Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ si ndio hapo.!!
Hajakutana na wambea, yani mi babe wangu mpk anachoka mana taarifa zote ninazo sio za siasa sio za udaku ni yeye kuchagua tuanze na ipi??
Sijawahi kosa content hata yanayoendelea kwenye familia yao ninayo.!!
Tunafanana sana πŸ˜…πŸ˜…mtu naongea mara 2 kila siku ila sikosi story, tukianza kujadili pipo sasa πŸ˜…πŸ˜… aroo mpk simu izime, niligundua wanaume wanpenda umbea haijalishi umri au ana hadhi gani, kuna siku nimetoka kwa msuguri kwa mguu mpaka mbezi mwisho naongea tuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mimi na wangu tunaongea sana, minimum ni dakika 40
 
Hatochangia chochote atakaa kimya tuu.
Kuna siku alinipigia baada ya salamu akakaa kimya, mi nikaanza kumpigisha story za kazini, bhana hakuchangia chochote, nikabadilisha nikaanza kuongea story za coding and designing bado kimya, haya nikaja kuongea mambo ya research ninazofanyaga ndo kabisa akawa anaitikia tuu "enhe, aah kumbe, duuuh" niliishiwa nguvu.
 
Hia Jua kali umepiga kweny mshono
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ si ndio hapo.!!
Hajakutana na wambea, yani mi babe wangu mpk anachoka mana taarifa zote ninazo sio za siasa sio za udaku ni yeye kuchagua tuanze na ipi??
Sijawahi kosa content hata yanayoendelea kwenye familia yao ninayo.!!
Kuna siku nilimpa mpenzi wangu simu, nilivokuja kuingia insta kweny ile sehemu ya ku-search nikakuta ameingia kweny page zote za mastaa wa bongo, yaan mastaa wote unawajua wewe, nahic hizo ndo content zenu
 
wakiwa nondo kwenye hayo mambo, baadhi yetu tunawakataa.
Utasikia mwanamke gani anajua kila kitu.
 
Mimi tulikuwa tukianza kuongea hatuchoki mpk kuna siku ilifika saa 12 asubuhi ikabidi kila mmoja ajiandae kwenda job, tumepiga umbea mwisho tumenyegeshana tumekisiana na bado story hazijaisha.!! 😹😹😹

Huyu sijui anamdate malaika gani??
Tena wanaume umbea huwaambii kitu huko vijiweni wanajifanya hawapendi Ila miongo.!!
 
Mkishachokana ndo hatua mnapofikia.....mtaongea nini....at least mkiwa na malengo ya kuishi pamoja mtaongelea mipango mingi ya sasa na baadae....sasa mmekutana mkojoleane tu then unataka mazungumzo yenye content ndani yake😳....we bhana we,mie ukipiga simu ukasubiri niseme haloo,bas tutapumuliana humo kwa simu mpaka bas
 
Safi sana tena ukianza story zenye umbea anatega sikio kwa utulivu sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Kukojoleana🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…