Ndio tujaribu kipindi hiki. Shida upinzani hawana umoja wengine watashiriki.Hatuwezi kuzuia chaguzi kufanyika bila kujiridhisha mazingira? Hata hatuwezi kuwa infiltrate mbona Odinga aliwahi jiunga KANU?
Si ni wa kusikiliza tu, hewala bwana?
Mtu anaiba pesa za umma kila mwaka ataona aibu gani kuiba kura za wananchi ili aendelee kuwaibia.
Haya ndo mambo ya kujadili na kuweka mkakati.Nimekusoma nikajikuta nacheka kama mazuri, kila siku kulia lia kama tuliambiwa CCM ni charity organisation!
Umeniamsha usingizini, kumbe huu wimbo wa CCM wameiba kura unatakiwa kufa automatically, kama CCM kuiba kunawawezesha wao kufikia malengo yao ni wazi wataendelea kuiba no matter what!.
Kama wakiendelea kuiba, nasi tukiendelea kulia wanaiba, kumbe CCM ndio wenye faida kwa sababu wanakuwa tayari wameshayafikia malengo yao, huku sisi wakulia lia ndio tunaendelea kutwanga maji kwenye kinu kila siku!.
Hapa tukubaliane tu ukweli mchungu, kama hatuwezi kuwazuia CCM kutuibia kwa vitendo, na sio kwa kulia lia kama ilivyozoeleka, bora tuwaache waendelee kututawala wapendavyo.
Dah we jamaa leo vp!Tufike mahali tuelezane ukweli. Chama hata tovuti zake hakuna updates, hata vi online TV bora vya kina AYO. Macho sasa yapo kwenye ubunge 2024/25 kwa Katiba hii hii. Nini tofauti na kina Bulaya?
Hata kwenye football kucheza rafu ni mbinu ya ushindi pia.Walisema penye nia pana njia. Tunashindwa vipi kuweka mikakati ya ushindi tukashinda? Kwa hakika si Kwa kulia lia. Tufike mahali tukubaliane kuibiwa na kukwiba ni sehemu ya mchezo. Kulia lia iwe marufuku!
Binafsi msimamo wangu ni kuachana na lolote liwalo. Tukomae na katiba tu. Tususie chaguzi zoooote mpk dunia itusikie.Mikakati ya ushindi mara zote huwekwa, bahati mbaya hatuna uvumilivu wa kuisimamia mpaka matunda yaonekane.
Unapokuwa na mipango ya hakuna uchaguzi mpaka Katiba Mpya ipatikane, halafu ghafla wengine miongoni mwenu wanaanza kusema 2025 lazima nitamtoa fulani jimbo fulani, hayo kwangu ndio maandalizi ya vilio vya nimeibiwa kura...
Kwa aina hii ya kwako, tusahau kuitoa CCMmakuwadi na guruwe wa warabu nenden dubai mabwege na mabwabwa yasiyoweza kushinndana kwa haki yakitegemea mbwa waliojivika mavaz ya kulinda raia na mali zao ifikapo 2025 mamayenu atakimbilia Dubai huku makuwadi ya dpworld mkichagua either kubaki mkione cha mtemakuni au mkimbilie Burundi.
Ndio tujaribu kipindi hiki. Shida upinzani hawana umoja wengine watashiriki.
Dah we jamaa leo vp!
Mbona unawachana sana watu...
Binafsi msimamo wangu ni kuachana na lolote liwalo. Tukomae na katiba tu. Tususie chaguzi zoooote mpk dunia itusikie.
Mi nna uhakika huyu mama hatokuwa na kifua cha kuvumilia hiyo hali kwa sababu anapenda sana kuonekana yeye ni Mwanademokrasia mbele ya wazungu
Hatuaminiani. Kila mmoja anajiona yeye ndo mpinzani na wenzake ni mamluki.Hata wafanya biashara wa Kariakoo wakilianzisha mbona mambo yao hunyooka?
Hata kama uchaguzi haususwi tunaweza jipanga kuwashinda hawa ndugu. Mbona Seif aliweza kuja na kura za maruhani?
Tunaweza wa infiltrate tukagombea hata kama wanachama wao. Shida iko wapi?
Kumbe kuna wakati bwana mdogo zinachaji vizuri tu!Binafsi msimamo wangu ni kuachana na lolote liwalo. Tukomae na katiba tu. Tususie chaguzi zoooote mpk dunia itusikie.
Mi nna uhakika huyu mama hatokuwa na kifua cha kuvumilia hiyo hali kwa sababu anapenda sana kuonekana yeye ni Mwanademokrasia mbele ya wazungu
Hatuaminiani. Kila mmoja anajiona yeye ndo mpinzani na wenzake ni mamluki.
Tanzania ya CCM upinzani kuna kitu hawakielewi tu
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app