Kusema Israel ni taifa teule ni kumtukana Mungu wa kweli

Kusema Israel ni taifa teule ni kumtukana Mungu wa kweli

Neno gani la Mungu limejaa uongo!

Biblia ni Hekaya za kutungwa kabisa.

Just imagine, Umbali kutoka Misri mpaka Israel ni kilometa 613 tu.

Lakini Biblia inakwambia waisraeli walitumia miaka 40 mpaka kufika Israel..!!!

Yani Biblia ni zaidi ya chai☕☕☕🍃
Wewe mwenyewe usipoangalia hutofikia hatima Yako, mwamini Yesu Leo.
 
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! [emoji848] ni uongo mkubwa sana.

Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?

Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.

Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.

Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.

Matendo 10:34
Wamisri walichapwa vibaya mpaka Nasser akaugua moyo,wamepanga kuipiga Israel ndege zikafia uwanjani
 
Israel wanatumia, rocket,mabomu,bunduki ,ndege kumuadabisha adui,wakati sisi weusi tunafundishwa kuwakabidhi adui zetu kwa mungu wa Israel ashuhurike nao,tunafundishwa kusamehe saba mara sabini,tunafundishwa mtu akikunyanganya koti ,muachie na shati,waislam samahanini sana,nilikosea pakubwa kwa kutowaamini
 
Kama matendo ya duniani ni sababu ya uwepo wa Mungu huyo.

Basi hata Uovu, ukatili, uasi, mabaya, mateso na magonjwa na yenyewe ni matendo ya huyo huyo Mungu.

Na Mungu huyo ni Mkatili sana.
Kwani Mungu kakwambia anaogopa kuitwa mkatili.Ingekua hivyo kusingekua na kifo.Mungu aliumba dunia yenye kila kitu kibaya na kizuri ili ilete tafsiri halisi ya maisha.Kwahiyo yanayotokea ni hali ya maisha ili kuwe na kuishi na kutokuishi,mwanzo na mwisho.Kungekua na mazuri tu na hakuna kufa mngajuaje kuna aliyewaumba kama sasa tu mnaona kifo kipo bado tunaviburi.
 
Neno gani la Mungu limejaa uongo!

Biblia ni Hekaya za kutungwa kabisa.

Just imagine, Umbali kutoka Misri mpaka Israel ni kilometa 613 tu.

Lakini Biblia inakwambia waisraeli walitumia miaka 40 mpaka kufika Israel..!!!

Yani Biblia ni zaidi ya chai[emoji477][emoji477][emoji477][emoji261]
Ilitakuwa ujue kwanini walitumia muda mrefu.sababu zipo kwenye biblia hiyo hiyo ila kwavile hujaisoma ndo maana hujui,sasa kutokujua kwako unakuja na jibu la jumla kua ni stori yakutunga.Kitu kama ukijui kiulize uelimishwe.
 
Israel wanatumia, rocket,mabomu,bunduki ,ndege kumuadabisha adui,wakati sisi weusi tunafundishwa kuwakabidhi adui zetu kwa mungu wa Israel ashuhurike nao,tunafundishwa kusamehe saba mara sabini,tunafundishwa mtu akikunyanganya koti ,muachie na shati,waislam samahanini sana,nilikosea pakubwa kwa kutowaamini
Soma biblia yako vizuri uielewe acha kukurupuka.Au kwenye hiyo biblia yako hakuna vita zozote zikizotahwa uko?.Je hao wakiopigana hawakujua hayo unayoyasema yakugeuza mashavu?.
 
lakini Hamas asingejibiwa, mngeuliza Mungu wa Israel yuko wapi?

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Mchuma janga hula na wakwao
 
Wanayofanya Israel ndio alivyofanya mungu wa biblia yaani ndio namna mungu wa biblia anafanya kazi.

Hilo ni taifa kama mengine, ila ni kweli Yesu alizaliwa jeresalem ya uyahudi na kuamini kuwa myahudi ni mteule ni ishu ya kiimani. Hata makaburu wa south Africa wanamini kuwa wao ni wateule na wanatakiwa kuwatawala watu wa rangi nyingine. logical thinking Mungu hana taifa kwahiyo hana upendeleo. Kuamini kwamba Mungu anasapoti maovu ya watu Fulani Kwa kisingizio Cha uteule huo ni ujinga
 
Dini ya kikristo maana yake ni wafuasi wa Yesu Kristo ambaye yeye mwenyewe ni myahudi, tena siyo myahudi hivi hivi bali ni mfalme wa wayahudi.......kwa hiyo utaona namna ukristo unavyofungamana moja kwa moja na uyahudi.
Hiyo biblia ya wapi?
 
Ni muhimu kutambua kuwa majadiliano kuhusu dini, siasa, na migogoro yanaweza kuwa nyeti na ngumu. Maoni na mitazamo kuhusu masuala haya yanaweza kutofautiana sana kati ya watu.

