mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
DuhHawana mpango wa kuacha kuiba,wanabadilisha tu mbinu.
Wana mbinu kama trillion Hvi basi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhHawana mpango wa kuacha kuiba,wanabadilisha tu mbinu.
miaka 50 iliyopita,bado tu hatujaweza kufanya vitu bila wao?na si mpaka leo kuna makabila yanaishi kama vile tulivyoishi kabla ya wakoloni?vipi maendeleo yao sasahivi yanazuiliwa na kina nani?au bado wakoloni wanawazuia?wapo wamang'ati,wamasai,na wengine wengi vipi maendeleo yao?Wametufanya tuwe tegemezi kwao, mpaka leo tumekua dormant hatuwezi fanya kitu tunasubiri kuletewa na Wazungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajerumani walikwapua dinosaur skeleton..liko pale Dinosaur hall Berlin
Kusema Ukweli, Wakoloni Tanzania yetu hawakuiba kitu!Nimejibu swali la mtoa uzi..acha kuwashwawashwa
Hope wanafurahi lakini wangepata kikubwa zaidi kutoka kwa babu na Bibi zaohivi Mkuu akina 50 cent, Floid Mayweather Lebrown james etc leo hawafurahii mababu zao kupelekwa utumwani?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes! wakatugawana na kututawala.Dunia ya tatu ndio yetu hii ya watu masikini.
Dunia ya pili ni vile vinchi kama India, Brazil, Nchi za mongolizi, N.k
Dunia ya kwanza ni zile nchi babalao. G8
Na huyo ndio mkoloni mweusi mwizi namba moja.kaunda mahakama ya mafisadi lakini kila watuhumiwa wakiletwa haendelei na kesi kisa ni wenzake,ni rafiki zake,ni ndugu zake.
Jambo baya likifanywa na Mzungu tutalipia kelele sana lakini lifanywe mweusi mwenzetu tutajitahidi sana kuonyesha sio baya awamu ya tano umejitahidi sana kuturudisha nyuma kwa maana ukabila,upendeleo,kutugawa nkUongo ubaguzi ndiyo unaletwa sasa na washamba
Ubaya wao ilikuwa ngozi yao bilashakaKama hujui ubaya wa wakoloni mpaka umri huo basi bora unyamaze
Ilibidi wawe wawekezaji sio kuwafukuzaKwahiyo unataka kusema tulifanya vibaya kumuondoa mkoloni?
Hapana lakini kuna uchaguzi wa ngazi zote, kuanzia kijiji, mtaa, kata, ubunge hadi urais. Wakati wa mkoloni kulikuwa na uteuzi tu tena hakuna uteuzi wa ngazi ya kijiji kata au jimbo huko mtajijuwa wenyewe.Leo hii ma DC na RC unawapigia kura?
Halafu ninyi wa digrii 4 majanga kweli kweli.
We unajua ni utaratibu upi ulitumika ili Nyerere waziri mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unipe mfano mmoja kwamba serikali ilivamia nyumba ya mtu na kubeba chakula chote cha akiba.Hahahaha we jamaa upo mwepesi sana kichwani,kwani sasa watu hawafi na njaa?au hawauliwi na hao viongozi weusi wanao watawala?Kweli wazungu walikuwa na mabaya lakini mengi mazuri,kuliko tulio waamini sasa tukijua ni wenzetu.
Sent using Jamii Forums mobile app