Kushindwa uchaguzi ni pamoja na kuibiwa kura, kulikoni kulia lia

Kushindwa uchaguzi ni pamoja na kuibiwa kura, kulikoni kulia lia

Unamuongelea yule Mtikila aliyekuwa anawachukia Watutsi na Wahindi?

Yule ambaye aliishinda serikali mahakamani kuhusu mgombea huru, hakupata kupoa hadi bia moja matata sana kupewa utambulisho wake.
 
It's now or never,

Bila tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya hautafanyika uchaguzi wowote wa HAKI,

Lissu, Mnyika na CDM waungwe mkono.
 
Penye ukweli pasi na kujali kambi ni heri kuusema. Vinginevyo tutaendelea kutwanga maji kwenye kinu milele.

Hongereni CCM Kwa kushinda chaguzi zenu na kama mabwege yakiendelea kulaza damu kazeni uzi hapo hapo.

Kwani malengo ya chama cha siasa nini? Si walisema "the end justifies the means?" Wacha walie lie mkiona yamelala au yako kihasara hasara nyie endeleeni kupita na kura kama vipi, zote kabisa!

Kwa hakika aliyelala usimwamshe.

Kwani nani aliwaambia CCM ni charity organization au hata kuwa ni watangaza dini?

Kutwa kucha wanalia wameibiwa chaguzi. 2024 na hata 2025 kama 2029 na 2030 watalia hivyo hivyo kama wamerogwa tu.

Nani ajuaye labda wao ni wapinzani wa kudumu. Kwamba walishajikatia tamaa au labda ndiyo iliyo core business yao?

Kwani hata wanachukua hatua zipi za maana kuona kuwa sasa au kesho wanaweza kushinda vipi? Kwamba iko wapi mikakati yao ya ushindi? Kwamba wako kusherehekea nyomi mikutanoni mwao, zisizotafsirika kwenye uwanda wowote wa maamuzi?

Kama ndivyo nini tofauti ya vyama hivi na kina TLP, CHAUMA, CUF, au hata na DP ya leo?

Kwenye uwanja wa mapambano mbinu zote dhidi ya adui ni halali. Yaani mbinu safi na hata chafu (overt and covert) zote ruksa. Kumbe sisi tunategemea kushinda kwa kudra za Mola? Kama ndivyo ni heri tukajisajili rasmi kwa akina Mwamposa, Lusekelo au hata kina Mwaipopo huko. Kwa mtaji huo tukawe tayari kupokea vibao shavu moja baada ya jingine bila ya kunung'unika.

Hivi huwa tunajihoji sawa sawa ndani kwa ndani au hata nje kwa nje? Kutambua tuko kamili na kweli tumedhamiria? Tunajua hii ni vita, siyo lelemama? Ya kwamba kama ilivyo kwa kumwua nyani hatupaswi kumwangalia usoni?

Bravo: TAL, Mwabukusi, Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Kamanda Mdude na nyote mliodhamiria kweli kweli.

Kwa hakika mlipo tupo!

Pumzika kwa amani Rev. Christopher Mtikila kama wale hukupata kupoa.
makuwadi na guruwe wa warabu nenden dubai mabwege na mabwabwa yasiyoweza kushinndana kwa haki yakitegemea mbwa waliojivika mavaz ya kulinda raia na mali zao ifikapo 2025 mamayenu atakimbilia Dubai huku makuwadi ya dpworld mkichagua either kubaki mkione cha mtemakuni au mkimbilie Burundi.
 
Penye ukweli pasi na kujali kambi ni heri kuusema. Vinginevyo tutaendelea kutwanga maji kwenye kinu milele.

Hongereni CCM Kwa kushinda chaguzi zenu na kama mabwege yakiendelea kulaza damu kazeni uzi hapo hapo.

Kwani malengo ya chama cha siasa nini? Si walisema "the end justifies the means?" Wacha walie lie mkiona yamelala au yako kihasara hasara nyie endeleeni kupita na kura kama vipi, zote kabisa!

