Dini ya kikristo maana yake ni wafuasi wa Yesu Kristo ambaye yeye mwenyewe ni myahudi, tena siyo myahudi hivi hivi bali ni mfalme wa wayahudi.......kwa hiyo utaona namna ukristo unavyofungamana moja kwa moja na uyahudi.
kama wanayahudi wanafungamana na ukristo mbona hao wayahudi ndio waliomkataa huyo YESU na kumsulubu.Hivi unajua wayahudi wali na wametapakaa dunia nzima? unajua sababu yake.Unajua safari kutoka Misri hadi nchi ya ahadi sio umbali kiasi cha kusafiri kwa miaka 40 unajua kwanini mungu alikuwa anawatesa ni sababu ya kutengeneza ndama wa dhahabu.
Hivi unajua kuwa Israeli kwenyewe asilimia ya wakristo ni ndogo mno kuliko waislam..Hivi unajua waisraeli hawamtambui YESU kama mesian na hawajui kitu kinaitwa Christiamas
Usifuate maandiko kama zwazwa fanya utafiti kwanza.Watu kama nyie ndio mnaletewa kikombe mnakiabudu mtu kaoteshwa,nyie ndio.
Hivi unajua Israeli kuna misikiti 400 na kati ya hiyo 73 iko mji wa Jerusalem?
Basi kwa taarifa yake kwenye jeshi la IDF la Israeli kuna waislam pia pia Palestine wapo wakristo PiA
Sasa ni hivi dini ya uyahudi israeli ni asilimia 73.6,waislam 18.1 wakristo dini yako pendwa unayoiunganisha na uyahudi asilimia 1.9
Kwa taarifa yako tena kutapakaa kwa wayahudi dunia nzima ni kama adhabu mungu aliwapa ndo maana wakawa hawana taifa lao ikabidi Umoja wa Mataifa uwatafutie kwa nguvu na ili kupanua mipaka wanachokoza ndugu zao wapalestina ila kitu kimoja mungu amewajalia amewajalia akili nyingi kupindukia.
Angalia takwimu za dini Israeli