Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Hakuna jipya litakalofanyika kwenye uchunguzi Wa polis, kama tukio LA lissu tu.
 
ingekua vizuri ujikite zaidi kwenye malengo ya nilicho andikwa
Hoja yako ni nzuri sana,ila uandishi ndio tatizo.
. Taalifa...Taarifa
Nashahuli...Nashauri
.Kusubili...Kusubiri
.Maarumu...Maalum
.Kisaikorojia...Kisaikolojia
 
Kama ID yako tu yenyewe imekaa Kipumbavu hivi Wewe pia utaachaje na kukosaje pia kuwa Mpumbavu? Kwahiyo Wapumbavu mnateteana au?
Kwa taarifa yako tu ni kwamba CHERENGANYA ni Kijiji kilichopo Sumbawanga vijijini na ndio nyumbani kwetu.

Leo umeniamsha na deni na mimi siendi kazini na deni Mpumbavu mwenyewe.
 
" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.

Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
Mwambieni Mbowe aache ulevi na ufusika ameshazeeka muda umeshaenda anaidharirisha familia yake! KUB unakuwa kwenye club za pombe mpaka SAA 6 usiku??
 
Kama ni mpango basi sawa na magaidi ambao hujilipua . Ni ujasiri wa hali ya juu mtu kupanga uvunjwe miguu kisa kutafuta nafasi ya uongozi . Hebu wewe tukuahidi ukatwe kidole komoja tu cha mkono halafu upewe kuitawala dunia
Mguu umevunjika baada ya kudondoka kwenye ngazi akipanda nyumbani kwake Dodoma kwa sababu ya ulevi na ufusika.
 
" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.

Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.

Hasa ukijumlisha na yale maandalizi ya ule muswada pendwavwa kujiwekea vizingiti batili ili kuepuka kushitakiwa, hatimaye sasa eti kwa mujibu wa sheria.
 
Kwa mawazo yangu sina uhakika kama jeshi la police limemhoji mheshimiwa Mbowe kabla ya kwenda Dar es salaam kwa kuwa mpaka sasa sijaona taarifa yoyote ikionyesha uwepo wa police pale hospitali.

Nasema hivyo nikiwa na maana kwamba, kwa kuwa Mr Mbowe alikuwa anajitambua hivyo kwa umakini wa police ingekuwa vema wakamhoji ili kujua alirudishwa nyumbani na nani?

Alivamiwa muda gani toka waliomrudisha kuondoka?

Hiyo ingesaidia kulinganisha na upelelezi mwingine watakaoupata kwani kama ni kitu cha kutengeneza lazima taalifa zitapishana kwani mtengeneza muvi anakuwa hajajipanga vizuri.

Ila kwa sasa wanweza jipanga kwani wanaona michango ya watu kwenye mitandao nao wanasahihisha makosa kabla ya kuhojiwa
Nashauli police wawe wanafanya maojiano mapema mtu anapopata tazito ili wapate mwanzo wa tukio
Kuliko. kusubili mtu anajipanga namna ya kudanganya.

Wakati wa tukio la Tundu lisu yule dereva alitakiwa awe amehojiwa kabla ya kuondoka, na ndio.maana kwa kutumia udhaifu wa police wakamtorosha mpaka sasa hajahojiwa.

Watengeneze kitengo ambacho kitapata mafunzo maarumu hata kwa wale wanokuwa na tatizo la kisaikorojia.
Taarifa za mwanzo ni muhimu sana.
Hakuna haja ya kufanya uchunguzi kama wachunguzi ni serikali yenyewe. Lakini kama serikali ingekuwa serious kudhibiti matukio haya, basi ingeanza kuwahoji wale wote ambao wamekuwa wakitoa kauli kutaka wapinzani wapigwe na kuuawa.
 
Rais wa Sudan aliye lupango Al Bashir alikuwa na wapambe duni na wajinga kama wewe , kilichomkuta unakijua
Acha upuuzi wa kumfananisha JPM na Al Bashir. Jana kaenda kumsalimia mkuu wenu pamoja na kuwasingizia watu watatu wasiojulikana. Pili JPM sio dikteta wala fisadi.
Mbowe akipona tu mahakamani skendo ya bil 8 ipo palepale.
 
Kwani ni kosa mtu kukaa sehemu mpaka saa sita, jiwe sianatuaminisha sisi ni kisiwa Cha amani jifunze kutumia akili
Hata Mimi nashangaa..
Mbona watu wengine wanakaa Hadi au zaidi ya huo muda na nchi yetu ni nchi huru na ya amani kabisa.
Mimi naona wanatafuta tu visingizio.
 
Ajabu sana. Sikuwepo kwenye tukio lakini naongea kama nilikuwepo. Ile amri ya kutoshuhudia uwongo sijui watu huwa tunaionaje?

Nakumbuka vibaka wengi huvamia watu waliolewa kuliko wale ambao hawajanywa kilevi! Watoto wao wanaona namna mnavyowasingizia na mnavyotukania wazazi wao.

Wananchi wanaona mnavyojipendekeza ili mpate nafasi. Mfano mdogo tu - je, Mbowe angeamua aseme kwamba mmojawapo wa aliyemvamia alikuwa Mheshimiwa Silinde - Stori yake ingekuwaje?
 
Back
Top Bottom