Kusema Israel ni taifa teule ni kumtukana Mungu wa kweli

Kusema Israel ni taifa teule ni kumtukana Mungu wa kweli

Nawe Rudi katika maandiko, ukasome utawala wa Mfalme Suleiman,

Hapakuwa na vita katika utawala wake.

Ilikuwa Amani tupu,

Alipomwacha Mungu na kugeukia miungu, mtoto wake akakumbana na LAANA ya vita kama ADHABU.

Mungu akipewa nafasi kuongoza Watawala Amani hutamalaki, la vita IPO malangoni.
Mimi ni mkristo makini ninayesoma sana biblia lakini huwa hainiingii akilini ninaposoma stori za kwenye biblia. Kama Israel ni taifa teule mbona Mungu mwenyewe amekuwa akiwasotesha sana? Kwa mfano kulikuwa na sababu gani za kusafiri miaka 40 jangwani kutoka Misri hado Caanan? Na ilikuwaje taifa teule liwe watumwa kwa wamisri? Kwenye biblia kuna stori za mtu anaitwa Hamani aliyetaka waisrael wote wauwawe, inakuwaje wateule wasiwe na ulinzi? Hata miaka ya Yesu bado Israel ilikuwa koloni la warumi. Hata kwenye hii miaka yetu kuna Hitler ambaye aliwaangamiza vibaya. Ninadhani huu uteule wao una walakini. Watafakari upya. Ni wateule wanaoishi kwa mashaka miaka yote tangu enzi za Musa.
 
Labda Israel ni Taifa teule la Mungu, Mungu ambae ni Marekani anaewasaidia Kwenye Vita, hivi juzi tu Israel kaomba hela kwa Mungu wake marekani.

Lkn marekani huy huy ndio Taifa linalo ongoza kuvunja amri 10 za mungu.

Inachanganya eeeh ?
 
Amosi 1:7-8
7 lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake.

8 Nami nitamkatilia mbali mwenyeji katika Ashdodi; na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu uwe juu ya Ekroni; na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU.
Wewe K elewa Gaza inayoongelewa hapo ni mtu na sio Gaza hii inayopigwa mabomu. Acheni kusoma biblia huku mmevuta bangi
 
Ungekuwa unafuatilia historia usingeniuliza hili swali tangu enzi za ayatollah hameniu wa iran walisema wataifuta Israel kwenye ramani ya dunia,labda waulize wao walimaanisha nini.
😂😂😂😂Jibu swali....Kuna nchi ishawahi..coz hata Tanzania haijawahi...Mbona hauiti taifa teule
 
Mimi ni mkristo makini ninayesoma sana biblia lakini huwa hainiingii akilini ninaposoma stori za kwenye biblia. Kama Israel ni taifa teule mbona Mungu mwenyewe amekuwa akiwasotesha sana? Kwa mfano kulikuwa na sababu gani za kusafiri miaka 40 jangwani kutoka Misri hado Caanan? Na ilikuwaje taifa teule liwe watumwa kwa wamisri? Kwenye biblia kuna stori za mtu anaitwa Hamani aliyetaka waisrael wote wauwawe, inakuwaje wateule wasiwe na ulinzi? Hata miaka ya Yesu bado Israel ilikuwa koloni la warumi. Hata kwenye hii miaka yetu kuna Hitler ambaye aliwaangamiza vibaya. Ninadhani huu uteule wao una walakini. Watafakari upya. Ni wateule wanaoishi kwa mashaka miaka yote tangu enzi za Musa.
Achana na katuni za biblia. Hitler tu anatosha
 
Lakini pamoja na ukorofi wao,

Haibadili UKWELI kuwa Israel ni firstborm wa Aliye juu.
Yaani nchi imeandika kitabu inasema hivyo na wewe kichwa maji unaamini tu...ndo maana nasema...bongo hizi dini zitatuua
 
Kristo Yesu hakuja kuleta dini duniani.

Ukristo Si dini, ni maisha matakatifu yampendezayo Mungu.

Yesu amekaribia kurudi, ingia ndani ya safina usijeangamia.
😂😂😂😂😂😂Story ya safina yenyewe ni ya mchongo tu copy n paste of epic of Gilgamesh ya wasumeria
 
Wewe K elewa Gaza inayoongelewa hapo ni mtu na sio Gaza hii inayopigwa mabomu. Acheni kusoma biblia huku mmevuta bangi
😂Mtu ana ukuta...😂we ndo umevuta bangi...chapter nzima inaelezea miji kibao tyre, Damascus, etc so hao pia ni watu...😂acheni kuleta tafsiri Zenu uchwaro
 
Labda Israel ni Taifa teule la Mungu, Mungu ambae ni Marekani anaewasaidia Kwenye Vita, hivi juzi tu Israel kaomba hela kwa Mungu wake marekani.

Lkn marekani huy huy ndio Taifa linalo ongoza kuvunja amri 10 za mungu.

Inachanganya eeeh ?
Marekani sio nchi ya kikristo ni nchi ya kidemokrasia..na hamna nchi ambao inafata sheria za wayahudi jangwani sheria zinatungwa according to haki na mahitaji ya jamii husika.
 
