Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hadi wabunge wa kike😆😆😆Free money - hela za bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi wabunge wa kike😆😆😆Free money - hela za bure
Kuna ile anaumwa mnapiga story usingizi unakupitia anakuamsha utasikia mimi naumwa af wewe unalala au mm naongea wewe unalala kuna raha yakeHalafu kitandani anapiga story Hadi ninasinzia. Akihisi simsikilizi ananitikisa niamke daah story tamu na kausingizi ni hatari.
Sasa usiombe asafiri nyumba utaiona chungu 😹😹😹Halafu kitandani anapiga story Hadi ninasinzia. Akihisi simsikilizi ananitikisa niamke daah story tamu na kausingizi ni hatari.
Nipo maisha ndugu yanatufanya tusionekaneMwachi upo mdogo wangu?
Mbona umepotea sana??!
Simu muda woteSasa usiombe asafiri nyumba utaiona chungu 😹😹😹
Maisha yamefanyaje tena? 😹😹Nipo maisha ndugu yanatufanya tusionekane
😹😹😹 una raha sana mkuu.Simu muda wote
Kuna ile anaumwa mnapiga story usingizi unakupitia anakuamsha utasikia mimi naumwa af wewe unalala au mm naongea wewe unalala kuna raha yake
Huyo wako atakua mchawiMimi kwa kipindi nilichokaa na wanawake nimegundua wanapenda mambo haya
Gossiping - Umbea
Trending (showbiz) mambo yanayovuma na kufuta mkumbo.
Free money - hela za bure
Affection - upendo.
To hold grudge and negativity- kuhifadhi chuki na kuwa negative.
So mwanamke ukifanikiwa Ku-deal naye katika hizo angles basi atakuwa rafiki yako Sana .
So muda wangu mwingi huwa nautumia kumfundisha my BUU kuwa positive na kupenda watu.
Bila hela unaweza ukakanyaga vitu vya watu wakuee kisa Huna pesa ya kulipaMaisha yamefanyaje tena? 😹😹
Maisha ndio haya haya, vipi mama mzima?
Anaendeleaje?
Dah ni Kwa vile najua yote haya ni sababu ya upendo ila Kwa asiyejua ataona ni bughudha fulani'.😹😹😹 una raha sana mkuu.
Na tandale kwa tumboJaribu wa huku buza
Hadi wabunge wa kike😆😆😆
Ahaaa umbembeleze yeye alale then ndio ulaleWanataka uwe macho. Sasa kama anaumwa nisilale?
Wanawake dah! Vituko sanaAhaaa umbembeleze yeye alale then ndio ulale
Kwa Lulenge au Kwa Bibi Kibonge?Jaribu wa huku buza