazi.ufisadi,wizi,rushwa,ukwepaji Kodi,watu kutokufanya kazi,watu kujilimbikizi Mali,ukinunua uongozi vilikifhiri awamu zote hizo.kwa Sasa wanaisoma namba.na wananchi walio wengi wanasema JPM anatosha hata akipewa uongozi miaka 15 bado ni kidogo.CCM ulikuwa Kama mchwa unaokula mbao hata mabati.nikimkumbuka mh ngeleja, sengerema imezungukwa na ziwa Victoria Hadi leo wananchi wake hawana maji wakati kahama Wana maji kutoka ziwa Victoria? Watanzania wote Sasa watafaidi keki ya taifa,hivyo hoja ya kubalidi Katina aongezewe muda sio today tija ni maendeleo kwanza
 
Back
Top Bottom