Kwa hakika aliyelala usimwamshe.

Kwani nani aliwaambia CCM ni charity organization au hata kuwa ni watangaza dini?

Kutwa kucha wanalia wameibiwa chaguzi. 2024 na hata 2025 kama 2029 na 2030 watalia hivyo hivyo kama wamerogwa tu.

Nani ajuaye labda wao ni wapinzani wa kudumu. Kwamba walishajikatia tamaa au labda ndiyo iliyo core business yao?

Kwani hata wanachukua hatua zipi za maana kuona kuwa sasa au kesho wanaweza kushinda vipi? Kwamba iko wapi mikakati yao ya ushindi? Kwamba wako kusherehekea nyomi mikutanoni mwao, zisizotafsirika kwenye uwanda wowote wa maamuzi?

Kama ndivyo nini tofauti ya vyama hivi na kina TLP, CHAUMA, CUF, au hata na DP ya leo?

Kwenye uwanja wa mapambano mbinu zote dhidi ya adui ni halali. Yaani mbinu safi na hata chafu (overt and covert) zote ruksa. Kumbe sisi tunategemea kushinda kwa kudra za Mola? Kama ndivyo ni heri tukajisajili rasmi kwa akina Mwamposa, Lusekelo au hata kina Mwaipopo huko. Kwa mtaji huo tukawe tayari kupokea vibao shavu moja baada ya jingine bila ya kunung'unika.

Hivi huwa tunajihoji sawa sawa ndani kwa ndani au hata nje kwa nje? Kutambua tuko kamili na kweli tumedhamiria? Tunajua hii ni vita, siyo lelemama? Ya kwamba kama ilivyo kwa kumwua nyani hatupaswi kumwangalia usoni?

Bravo: TAL, Mwabukusi, Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Kamanda Mdude na nyote mliodhamiria kweli kweli.

Kwa hakika mlipo tupo!

Pumzika kwa amani Rev. Christopher Mtikila kama wale hukupata kupoa.
Chama Cha siasa kikiondoka kwenye kutegemea sanduku la kura kikaanza kzegemea Jeshi la Polisi na Usalama wa Taifa, hicho Tena siyo Chama Cha siasa. CCMkwa Sasa hawategemei sanduku la kura, siku wakirudi kutegemea sanduku la kura, ni mapema tu asubuhi hawapo.
 
Unafahamu matokeo ya
Penye ukweli pasi na kujali kambi ni heri kuusema. Vinginevyo tutaendelea kutwanga maji kwenye kinu milele.

Hongereni CCM Kwa kushinda chaguzi zenu na kama mabwege yakiendelea kulaza damu kazeni uzi hapo hapo.

Kwani malengo ya chama cha siasa nini? Si walisema "the end justifies the means?" Wacha walie lie mkiona yamelala au yako kihasara hasara nyie endeleeni kupita na kura kama vipi, zote kabisa!

Kwa hakika aliyelala usimwamshe.

Kwani nani aliwaambia CCM ni charity organization au hata kuwa ni watangaza dini?

Kutwa kucha wanalia wameibiwa chaguzi. 2024 na hata 2025 kama 2029 na 2030 watalia hivyo hivyo kama wamerogwa tu.

Nani ajuaye labda wao ni wapinzani wa kudumu. Kwamba walishajikatia tamaa au labda ndiyo iliyo core business yao?

Kwani hata wanachukua hatua zipi za maana kuona kuwa sasa au kesho wanaweza kushinda vipi? Kwamba iko wapi mikakati yao ya ushindi? Kwamba wako kusherehekea nyomi mikutanoni mwao, zisizotafsirika kwenye uwanda wowote wa maamuzi?

Kama ndivyo nini tofauti ya vyama hivi na kina TLP, CHAUMA, CUF, au hata na DP ya leo?

