Tumia akili, Ningekuwa mwongeaji nisingelalamika.We sema tu una mdomo sana ila unajibalaguza hapa, na itakuwa wanakuchora tu kwamba mwanaume gani anaongea namna hii
๐คฃ๐คฃ๐คฃNdugu yangu๐Kukojoleana๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mno yani hakuna watu wambea kama wapenzi๐Safi sana tena ukianza story zenye umbea anatega sikio kwa utulivu sana ๐ ๐ ๐
Mwambie , kwani huna cha kumwambia?Kinacho nikera zaidi ni vile anakupigia au anatuma sms mara 3 hadi 5 kwa siku alafu baada ya salamu utasikia "Niambie" ๐ค sasa nakuambia nini na wewe ndio umenitafuta ๐ค
Hujapata Mzaramo wewe.Kiufupi, nimebahatika kuingia kweny mahusiano na baadhi ya wanawake, kitu kimoja nilichokuja kugundua ni kwamba wengi wao hawana content, ni weupe, mfano mtu anakupigia, baada ya kusalimiana na kujuliana hali anakaa kimya, anategemea wewe ndo uendeleze mazungumzo, haya sawa bac unaanza kumzungumza nae unampigisha story mbili tatu, sasa kuna muda na wewe upepo unakata unategemea na yeye aendeleze, cha kushangaza na yeye anakaa kimya, It's very frustrating.
Scenario nyingine ni kweny mitoko, aisee au ni mm tuu nakutana na wanawake hawana content, demu unamtoa out kuanzia mnakutana hadi unamrudisha naongea mm tuu, sio kweli.
"Control your lust, and you will understand how boring 90% of women are"
Hili neno lina ka vibe๐คฃ๐คฃ๐คฃNdugu yangu๐
Ndio.wakiwa nondo kwenye hayo mambo, baadhi yetu tunawakataa.
Utasikia mwanamke gani anajua kila kitu.
๐๐"NIAMBIE "
Hiyo siku hizi tumeacha tumelevel up, ss hivi โMume nimekumiss nikukumbatie ila ukikaribia kufika nishtueโBebii nikuambie kitu๐๐๐๐
Nyie muambieni tuu wala sijali si mnajikuta mmekua wahindiMwambie , kwani huna cha kumwambia?
Usipomwambia wauni tutamwambia.
Nakuona,sikuhizi uhuni wako unazidi mpaka likes zako๐ฅดHili neno lina ka vibe
๐ ๐ ๐ mnoooMno yani hakuna watu wambea kama wapenzi๐
Upo kama mimi ,wanawake anaejua vitu vingi mzuri sana ,tubishane .Ndio.
Ila sidhani kama mleta mada ni moja kati ya hao watu, na huu uzi umelenga wanaume tunaopenda wanawake wajuaji
๐๐๐ mambo ya chini ya kitovu sio mchezo.Nakuona,sikuhizi uhuni wako unazidi mpaka likes zako๐ฅด
sawima huyo๐Upo kama mimi ,wanawake anaejua vitu vingi mzuri sana ,tubishane .
Ukiona katulia wewe unajua hakuzingatii, kumbe kuna points zake za msingi anachukua ๐น๐น๐นSafi sana tena ukianza story zenye umbea anatega sikio kwa utulivu sana ๐ ๐ ๐
suala sio wao kuongea sana, hapanaWewe ndio mzembe umeshindwa kumwongelesha mbona huwa wanaongea vizuri tu
Muulize maswali mazuri yatakayomfanya ajieleze utaona anavyofunguka
Vijana mnakosa contents mnawasingizia mabinti