Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Kuna hii ya siku hizi ya kitu kinaitwa sijui hakika. Wanasomewa watoto na unachinja mbuzi na mifupa inakusanywa na kuzikwa. Huu ni utamaduni wa waarabu lakini watu wameiga. Kuna dada yangu alichinja mbuzi 9 kwa ajili ya watoto wake , akijua eti watakuwa na maadili, loh wote wamekuwa ovyo kabisa .Tatizo watu wanachukuwa utamaduni na kufanya ni dini. Vilemba na ndevu ni utamaduni sio dini. Ni kwamba wenye utamaduni fulani ni wa dini fulani hii inachanganya wanaopenda kuiga
aisee!Mkuu inategema na Madhahab Gani?
Niliwahi kuwa Salafiya.na Answar pia..
Usipofuga Ndevu hata swafu ya Mbele ya Swala utaisikia tu utapelekwa safu ya Nyuma..
Na utapigwa Vijembe na kuitwa mwanamke..
Kuna hadithi Nyingi wanazo za kuhalalisha wasemacho kuwa Ni sunna Zenye Faradhi ndani..
Kama hujawahi kuwa hilo dhehabu huwezi kunielewa
Hahah, kazi kweli. Halafu kuna watu huwaambii kitu kuhusu haya mambo. Hao hao wanawachukia hadi ndugu zao eti kisa sio wa dini yao.aisee!
sunna zenye faradhi ndio nini asee? hizi dini zina watu wehu
Ni Sunna Zenye Uwajibu wa kufanya..aisee!
sunna zenye faradhi ndio nini asee? hizi dini zina watu wehu
Nakumbuka Miaka fulani kwenye miaka ya 2012 na 2013Hahah, kazi kweli. Halafu kuna watu huwaambii kitu kuhusu haya mambo. Hao hao wanawachukia hadi ndugu zao eti kisa sio wa dini yao.
kweli kila kitu ni kwa kiasi. ukichaa huu mtupu.Ni Sunna Zenye Uwajibu wa kufanya..
Ndiyo wanavyoita wao Hayo madhehebu..
Na ndiyo maan wengi huwaambii kitu kwenye kufuga ndefu na asiyefuga ndefu huonekana kwao kama Kafiri tu..
Nakumbuka Miaka fulani kwenye miaka ya 2012 na 2013
Nilikuwa Tanga Msikiti mmoja hivi kipindi Naswali na nina miaka miwili Tangu nisilimu..
Nilishangaa Kuna Dhehebu moja wamekaa nje na Fimbo na Mikasi wanasubiri Waislmu watoke nje wawapunguzie kanzu zao na Wakikataa wawatandike Fimbo Siku hiyo sikutoka Msikitini mpaka Jioni 😅😅😅
Dhehebu gani Hilo🤣🤣🤣Nakumbuka Miaka fulani kwenye miaka ya 2012 na 2013
Nilikuwa Tanga Msikiti mmoja hivi kipindi Naswali na nina miaka miwili Tangu nisilimu..
Nilishangaa Kuna Dhehebu moja wamekaa nje na Fimbo na Mikasi wanasubiri Waislmu watoke nje wawapunguzie kanzu zao na Wakikataa wawatandike Fimbo Siku hiyo sikutoka Msikitini mpaka Jioni 😅😅😅
SIku hiyo Nilikuwa nimechelewa nikasema msikiti ni msikiti tu nikaingia Kuswali Msikiti wa Ibadhi..😅😅Dhehebu gani Hilo🤣🤣🤣
At least kwa darasani walikua wanaperfom vyediThey were more than smart guys
[emoji41][emoji41][emoji41]
Hii kitu nimesikia Sheikh mmoja leo asubuh anasema riba dhambi yake ni kubwa kuliko mtoto kuzini na mzazi wake tena sehem takatifu(alisema kwa jina la dini) mfano baba na bintiye au mama na mtoto wake wa kiume, Asee nilishangaa sana kumbe riba ni big deal.Kuna jamaa aliacha Chuo tukiwa first year baada ya kusema eti Mkopo wa Bodi ya Elimu ya Juu una riba, na Dini yao pia hairuhusu Riba.
Wakati huo Wanafunzi wa Engineering wanapewa Mkopo asilimia 100
kwani uelewa mzuri wa dini unapatikana wapi?Ni uelewa mbaya wa dini.
Kwani lazima uwe na ndevu nyingi?! Hata ukiacha sehemu kidogo ya ndevu inaswihi. Kwa maana umeacha ndevu na unazo ndevu.
[emoji1787][emoji1787] dahKuna vijana wawili waliacha kibaha boys PCB, wakisema hii elimu inaukafiri,
They were more than smart guys, nataman nijue sasa wako wapi
Katika Uislam kuna dua ya kuomba kuruzukiwa ufahamu" Ewe Mwenyezi Mungu niruzuku mimi elimu na fahamu yake". Ninachomaanisha ufahamu nao ni riziki.Kuna jamaa aliacha Chuo tukiwa first year baada ya kusema eti Mkopo wa Bodi ya Elimu ya Juu una riba, na Dini yao pia hairuhusu Riba.
Wakati huo Wanafunzi wa Engineering wanapewa Mkopo asilimia 100
Hao nao wana upungufu wa ufahamu wa kuielewa dini.Kuna vijana wawili waliacha kibaha boys PCB, wakisema hii elimu inaukafiri,
They were more than smart guys, nataman nijue sasa wako wapi
Jamaa atakua aliacha kazi kwasababu zake zingineAlikuwa kachoka laki 7, hata mimi ningesepa japo kuwa na ndevu si lazima kwenye dini.
Hizi ni akili au matope?Jamaa sasa kwa moyo mweupe analima kijijini. Kaka yake aliyemsomesha wamegombana baada ya jamaa kupiga kalamu chini lakini anasema hawezi kurudi.