Kwenye uwanja wa mapambano mbinu zote dhidi ya adui ni halali. Yaani mbinu safi na hata chafu (overt and covert) zote ruksa. Kumbe sisi tunategemea kushinda kwa kudra za Mola? Kama ndivyo ni heri tukajisajili rasmi kwa akina Mwamposa, Lusekelo au hata kina Mwaipopo huko. Kwa mtaji huo tukawe tayari kupokea vibao shavu moja baada ya jingine bila ya kunung'unika.

Hivi huwa tunajihoji sawa sawa ndani kwa ndani au hata nje kwa nje? Kutambua tuko kamili na kweli tumedhamiria? Tunajua hii ni vita, siyo lelemama? Ya kwamba kama ilivyo kwa kumwua nyani hatupaswi kumwangalia usoni?

Bravo: TAL, Mwabukusi, Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Kamanda Mdude na nyote mliodhamiria kweli kweli.

Kwa hakika mlipo tupo!

Pumzika kwa amani Rev. Christopher Mtikila kama wale hukupata kupoa.
Unafahamu Rais iliyechaguliwa kwa wizi wa kura Tanzania matokeo yake hayapingwi mahakanani ?
 
It's now or never,

Bila tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya hautafanyika uchaguzi wowote wa HAKI,

Lissu, Mnyika na CDM waungwe mkono.

Kama haufanyiki uchaguzi wa haki options gani ziko mezani ambazo ni lazima kuzingatiwa? Options zipo lukuki:

1. Wizi hauna hati miliki ya mtu
2. Uchaguzi usiokuwa wa haki wa nini? Bila kusahau hamna kususa!
3. Kulikoni kuto ya infiltrate majizi haya?
4. Nk, nk.
 
Wewe unafanya Nini kuzuia wizi wa kura? Wewe mwenyewe umekaakaa alafu hujitambui Unataka ufanyiwe wewe ukae tuu???

Ni wazi kuwa usiowadhania yaweza kuwa wanafanya mengi na ya maana mno kuliko wewe ndugu.
 
Unafahamu matokeo ya

Unafahamu Rais iliyechaguliwa kwa wizi wa kura Tanzania matokeo yake hayapingwi mahakanani ?

Kwa hiyo unaona tuendelee kukubaliana na hilo kama amri ya Mungu, siyo?
 
Penye ukweli pasi na kujali kambi ni heri kuusema. Vinginevyo tutaendelea kutwanga maji kwenye kinu milele.

Hongereni CCM Kwa kushinda chaguzi zenu na kama mabwege yakiendelea kulaza damu kazeni uzi hapo hapo.

Kwani malengo ya chama cha siasa nini? Si walisema "the end justifies the means?" Wacha walie lie mkiona yamelala au yako kihasara hasara nyie endeleeni kupita na kura kama vipi, zote kabisa!

Kwa hakika aliyelala usimwamshe.

Kwani nani aliwaambia CCM ni charity organization au hata kuwa ni watangaza dini?

Kutwa kucha wanalia wameibiwa chaguzi. 2024 na hata 2025 kama 2029 na 2030 watalia hivyo hivyo kama wamerogwa tu.

Nani ajuaye labda wao ni wapinzani wa kudumu. Kwamba walishajikatia tamaa au labda ndiyo iliyo core business yao?

Kwani hata wanachukua hatua zipi za maana kuona kuwa sasa au kesho wanaweza kushinda vipi? Kwamba iko wapi mikakati yao ya ushindi? Kwamba wako kusherehekea nyomi mikutanoni mwao, zisizotafsirika kwenye uwanda wowote wa maamuzi?

Kama ndivyo nini tofauti ya vyama hivi na kina TLP, CHAUMA, CUF, au hata na DP ya leo?

Kwenye uwanja wa mapambano mbinu zote dhidi ya adui ni halali. Yaani mbinu safi na hata chafu (overt and covert) zote ruksa. Kumbe sisi tunategemea kushinda kwa kudra za Mola? Kama ndivyo ni heri tukajisajili rasmi kwa akina Mwamposa, Lusekelo au hata kina Mwaipopo huko. Kwa mtaji huo tukawe tayari kupokea vibao shavu moja baada ya jingine bila ya kunung'unika.