Mgogoro wa Israeli na Wapalestina ni suala lenye mizizi mirefu na linajumuisha pande mbalimbali, likiwa na vipengele vya kihistoria, kisiasa, na kidini. Ni muhimu kufanya majadiliano kuhusu suala hili kwa kuzingatia uelewa, heshima kwa mitazamo tofauti, na nia ya kutafuta ufahamu.

Kuhusu kauli yako kuhusu dhana ya Israeli kama taifa la Mungu, imani kuhusu umuhimu wa kidini wa Israeli inatofautiana kati ya makundi mbalimbali ya kidini na kitamaduni. Ni suala ambalo limejadiliwa na kufasiriwa tofauti katika historia.

Ni vyema kutambua kuwa kumhusisha Mungu na rangi au kabila ni suala la imani na tafsiri ya kibinafsi. Imani za kidini na taswira za Mungu hutofautiana kati ya tamaduni na dini mbalimbali.

Majadiliano kuhusu tabia ya Mungu, mgogoro wa Israeli na Wapalestina, na ugumu wa imani za kidini yanahitaji mazungumzo yenye fikra safi na heshima. Ni muhimu kujikita katika majadiliano haya kwa umakini, uelewa, na dhamira ya kusikiliza mitazamo tofauti.
 
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! 🤔 ni uongo mkubwa sana.

Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?

Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.

Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.

Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.

Matendo 10:34
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.
 
Ilitakuwa ujue kwanini walitumia muda mrefu.sababu zipo kwenye biblia hiyo hiyo ila kwavile hujaisoma ndo maana hujui,sasa kutokujua kwako unakuja na jibu la jumla kua ni stori yakutunga.Kitu kama ukijui kiulize uelimishwe.
Nakwambia hivi Biblia ni Hekaya za kutungwa sawa na stori za udaku.
 
Kwani Mungu kakwambia anaogopa kuitwa mkatili.
Kuna sehemu nimeandika Mungu ana ogopa kuitwa mkatili?

Nilisema na nakwambia hivi 👇

Mungu wenu huyo ni Mkatili sana.
Ingekua hivyo kusingekua na kifo.Mungu aliumba dunia yenye kila kitu kibaya na kizuri ili ilete tafsiri halisi ya maisha.Kwahiyo yanayotokea ni hali ya maisha ili kuwe na kuishi na kutokuishi,mwanzo na mwisho.Kungekua na mazuri tu na hakuna kufa mngajuaje kuna aliyewaumba kama sasa tu mnaona kifo kipo bado tunaviburi.
Kiburi ni nini?

Unataka kuhalalisha imani zako za uwepo wa Mungu kwa kusema tusio mwamini Mungu huyo tuna viburi.

Nakwambia hivi Mungu hayupo.
 
Ina maana wewe unaijua historia ya Israel kuliko wa-Israel wenyewe... I mean Netanyahu.
Kuijua historia yako anaweza kuijua hata mtu baki siyo jambo geni, wazungu wanaijua historia ya Afrika kuliko waafrika wenyewe.
 
Israel kutawaliwa na Romans na Romans kutawala ulaya na ulaya kutawala dunia ndo story imekuwa Israel Israel wahindi wangetutawala tungekuwa tunaongelea kina brahma saa hivi. Religion is an accident of geography and history
Nimeielewa sana point hii
 
Nani alikudanganya kuwa israel inalindwa na marekani? Nani alikudanganya Mungu wa Biblia anawachukia wapalestina? Kupitia Yesu Kristo Mungu wa Biblia anapenda watu wote kwa upendo wa kufa msalabani kuonyesha kwa jinsi gani anawapenda watu wote! Swali la kukuuliza! Hao wapalestina wanampenda Mungu wa kwenye Biblia? Waislamu wanampenda Mungu wa kwenye Biblia? Jibu hapana! Kwahiyo pambana na hali zenu! Mtapigwa tu! Hata hivyo wakati utafika ambapo dunia nzima pamoja na huyo mmarekani watamchukia Israel na kujipanga kumuangamiza! Vita hiyo inaitwa vita ya 'Amaegadon' ambapo Yesu mwenyewe ndo atashuka kuwatetea Israel! Mleta mada tambua kuwa hata Israel ya sasa hawamtabui Yesu Mesiah kuwa alishakuja! Bado wanasubiri wakati alikuja wakamuua kwa kumsurubisha msalabani! Hizi nyakati za mwisho okoka!
Mkuu kwa hoja yako, wapalestina kutompenda Mungu wa Biblia ndio wanapaswa kuuawa? Vipi kuhusu wachina wasiomjua hata Mungu wala biblia yenyewe, Wahindu wabudha je? Mbona wao hawateseki kama wapalestina? Au Mungu unaemwanini ww ndio mbaguzi?
 
Ukimkataa tu YESU, vita ipo mlangoni...

Vita sio tu hiyo ya Israel na Hamas tu...

Vita yaweza kuwa ya uchumi, ndoa, kazi, wachawi, washirikina, shule kila mtu anavita yake...

Yani ukimkataa tu YESU unapigwa...
Endelea kuwaokota wapumbavu
 
Back
Top Bottom