Soma hapo wewe;
Mimi kama muhaya, nshomile kutoka Uhayani Republic, imenibidi niingie chimbo kuleta maelezo kamili juu ya hii vita ya Israel na palestina ambayo kuna watu wanadhani Gaza inapigwa kwa bahati mbaya. Ukisoma maandiko ya agano la Kale (Old Testament) katika biblia na vitabu vya kiyahudi Torah na...
www.jamiiforums.com
SOMA: Namna BIBLIA ilivyotabiri kipigo cha GAZA na Majirani zake, na namna GAZA ilivyokuwa ikisurubiwa toka enzi za manabii
Nabii Amos alitabiri kuwa Gazi na nchi jirani watakuwa wanapokea kichapo tu... Na haijawahi kutokea Israel ikapigwa toka Amos alivyotabiri. Unazungumzia misri anatosha kumpiga Israel lakini unasahau Israel alipigana na waarabu wote ukanda huo, yani kina Misri, Syria, Uturuki, Lebanon, Palestina na wajinga wengine wengine wote wakapigwa vibaya sana, na Misri ikanyanganywa eneo la sinai, ila badae wakarudishiwa... Huu ni unabii wa Amos
AMOS 1:6-8 alitabiri juu ya kichapo