But Christianity has roots from Jews, because Jesus Christ our Lord is a king of Jews.......ni sawasawa na mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa, hata kama watoto wa ndoa watamnyanyapaa bado huyo atabaki kuwa baba yake na ni sehemu ya familia na atajitambulisha hivyo, huo ndo ukweli mchungu mzee......hizo parody za twitter zisikutie wenge.​
 
Binafsi Namtafakari sana huyu Mungu...
Sanaaa.
Unatafakari nini?? Acha kujipa umuhimu huna cha kutafakari iwapo hata huwez kuongeza kimo 1 ft ya urefu wako.
We worship the superior, for real and spiritual side you're the inferior brother.
Mungu yuko juu ya fikra zako, usijipe umuhimu kwenye vitu vya kiroho na ilihali vya kimwili na CCM yetu vinakutoa jasho
 
Mimi ni mkristo makini ninayesoma sana biblia lakini huwa hainiingii akilini ninaposoma stori za kwenye biblia. Kama Israel ni taifa teule mbona Mungu mwenyewe amekuwa akiwasotesha sana? Kwa mfano kulikuwa na sababu gani za kusafiri miaka 40 jangwani kutoka Misri hado Caanan? Na ilikuwaje taifa teule liwe watumwa kwa wamisri? Kwenye biblia kuna stori za mtu anaitwa Hamani aliyetaka waisrael wote wauwawe, inakuwaje wateule wasiwe na ulinzi? Hata miaka ya Yesu bado Israel ilikuwa koloni la warumi. Hata kwenye hii miaka yetu kuna Hitler ambaye aliwaangamiza vibaya. Ninadhani huu uteule wao una walakini. Watafakari upya. Ni wateule wanaoishi kwa mashaka miaka yote tangu enzi za Musa.
Ukiwa mteule wa Mungu, ni lazima uende kwenye njia yake...

Wateule wa Mungu wanapitia vita kubwa sana, ila wanashinda...

Mungu akiahidi kuwa atakulinda ni kweli ahadi za Mungu ni za kweli...

Israel wao ni Unabii ulishaandikwa ni lazima utimie...
 
Mimi ni mkristo makini ninayesoma sana biblia lakini huwa hainiingii akilini ninaposoma stori za kwenye biblia. Kama Israel ni taifa teule mbona Mungu mwenyewe amekuwa akiwasotesha sana? Kwa mfano kulikuwa na sababu gani za kusafiri miaka 40 jangwani kutoka Misri hado Caanan? Na ilikuwaje taifa teule liwe watumwa kwa wamisri? Kwenye biblia kuna stori za mtu anaitwa Hamani aliyetaka waisrael wote wauwawe, inakuwaje wateule wasiwe na ulinzi? Hata miaka ya Yesu bado Israel ilikuwa koloni la warumi. Hata kwenye hii miaka yetu kuna Hitler ambaye aliwaangamiza vibaya. Ninadhani huu uteule wao una walakini. Watafakari upya. Ni wateule wanaoishi kwa mashaka miaka yote tangu enzi za Musa.
Ugekuwa Mkristo sababu ungekuwa unaifahamu na Bible iko wazi sababu ya wana Waisrael kutembea miaka 40 jangwani! Na hiyo ya kwenda utumwani aliambiwa Ibrahim

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkristo makini ninayesoma sana biblia lakini huwa hainiingii akilini ninaposoma stori za kwenye biblia. Kama Israel ni taifa teule mbona Mungu mwenyewe amekuwa akiwasotesha sana? Kwa mfano kulikuwa na sababu gani za kusafiri miaka 40 jangwani kutoka Misri hado Caanan? Na ilikuwaje taifa teule liwe watumwa kwa wamisri? Kwenye biblia kuna stori za mtu anaitwa Hamani aliyetaka waisrael wote wauwawe, inakuwaje wateule wasiwe na ulinzi? Hata miaka ya Yesu bado Israel ilikuwa koloni la warumi. Hata kwenye hii miaka yetu kuna Hitler ambaye aliwaangamiza vibaya. Ninadhani huu uteule wao una walakini. Watafakari upya. Ni wateule wanaoishi kwa mashaka miaka yote tangu enzi za Musa.
Kwanza umbali wa Misri mpaka ilipo Israel sio umbali wa kutumia miaka 40 kufika..

Biblia ni kitabu chenye stori za Uongo sana.
 
Ugekuwa Mkristo sababu ungekuwa unaifahamu na Bible iko wazi sababu ya wana Waisrael kutembea miaka 40 jangwani! Na hiyo ya kwenda utumwani aliambiwa Ibrahim

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Biblia ni kitabu chenye stori za uongo mwingi sana.

Umbali kutoka Misri kwenda Israel ni kilometa 613, ila Biblia inakwambia wana wa Israel walitumia miaka 40...!!!!!

Biblia ni zaidi ya chaiii....🍵🍵🍵🍵🍵🍃☕😅😅😅😂
 

Attachments

  • Screenshot_20231019-150100_1.jpg
    Screenshot_20231019-150100_1.jpg
    61.8 KB · Views: 3
Biblia ni kitabu chenye stori za uongo mwingi sana.

Umbali kutoka Misri kwenda Israel ni kilometa 613, ila Biblia inakwambia wana wa Israel walitumia miaka 40...!!!!!

Biblia ni zaidi ya chaiii....[emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji261][emoji477][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]
Kama ni kitabu cha uongo mwingi embu lete kitabu chenye ukweli mwingi , maana kama kuna uongo basi na ukweli upo, embu ulete hapa.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni kitabu cha uongo mwingi embu lete kitabu chenye ukweli mwingi , maana kama kuna uongo basi na ukweli upo, embu ulete hapa.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ukweli unaendana na kujua.

Ili ukweli ukamilike lazima kuwepo proofs, evidences, facts na logic.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Vitabu vingi vya kisayansi vina ukweli unao thibitishika.

Maandiko ya kidini Biblia, Quran, Torah na vinginevyo ni maandiko ya kufikirika sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za joka la Mdimu.

Fairytale, mythology books.
 
Back
Top Bottom