Wewe endelea kubisha lakini huo ndio ukweli, kama Israel sio taifa teule mngekuwa mmeshalifuta kwenye ramani ya dunia muda mrefu sana,ila kwakuwa Mungu yupo na Israel hamuwezi kumfanya chochote kama umesahau nakukumbusha kidogo tu,rejea six days war,mliungana waarabu wote lakini mlipigwa na kataifa kachanga kabisa,utasema alisaidiwa na marekani mbona marekani mwenyewe kashindwa vita nyingi tu,na sio kila taifa linalosaidiwa na marekani linashinda kama unaakili timamu utaanza kujiuliza hii nchi inapataje ushindi, na kwanini mataifa yote duniani yanaitetemekea Israel na habari za Israel zinagusa dunia nzima, jibu Mungu yupo kazini na Israel vyovyote vile ya yanayoendelea ipo sababu ambayo yeye Mungu anajua kwanini ipo hivyo.