Hivi huwa tunajihoji sawa sawa ndani kwa ndani au hata nje kwa nje? Kutambua tuko kamili na kweli tumedhamiria? Tunajua hii ni vita, siyo lelemama? Ya kwamba kama ilivyo kwa kumwua nyani hatupaswi kumwangalia usoni?

Bravo: TAL, Mwabukusi, Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Kamanda Mdude na nyote mliodhamiria kweli kweli.

Kwa hakika mlipo tupo!

Pumzika kwa amani Rev. Christopher Mtikila kama wale hukupata kupoa.
Mbona hata pesa wanaiba, wizi ni jadi ya CCM
 
Walisema penye nia pana njia. Tunashindwa vipi kuweka mikakati ya ushindi tukashinda? Kwa hakika si Kwa kulia lia. Tufike mahali tukubaliane kuibiwa na kukwiba ni sehemu ya mchezo. Kulia lia iwe marufuku!
Wewe usichukulie mambo simple kihivyo. Wizara ya TAMISEMI ipo chini ya Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM. TAMISEMI ndio inasimamia uchaguzi unategemea Nini?. Waziri mwenyewe ni mkwe wa Rais. Sasa upinzani watawezaje kuzuia wizi na udanganyifu.
 
Mikakati ya ushindi isiyotekelezeka haina maana yoyote.

Nani hao waliokuwa wakubwa kuliko maamuzi yenye maslahi mapana ya chama? Kulikoni wanavumiliwa?

Nini tofauti ya kuwa na mikakati ya ushindi isiyotekelezeka au kutokuwa nayo?

Angalia CCM walivyokuwa na mikakati ya ushindi:

View attachment 2738972

Kwa hakika hawalali hawa!

Kongole kwao.

Sisi je?
Hao Wana means, na Wana Dola. Usiwakinganishe na upinzani. Upinzani wanajitahidi Sana hapo Dola inakilinda chama Cha mapinduzi.
 
Endeleeni kuiba kisa wananchi wapo kimya.

Kwa ukimya huu nini wezi kiwasimamishe kama kila wanachotaka kinakuwa?

Waungwana wakiita dua la kuku halimpati mwewe.
 
Penye ukweli pasi na kujali kambi ni heri kuusema. Vinginevyo tutaendelea kutwanga maji kwenye kinu milele.

Hongereni CCM Kwa kushinda chaguzi zenu na kama mabwege yakiendelea kulaza damu kazeni uzi hapo hapo.

Kwani malengo ya chama cha siasa nini? Si walisema "the end justifies the means?" Wacha walie lie mkiona yamelala au yako kihasara hasara nyie endeleeni kupita na kura kama vipi, zote kabisa!

Kwa hakika aliyelala usimwamshe.

Kwani nani aliwaambia CCM ni charity organization au hata kuwa ni watangaza dini?

Kutwa kucha wanalia wameibiwa chaguzi. 2024 na hata 2025 kama 2029 na 2030 watalia hivyo hivyo kama wamerogwa tu.

Nani ajuaye labda wao ni wapinzani wa kudumu. Kwamba walishajikatia tamaa au labda ndiyo iliyo core business yao?

Kwani hata wanachukua hatua zipi za maana kuona kuwa sasa au kesho wanaweza kushinda vipi? Kwamba iko wapi mikakati yao ya ushindi? Kwamba wako kusherehekea nyomi mikutanoni mwao, zisizotafsirika kwenye uwanda wowote wa maamuzi?

Kama ndivyo nini tofauti ya vyama hivi na kina TLP, CHAUMA, CUF, au hata na DP ya leo?

Kwenye uwanja wa mapambano mbinu zote dhidi ya adui ni halali. Yaani mbinu safi na hata chafu (overt and covert) zote ruksa. Kumbe sisi tunategemea kushinda kwa kudra za Mola? Kama ndivyo ni heri tukajisajili rasmi kwa akina Mwamposa, Lusekelo au hata kina Mwaipopo huko. Kwa mtaji huo tukawe tayari kupokea vibao shavu moja baada ya jingine bila ya kunung'unika.

