My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Yes. Kuna mambo mengi kweny DINI yaliyo pita, ya sasa na yale ya baadae yamekua very well linked na binadam kiasi kwamba mtu anashindwa kung'amua Ni nani huyo Powerful ?? Ni nani huyo supreme ? Nani huyo enormous ?? anae nizunguka inside and out.It will get worse...kwa mujibu wa maandiko haya ya vitabu vya dini!
So yamekua well linked na nani ?