Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Taifa teule,nikikumbuka ile habari wanavyowahasi wanawake wa kiafrica walio Israël ili wasizae.Jews ni wabaguzi tena ni wauaji.Imagine kuwahasi wanawake kisa tu hao wanawake ni weusi.Hivi kuna jew kawahi oa mwanamke mweusi kweli?
Taifa teule waongo wakubwa ,juzi wamebomb hospital na afisa wao alatweet kabisa ingawa ile ujembe twitter aliufuta baade.Sasa wanabisha si wao.Yaani anaetetea Jews haijielewi kabisa.
Taifa teule waongo wakubwa ,juzi wamebomb hospital na afisa wao alatweet kabisa ingawa ile ujembe twitter aliufuta baade.Sasa wanabisha si wao.Yaani anaetetea Jews haijielewi kabisa.