Hivi huwa tunajihoji sawa sawa ndani kwa ndani au hata nje kwa nje? Kutambua tuko kamili na kweli tumedhamiria? Tunajua hii ni vita, siyo lelemama? Ya kwamba kama ilivyo kwa kumwua nyani hatupaswi kumwangalia usoni?

Bravo: TAL, Mwabukusi, Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Kamanda Mdude na nyote mliodhamiria kweli kweli.

Kwa hakika mlipo tupo!

Pumzika kwa amani Rev. Christopher Mtikila kama wale hukupata kupoa.
Hawako serious.
Sasa hv washasombwa na upepo wa bandari.
Wanahangaika na waraka huko vigangoni
 
Kama haufanyiki uchaguzi wa haki options gani ziko mezani ambazo ni lazima kuzingatiwa? Options zipo lukuki:

1. Wizi hauna hati miliki ya mtu
2. Uchaguzi usiokuwa wa haki wa nini? Bila kusahau hamna kususa!
3. Kulikoni kuto ya infiltrate majizi haya?
4. Nk, nk.
Tatizo lako hutaki kukubali kwamba uchaguzi unasimamiwa na serikali ya CCM na ndio inafadhili huo uchaguzi, hivyo wao wapo kwenye upper hand ya kuiba kuliko upinzani ambao ni outsiders. Unakumbuka kilicho tokea Zanzibar 2015?. Jeshi la JWTZ liliingilia kati ikabidi uchaguzi ufutwe. Sasa kwa mazingira hayo amabapo jeshi linaingia kulinda CCM unategemea upinzani wafanye Nini.
 
Hao Wana means, na Wana Dola. Usiwakinganishe na upinzani. Upinzani wanajitahidi Sana hapo Dola inakilinda chama Cha mapinduzi.

Upinzani hata websites zao hazina updates, online TV zao mfu, accounts zao social media bora zako au zangu, uchaguzi bila Katiba mpya ndiyo hao wako kwenye maandalizi kama Bulaya tu, nk nk.

Dola kitu Gani kama kuna wanachama 8m+?
 
Kwa ukimya huu nini wezi kiwasimamishe kama kila wanachotaka kinakuwa?

Waungwana wakiita dua la kuku halimpati mwewe.
Mtu anaiba pesa za umma kila mwaka ataona aibu gani kuiba kura za wananchi ili aendelee kuwaibia.
 
Tatizo lako hutaki kukubali kwamba uchaguzi unasimamiwa na serikali ya CCM na ndio inafadhili huo uchaguzi, hivyo wao wapo kwenye upper hand ya kuiba kuliko upinzani ambao ni outsiders. Unakumbuka kilicho tokea Zanzibar 2015?. Jeshi la JWTZ liliingilia kati ikabidi uchaguzi ufutwe. Sasa kwa mazingira hayo amabapo jeshi linaingia kulinda CCM unategemea upinzani wafanye Nini.

Hatuwezi kuzuia chaguzi kufanyika bila kujiridhisha mazingira? Hata hatuwezi kuwa infiltrate mbona Odinga aliwahi jiunga KANU?

Si ni wa kusikiliza tu, hewala bwana?
 
Upinzani hata websites zao hazina updates, online TV zao mfu, accounts zao social media bora zako au zangu, uchaguzi bila Katiba mpya ndiyo hao wako kwenye maandalizi kama Bulaya tu, nk nk.

Dola kitu Gani kama kuna wanachama 8m+?
Katika mambo yatakayo nifanya niwadharau CHADEMA ni kama watashiriki uchaguzi wa 2024/2025 bila tume huru. Yani CCM wakiiba itakuwa haki yao. Yani ifanyiwe ubaya 2020 halafu utegemee huruma 2024.
 
Back
Top Bottom