Kusema Ukweli Rais Samia amemzidi mbali sana Hayati Dr. Magufuli

Wewe Tahira
 
MIGODI YA MADINI INAUZWA KWA BEI CHEEE ,



WANYAMA WA MWITUNI WANAPANDISHWA MIDEGE KWENDA. UARABUNI SIJUI WATARUDI AU KWISHA HIYOOOOO


MIKOPO DAILY



MALIZIA





IMEBAKI MUDA TUUU NA WEWE HUUZWE


MAANA. NCHI IMEKWISHA UZWA
Mimi nashangaa mikopo inakopwa na haijulikani inaenda wapi
 
SIku nyingine ni vyema kulinganisha vitu vinavyofanana makundi.
Sasa ona unalinganisha kiumbe mtu na kiumbe shetani.
Joni ni kundi la shetani.
Hata wewe pia ni Shetani.
Kwa maana mwenye uwezo wa kumuhukumu mtu ni ''Ultimate Intelligence'' pekee sio wewe kidampa wa shetani.
Shame Upon You, unajifanya special! Special for what?
Kama wewe hauoni umuhimu wake wengine wanauona........next time ni vyema ukafunga hilo domo lako kama huna cha ku-comment.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„we jamaa
Waambie waweke wazi mkataba wa ile mizengwe.... Pesa wanakua jamaa na gharama za kwetu hadi baada ya miaka 3_ namba ya mwisho malizia mwenyewe.
 
Naafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…