Kushambuliwa Tundu Lissu: Mwigulu aahidi vyombo vya dola vitawatia mbaroni watu wasiojulikana!

Watu "wasiojulikana" hawajawahi kupatikana nchi hii hata kama wakifanya tukio hadharani mbele ya kamera na picha zao kuonekana kwenye magazeti kama tukio la clouds fm na la Nape. Hivyo hakuna haja ya kuleta wachunguzi wa nje wakati inafahamika kuwa watu "wasiojulikana" hawawezi kujulikana!
 
Karibia mwezi unakatika wewe Mwigulu kama waziri wa mambo ya ndani ndo unajitokeza tena kwa maneno ya kunipa matumaini badala ya majibu.

Hii serikali ni ya kikatili sana kama kama waziri wa usalama wa watu ni Bomu kiasi hiki.
 
Karibia mwezi unakatika wewe Mwigulu kama waziri wa mambo ya ndani ndo unajitokeza tena kwa maneno ya kunipa matumaini badala ya majibu.

Hii serikali ni ya kikatili sana kama kama waziri wa usalama wa watu ni Bomu kiasi hiki.
Umeambiwa hao wahalifu watapatikana sasa unataka majibu gani tena?
 
Hivi sheria za nchi zinanizuia kuwa na private investigator?
 
Asiwatie mbaroni hao wa Tundu Lisu tu bali aanze na wale wa Arusha Olasiti, wale waliomuua Mawazo na Saanane. Akiweza hayo, tutajua kweli ana kiu ya kumaliza genge la wasojulikana
Mbona wa mkuranga na kibiti una waisoleti, au si wenzenu?
 
Mwigulu ni msukuma anayeishi singida sio mtu wa singida kibaiyolojia,hawezi kuwa na uchungu na mh tundu lisu
 

Inawezekana hao watu wanajulikana sana tu.. Na bila shaka viongozi wa serikali wanatuchora kwa jinsi tusivyoweza kuwafanya lolote..
 
Pigia mstari zinahesabika.
 
NAOMBA MWIGULU AOMBEWE MAANA ANAKOKWENDA SIKO. MWIGULU SI UNYAMAZE! WEKA MAJI MDOMONI AND YOU WILL BE SAFE
 
Mwigulu ni mtoto mdogo sana,atawezaje kuwatia mbaroni wakubwa zake,kaeni msubirie kama ataweza,yule wa Nape Nauye mbona hakumfanya chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…