Mkuu Mbowe companies are private not public company.Akitaka kwenda public labda kuogeza mtaji ndipo.anaweza kuwa public na watu wakanunua hisa zake.Yeye ndo angeonesha mfano ili kujua siyo walewale waendeaha biashara gizani
Wakati bado kama umezaliwa basi ulikuwa mshamba sana uliza baba yake Freeman alikuwa ni nani akamrithisha nini, waulize habari hii waliokuwa karibu na Mw NyerereAnayejua biashara za mbiwe frankly speaking kabisa naomba azitaje.
1.
2
3
4
Nenda kwake atakuonyesha c unataka kujua biashara zake mzee.Si alisema ana biashara. Sisi tukasema biashara zake ni kuiibia chadema. Sasa anage refute hilo kwa kuweka wazi biashara zake ili kutu proove wrong
Kwani alitangazia chumbani au aliutangazia umaNenda kwake atakuonyesha c unataka kujua biashara zake mzee.
Unafahamu mashamba yake yaliyoko Morogoro na West Kilimanjaro?Anayejua biashara za mbiwe frankly speaking kabisa naomba azitaje.
1.
2
3
4
Hana biashara yoyote ndo mana anataka kufui kwenye kiti cha uenyekiti mana ile ndo biashara yake ya uhakikaMkuu Mbowe companies are private not public company.Akitaka kwenda public labda kuogeza mtaji ndipo.anaweza kuwa public na watu wakanunua hisa zake.
WE c unataka kujua mali za mwanaume mwenzako - nenda usiogope atakuonyesha.Kwani alitangazia chumbani au aliutangazia uma
Ndo mana nimeuliza yataje ili tukayaone na kujiridhisha otherwise anawadanganya watuUnafahamu mashamba yake yaliyoko Morogoro na West Kilimanjaro?
Siyo mimi tu kila asiyependa rushwa na wizi yuko interested kujuaWE c unataka kujua mali za mwanaume mwenzako - nenda usiogope atakuonyesha.
Ulikuwa unajua anamiliki mashamba ya Green Houses kabla hayajaharibiwa na Byakanwa?Angalau hii ndo najua hata mimi japo imesajiriwa kwa jina la chadema
ππππKuna mtu alisema Ana mashamba ya kahawa yaliyoajiri karibu 2000+ watu huko kilimanjaro
Kwani wewe ukiamini biashara zake ni kuiibia chadema unazan itampunguzia chochoteSi alisema ana biashara. Sisi tukasema biashara zake ni kuiibia chadema. Sasa anage refute hilo kwa kuweka wazi biashara zake ili kutu proove wrong
DSE u mean what.Ziko DSE au ujsnja ujanja tu
Unajua mmiliki wa Keys Hotel chain?Ndo mana nimeuliza yataje ili tukayaone na kujiridhisha otherwise anawadanganya watu
Mbowe anapesa ya kula tu ache upambeWe pimbi kweli nizitahe zinisaidie nini?nenda Tume ya maadili ya umma kule kuna kila kitu, una jaza fomu tu then wanakupa faili
Trump mwenyewe anachangisha pesa ndio itakuwa Mbowe asichangishe.Hahaha, umegusa tunapopataka....!
In Reality, Mbowe sio Tajiri Mkubwa mwenye mali nyingi kama ambavyo watu humsema na kumsifia, angekuwa tajiri CHADEMA isingekuwa inachangisha pesa kwa wanachama wa mtaani mpaka bodaboda
Ana hela ya kawaida, take it from me...na ukiondoa Billicanas na Protea Hotel hana investment nyingine kubwa na Bili aliirithi kwa Baba yake
Najua watu hapa watabisha na kushambulia ila huo ndio ukweli
Pesa zingine zinazomweka mjini ni za Ruzuku