Kusema Israel ni taifa teule ni kumtukana Mungu wa kweli

Kusema Israel ni taifa teule ni kumtukana Mungu wa kweli

It will get worse...kwa mujibu wa maandiko haya ya vitabu vya dini!
Yes. Kuna mambo mengi kweny DINI yaliyo pita, ya sasa na yale ya baadae yamekua very well linked na binadam kiasi kwamba mtu anashindwa kung'amua Ni nani huyo Powerful ?? Ni nani huyo supreme ? Nani huyo enormous ?? anae nizunguka inside and out.

So yamekua well linked na nani ?
 
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! [emoji848] ni uongo mkubwa sana.

Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?

Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.

Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.

Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.

Matendo 10:34

God said through the prophet Isaiah, “Yet hear now, O Jacob My servant, and Israel whom I have chosen” (Isaiah 44:1).

wewe uko wrongside of History
 
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! [emoji848] ni uongo mkubwa sana.

Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?

Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.

Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.

Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.

Matendo 10:34

God said through the prophet Isaiah, “Yet hear now, O Jacob My servant, and Israel whom I have chosen” (Isaiah 44:1).

wewe uko wrongside of History
 
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! 🤔 ni uongo mkubwa sana.

Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?

Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.

Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.

Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.

Matendo 10:34
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Yes. Kuna mambo mengi kweny DINI yaliyo pita, ya sasa na yale ya baadae yamekua very well linked na binadam kiasi kwamba mtu anashindwa kung'amua Ni nani huyo Powerful ?? Ni nani huyo supreme ? Nani huyo enormous ?? anae nizunguka inside and out.

So yamekua well linked na nani ?

Maswali haya yanahitaji utafiti tu. Maandiko mengi (yote) yamo kwenye public domain. Jitihada za kutafiti zitakupa majibu sahihi mno.
 
Uteule wa waisarel ushaisha kitambo pale msalabani , Kwanza waliopo wengi ni Wana wa Yuda na Benjamin, wenzao wengi walitawanywa , ni mwehu tuu anayedai Israel ni Taifa teule Kwa sasa ...!!
 
Kwa kukusaidia soma Kutoka 4:
22, Nawe umwambie Farao, Bwana asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu;

23, nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.​
Huyo ni Israel mtu si taifa
 
Watu wanashindwa kuelewa kuwa waisrael wanaozungumziwa kwenye biblia sio Hawa ..Hawa Ni kikundi cha watu wahuni wanaojiita wanaojiita waisrael..hakuna muisrael mzungu upo ushaidi mwingi tu wa kibiblia na kisayansi unaoonyesha kuwa waisrael tunaowasoma kwenye biblia walikuwa weusi na sio hawa wazungu ... waisrael wa kweli wanatokea kwenye makabila kumi na mbili ..ukienda Israel leo ukikutana na muisrael yeyote pale tel Aviv muulize unatoka kwenye kabila gani kwenye Yale kumi na mbili atatoa macho mpaka utashangaa ... waisrael wa kweli ambao kitaalamu wanaitwa biblical Jews wapo Ethiopia na Sudan ndiko walikojichanganya na wanaendelea kupractice zile biblical tradition.. Historia unaoonyesha mwaka 70 AD.walifulushwa na waroma na kusini ambako ni egipt .Sudan na Ethiopia..,Hawa wa leo ni waturuki wanaitwa khazars
 
Kwa watu waliosoma historia chuo kikuu nadhani wanamjua mtaalamu wa historia anaitwa sheikh anta diop aliprove kwenye mkutano mkubwa wa kitamaduni na historia wa UNESCO miaka 1960 kuwa wayahudi na wamisri wa kale walikuwa weusi aliprove kisayansi na watu walimwelewa vizur..
 
His
Kwa watu waliosoma historia chuo kikuu nadhani wanamjua mtaalamu wa historia anaitwa sheikh anta diop aliprove kwenye mkutano mkubwa wa kitamaduni na historia wa UNESCO miaka 1960 kuwa wayahudi na wamisri wa kale walikuwa weusi aliprove kisayansi na watu walimwelewa vizur..
Historia unaijua vizuri
 
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! 🤔 ni uongo mkubwa sana.

Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?

Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.

Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.

Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.

Matendo 10:34
Ukweli huu hauwazuii kuamini kwamba kuna Mungu,
 
Okoka na Mpokee Yesu Kristo aliye Mwisrael OG, Ili uwe Raia wa Mbinguni.

Yeye ndiye AMANI, mfalme wa HAKI, BWANA wa mabwana, Ufalme wake Hauna mwisho,

Ni wa Milele na milele.

Ukimkataa Yesu, vita IPO malangoni.

Amen
Na ww utajiona umeandika vitu vya maana sio,kwa hiyo akiokoka waisraeli hawatawapiga wapalestina?
 
Na ww utajiona umeandika vitu vya maana sio,kwa hiyo akiokoka waisraeli hawatawapiga wapalestina?
Wakiokoka hamas wataacha ugaidi, pia Israel wakiokoka hakuna vita.

Wote walimkataa Yesu ndomana halitasalia jiwe juu ya jiwe,

Ni mtiti kuendelea.
 
Kwa kukusaidia soma Kutoka 4:
22, Nawe umwambie Farao, Bwana asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu;

23, nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia, nawe umekataa kumpa ruhusa aende; angalia basi, mimi nitamwua mwanao, mzaliwa wa kwanza wako.​
Na alimuua kweli mwanaye wa kwanza mpaka wa watumwa wake na wanyama pia.
 
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! 🤔 ni uongo mkubwa sana.

Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?

Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.

Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.

Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.

Matendo 10:34
Nonsense, rudi Sunday school kajifunze upya kuliko kufanya quotation ya maandiko hata usiyoyajua maana yake.
 
Back
Top Bottom