Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
- Thread starter
- #21
Kessy west,
Hayo Masalia waliyatoa wapi? Waliyakuta tumeyahifadhi kwenye Makumbusho tuliojenga huko Mtwara? Na tumeanza kusikia au kujua kuhusu hayo masalia lini? Na nani aliyefanya archeoligical survey na kuyachimba, kuunganisha vipande vipande na kuyatunza? Ni sisi?
Hayo Masalia waliyatoa wapi? Waliyakuta tumeyahifadhi kwenye Makumbusho tuliojenga huko Mtwara? Na tumeanza kusikia au kujua kuhusu hayo masalia lini? Na nani aliyefanya archeoligical survey na kuyachimba, kuunganisha vipande vipande na kuyatunza? Ni sisi?