Kusema ukweli, wakoloni Tanzania yetu hawakuiibia kitu!

Kusema ukweli, wakoloni Tanzania yetu hawakuiibia kitu!

Siku nyingine uje na ushahidi kuonyesha kama kweli Tanzania bado wanasubiri fedha za misaada. Tena utuoyeshe wapi waziri wetu wa fedha alifunga safari kuenda kuomba fedha za bajeti. Usifanishe misaada ya kijamii na misaada ya bajeti ya serikali.

Wewe unaonekanwa ni mwana Lumumba ulie mbubuka.
 
Nachotaka kusema, hakuna binadamu mkamilifu, na ukitaka kulinganisha utawala wa kikoloni na utawala wa sasa wote wanamapungufu yao, lakini nakataa kama utawala wa sasa ni katili sana kuliko wa kikoloni. Kwa serikali iliyochaguliwa na wananchi wenywe huwezi kulinganisha na serikali ya mkoloni iliyojipa madaraka bila ridhaa ya mtu yoyote na inachukiwa maamizi nje ya nchi na kufaidisha watu wao wa nje.

Serekali ipi iliochaguliwa na wananchi?
 
Nimesikitika sana na watu wanaomuunga mkono mleta mada. Ama kweli kutokujua ulipotoka ni hatari. Mkoloni alifanya mambo yote kwa manufaa yake na aliua wengi sana. Hatuna cha kumshukuru mkoloni zaidi ya kumtupia lawama kwa uovu wake. Na kwa nyakati hizi mkoloni bado yupo akiwa kavaa koti la IMF na WB. Ni unyonyaji mtupu.
 
Nimesikitika sana na watu wanaomuunga mkono mleta mada. Ama kweli kutokujua ulipotoka ni hatari. Mkoloni alifanya mambo yote kwa manufaa yake na aliua wengi sana. Hatuna cha kumshukuru mkoloni zaidi ya kumtupia lawama kwa uovu wake. Na kwa nyakati hizi mkoloni bado yupo akiwa kavaa koti la IMF na WB. Ni unyonyaji mtupu.
Naona unapindisha maneno kweni hiyo mikopo tunayokopa huko si tunaomba wenyewe?
Mkoloni aliyebaki ni CCM tusipindishe maneno
 
Kuhusu mada hii, wote waliozaliwa baada ya tarehe 9 December, 1961 hawajui historia ya huko nyuma wanakurupuka kama huyu mleta mada.
We historia halisi unaijuia au hio iliyochakuliwa tukilishwa uongo kwa faida ya watawala
 
inchaji,
Waarabu walikaa Pwani ya Tanzania miaka zaidi ya 900(mia tisa) kabla ya Wazungu kuja(Wagerumani na Waingereza), walijenga barabara zipi? Walijenga hospitali ngapi? Walijenga/aanzisha skull ngapi kutoka chekechea mpaka angaa kidato cha sita? Ni hola! hamna lolote walilolifanya ila walichukua watumwa na kufika kwao wanaume walihasiwa)!
 
Mkoloni alikuwa na mabaya yake lakini amefanya mengi mazuri na makubwa...miafrika mingi haina shukrani kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Tukitafakari vema utaona Wakoloni walikuwa wazuri zaidi kuliko wa Tanzania waliosomeshwa na Mwl Nyerere na kukabidhiwa nchi waliishia kufilisi na kufisidi Ndege zote 11 alizotoachia Baba wa Taifa, walifisidi na kuua viwanda na mashirika yote ya umma aliyotuachia Baba wa Taifa, mwaka 2014/2015.

Baada ya kukosa vya kufisidi walidiriki kurudisha ukanda wote wa pwani ya Tanzania Bara kutoka MoaMMoakani na Kenya mpaka Mikindani Mtwara kwa Sultani wa Oman kwa mgongo (on the pretext of China, yaani China kama coverup) kwa miaka 100 (karne moja), Bandari ya Bagamoyo ikiwa ndo makao yao makuu!Kumbuka Mjerumani alikaa Tanzania Bara miaka 30 na Mwengereza alikaa miaka 40 lakini wasomi wa Mwl waliiuza kwa karne moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na kama siyo Mwl Nyerere II yaani Rais Dr Magufuli nchi ilikuwa imeondoka!
 
Mkoloni no Bora kuliko hao Kenge unaowataja.

Siku hizi hawataki mtu agombee hata uongozi was Kijiji?

Sijui wanaogopa Nini,labda wanataka kuweka utawala was kichifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unacholazimisha ni nini mbona hueleweki.
Nishakwambia siwezi na sitakuja kuwa ccm.
Ccm ni mkoloni aliebaki Tz
Ccm ile ina watu kama mie na wewe tu na ndiyo wenye kuunda ccm na si kwamba kuna jamii fulani huko ndiyo wamekuja kuunda hiyo ccm, ndiyo maana nasema hata wewe unaweza kuwa ccm kama walivyokuwa baadhi ya wanasiasa ambao walikuwa wakiipinga ccm ila sasa wamejiunga huko hivyo suala la ccm ni matatizo yetu wenyewe ni tofauti kabisa na ukoloni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkoloni no Bora kuliko hao Kenge unaowataja.

Siku hizi hawataki mtu agombee hata uongozi was Kijiji?

Sijui wanaogopa Nini,labda wanataka kuweka utawala was kichifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm ni sisi wenyewe watanzania ndiyo wenye kuunda ccm na ndiyo maana kule kuna watu ambao walikuwa wanaipinga ccm zaidi yako ila sasa wamejiunga ccm,hivyo ccm ni matatizo yetu wenyewe tusiizungumzie ccm kama dubwasha fulani hivi tusilolielewa au kundi la watu kutoka huko walikotoka na kuja kututawala kama ilivyo kwa wakoloni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom