Kusema Israel ni taifa teule ni kumtukana Mungu wa kweli

Kusema Israel ni taifa teule ni kumtukana Mungu wa kweli

Okoka na Mpokee Yesu Kristo aliye Mwisrael OG, Ili uwe Raia wa Mbinguni.

Yeye ndiye AMANI, mfalme wa HAKI, BWANA wa mabwana, Ufalme wake Hauna mwisho,

Ni wa Milele na milele.

Ukimkataa Yesu, vita IPO malangoni.

Amen
Naomba niulize kwa ufahamu tu. Hivi Wayahudi ni Wakristo?
 
Wewe endelea kubisha lakini huo ndio ukweli, kama Israel sio taifa teule mngekuwa mmeshalifuta kwenye ramani ya dunia muda mrefu sana,ila kwakuwa Mungu yupo na Israel hamuwezi kumfanya chochote kama umesahau nakukumbusha kidogo tu,rejea six days war,mliungana waarabu wote lakini mlipigwa na kataifa kachanga kabisa,utasema alisaidiwa na marekani mbona marekani mwenyewe kashindwa vita nyingi tu,na sio kila taifa linalosaidiwa na marekani linashinda kama unaakili timamu utaanza kujiuliza hii nchi inapataje ushindi, na kwanini mataifa yote duniani yanaitetemekea Israel na habari za Israel zinagusa dunia nzima, jibu Mungu yupo kazini na Israel vyovyote vile ya yanayoendelea ipo sababu ambayo yeye Mungu anajua kwanini ipo hivyo.
Hivi wakati unaandika hivi unakuwa na akili timamu kabisa?! Kweli kuna watu wanaishi sababu sheria zinabana kufanya mambo mengine.
 
Taifa teule,nikikumbuka ile habari wanavyowahasi wanawake wa kiafrica walio Israël ili wasizae.Jews ni wabaguzi tena ni wauaji.Imagine kuwahasi wanawake kisa tu hao wanawake ni weusi.Hivi kuna jew kawahi oa mwanamke mweusi kweli?
Taifa teule waongo wakubwa ,juzi wamebomb hospital na afisa wao alatweet kabisa ingawa ile ujembe twitter aliufuta baade.Sasa wanabisha si wao.Yaani anaetetea Jews haijielewi kabisa.
Hebu tupe sababu au chanzo cha wao kupiga hiyo hospitali?
 
Hakuna fumbo lolote.

Mungu hayupo.

Mungu ni fiction character invented by religion.
Uwepo wa Mungu hautokani na maelezo ya dini.Kwasababu imani ya uwepo wa Mungu ilianza kuwepo ata kabla ya dini.Mungu yupo kwasababu ya matendo yaliyopo duniani,Ikiwepo uwepo wa wewe na mimi.
 
Mimi ni mkristo makini ninayesoma sana biblia lakini huwa hainiingii akilini ninaposoma stori za kwenye biblia. Kama Israel ni taifa teule mbona Mungu mwenyewe amekuwa akiwasotesha sana? Kwa mfano kulikuwa na sababu gani za kusafiri miaka 40 jangwani kutoka Misri hado Caanan? Na ilikuwaje taifa teule liwe watumwa kwa wamisri? Kwenye biblia kuna stori za mtu anaitwa Hamani aliyetaka waisrael wote wauwawe, inakuwaje wateule wasiwe na ulinzi? Hata miaka ya Yesu bado Israel ilikuwa koloni la warumi. Hata kwenye hii miaka yetu kuna Hitler ambaye aliwaangamiza vibaya. Ninadhani huu uteule wao una walakini. Watafakari upya. Ni wateule wanaoishi kwa mashaka miaka yote tangu enzi za Musa.
Wateule nowadays wanaf*rana na kusagana..... Na Hitler wakati anawapa shurba sijui Mungu wao alikuwa wapi....!!?
 
But Christianity has roots from Jews, because Jesus Christ our Lord is a king of Jews.......ni sawasawa na mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa, hata kama watoto wa ndoa watamnyanyapaa bado huyo atabaki kuwa baba yake na ni sehemu ya familia na atajitambulisha hivyo, huo ndo ukweli mchungu mzee......hizo parody za twitter zisikutie wenge.​
Ina maana wewe unaijua historia ya Israel kuliko wa-Israel wenyewe... I mean Netanyahu.
 
Uwepo wa Mungu hautokani na maelezo ya dini.Kwasababu imani ya uwepo wa Mungu ilianza kuwepo ata kabla ya dini.Mungu yupo kwasababu ya matendo yaliyopo duniani,Ikiwepo uwepo wa wewe na mimi.
Kama matendo ya duniani ni sababu ya uwepo wa Mungu huyo.

Basi hata Uovu, ukatili, uasi, mabaya, mateso na magonjwa na yenyewe ni matendo ya huyo huyo Mungu.

Na Mungu huyo ni Mkatili sana.
 
Kwanza umbali wa Misri mpaka ilipo Israel sio umbali wa kutumia miaka 40 kufika..

Biblia ni kitabu chenye stori za Uongo sana.
Halafu pata picha mnaahidiwa kutoka Misri kwenda Canaan halafu wote mnafia Jangwani na wanaofanikiwa kufika ni watoto waliozaliwa kwenye hiyo miaka 40 na watu wazima wawili tu Joshua na Kalebu. Je, waliingizwa chaka? Na hata hao watoto hawakufika wote wengine walifia njiani kutokana na vita.
 
Ugekuwa Mkristo sababu ungekuwa unaifahamu na Bible iko wazi sababu ya wana Waisrael kutembea miaka 40 jangwani! Na hiyo ya kwenda utumwani aliambiwa Ibrahim

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Wewe K nimeanza kuisoma biblia kiundani kuanzia darasa la nne. Hakuna kitu utaniambia wewe na mchungaji wako.
 
Ukiwa mteule wa Mungu, ni lazima uende kwenye njia yake...

Wateule wa Mungu wanapitia vita kubwa sana, ila wanashinda...

Mungu akiahidi kuwa atakulinda ni kweli ahadi za Mungu ni za kweli...

Israel wao ni Unabii ulishaandikwa ni lazima utimie...
Acha kujidanganya kipuuzi. Wangekuwa wateule wasingekuwa wanatangatanga hovyo. Hawa viumbe hata kwenye biblia stori zao nyingi ni za mahangaiko. Kiufupi hawana uteule bali laana.
 
Unatafakari nini?? Acha kujipa umuhimu huna cha kutafakari iwapo hata huwez kuongeza kimo 1 ft ya urefu wako.
We worship the superior, for real and spiritual side you're the inferior brother.
Mungu yuko juu ya fikra zako, usijipe umuhimu kwenye vitu vya kiroho na ilihali vya kimwili na CCM yetu vinakutoa jasho
Tafakari... Chukua Hatua..
 
Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! [emoji848] ni uongo mkubwa sana.

Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?

Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.

Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.

Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.

Matendo 10:34
Je wao walivyouawa na magaidi ya hammas Mungu alipenda?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Wewe K nimeanza kuisoma biblia kiundani kuanzia darasa la nne. Hakuna kitu utaniambia wewe na mchungaji wako.
Ndiyo hayo matusi ndiyo ulikuwa unayasoma kuanzia darasa la nne? Mtu anajua na kuisoma Bible hawezi kutukana matusi.
Halafu sijui wewe una nini maana kama unavyovitaja nawewe unavyo au aliyekuzaa anavyo napata mashaka nawewe !
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo hayo matusi ndiyo ulikuwa unayasoma kuanzia darasa la nne? Mtu anajua na kuisoma Bible hawezi kutukana matusi.
Halafu sijui wewe una nini maana kama unavyovitaja nawewe unavyo au aliyekuzaa anavyo napata mashaka nawewe !
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Acha upumbavu. Mimi sio mkristo wa kupigwa kofi shavu la kushoto kisha nikugeuzie la kulia.. ukinipiga kofi shavuni basi nakurudishia ngumi ya usoni. Ulivyosema mimi sio mkristo ulikuwa unafikiria nitakujibu kwa kukubembeleza? Pumbavu sana.
 
Usifananishe neno la Mungu na vitu vya kipuuzi, upumbavu wako usikufanye ukavuka mipaka kiasi hicho
Neno gani la Mungu limejaa uongo!

Biblia ni Hekaya za kutungwa kabisa.

Just imagine, Umbali kutoka Misri mpaka Israel ni kilometa 613 tu.

Lakini Biblia inakwambia waisraeli walitumia miaka 40 mpaka kufika Israel..!!!

Yani Biblia ni zaidi ya chai☕☕☕🍃
 
Back
Top Bottom