Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Mkubwa umenikumbusha.........kuna siku nilirudi home na kitu cha miguu ya mbuzi na kichwa kizima....nikasema dinner langu liwe supu ya hii makitu! nikaambiwa si ukanywe huko bar?
Sababu nyingine.

Mi kuna siku nikawa naangalia BBC na kopo langu la castle mkononi....nikasikia Matesha akimwambia mama ake...hivi mbona leo baba hatoki, nataka niangalie katuni.......Sababu nyingine....
 
Mkubwa umenikumbusha.........kuna siku nilirudi home na kitu cha miguu ya mbuzi na kichwa kizima....nikasema dinner langu liwe supu ya hii makitu! nikaambiwa si ukanywe huko bar?
Sababu nyingine.
AHAHAHAHAHAHAH!
shemeji alikuwa anarevenge hapo....

ulitakiwa ushikane nae mkono muongozane JIKONI
 
Sasa we unajua sijatia msosi na Matesha yapata siku tano.

Ikifika saa moja unanipigia unanambia 'njoo hapa King Star bana'
Kesho ananipigia mutu ya Kongo papaa Kasibeti,
Kesho kutwa napewa salamu za Emmy na B_E, na kama unavyojua Emmy hana simu...
Siku inayofuata DEUSI ananiambia kuna bia mbili zinanisubiri
Siku nyingine sababu ya wapwa kumsalimia Eliza pale JJ
Then kuna kamati ndogo inahitaji ulezi wangu
Siku nyingine Kiu inanishinda
Zimebaki siku ngapi hapo kwa wiki?

achana na pombe hamia kwenye chai! Wote hao watakuja wenyewe home wakikukosa kijiweni! Hivyo muda utapatikana wa lunch na dinner home..
 
achana na pombe hamia kwenye chai! Wote hao watakuja wenyewe home wakikukosa kijiweni! Hivyo muda utapatikana wa lunch na dinner home..
umeona eeh!?!.....
I second you
 
achana na pombe hamia kwenye chai! Wote hao watakuja wenyewe home wakikukosa kijiweni! Hivyo muda utapatikana wa lunch na dinner home..

Chai naipenda, lakini bia ni dawa ya moyo.
 
.....thatha homu boi ndo nini thatha......? ila ngoja niikopi na ku-ipesti kwenye lapu topu ya TINEJA .....! pia nitakupa namba yake unate na biti....live......!
 
.....thatha homu boi ndo nini thatha......? ila ngoja niikopi na ku-ipesti kwenye lapu topu ya TINEJA .....! pia nitakupa namba yake unate na biti....live......!
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHA!
hommmieee himmieeee

NDI HOOUCHUUNEENEE
 
achana na pombe hamia kwenye chai! Wote hao watakuja wenyewe home wakikukosa kijiweni! Hivyo muda utapatikana wa lunch na dinner home..
Hivi chai unaweza kuiweka kwenye fridge ipate bardii??
mi vinywaji vya moto vinaniunguza mdomo........
 
Mkubwa umenikumbusha.........kuna siku nilirudi home na kitu cha miguu ya mbuzi na kichwa kizima....nikasema dinner langu liwe supu ya hii makitu! nikaambiwa si ukanywe huko bar?
Sababu nyingine.
Dah kumbe wenyewe tunawasukumia huko?Next time piga supu huko ukifika home na wewe unakaa mezani..unapiga vijiko viwili umeshiba!Mama anafurahi..wewe unafurahi..case closed!
 
Dah kumbe wenyewe tunawasukumia huko?Next time piga supu huko ukifika home na wewe unakaa mezani..unapiga vijiko viwili umeshiba!Mama anafurahi..wewe unafurahi..case closed!
NIMEIPENDA SANA HIYO....!hahahahahahahaha

mapenzi ni maridhiano
 
Mi kuna siku nikawa naangalia BBC na kopo langu la castle mkononi....nikasikia Matesha akimwambia mama ake...hivi mbona leo baba hatoki, nataka niangalie katuni.......Sababu nyingine....
hommie hizi post zako za leo ni sababu nyingine ya kuhudhuria counter ya juu!!!
hahahaha
 
"When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
- Rev.Bishop Desmond Tutu.

SALUTE.
 
hommie hizi post zako za leo ni sababu nyingine ya kuhudhuria counter ya juu!!!
hahahaha

Na unapoenda kaunta ya juu utakumbuka kula na familia?...hili linahitaji mjadala naona.
 
Dah kumbe wenyewe tunawasukumia huko?Next time piga supu huko ukifika home na wewe unakaa mezani..unapiga vijiko viwili umeshiba!Mama anafurahi..wewe unafurahi..case closed!
hahaha wewe nakumbuka nilishawai kurudi na home boy wangu, wife wake akatufungulia...dah chakula mezani yaani hakuna cha vijiko viwili alitusimamia mpaka tukamaliza achana na vijiko vilwili bana..lol
 
NIMEIPENDA SANA HIYO....!hahahahahahahaha

mapenzi ni maridhiano

Unajua hata kusali tunaweza kusalia nyumbani, ila msikitini na kanisani kuna raha yake

Tukienda ZERO pub tunahudumiwa na Eliza, kwanza bia inakuwa tamu zaidi, halafu tunakuwa tumetoa ajira kwa Eliza na mangi wa jikoni

hii ni kisera zaidi
 
Dah kumbe wenyewe tunawasukumia huko?Next time piga supu huko ukifika home na wewe unakaa mezani..unapiga vijiko viwili umeshiba!Mama anafurahi..wewe unafurahi..case closed!
Orait..........naona wewe ni genius........unarudi home ukiwa na bia kichwani na kongoro tumboni.
Ukiingia tu, unawahi castle ya kopo kwa fridge....then unakaa mezani, unapiga story tu, huli wala nn.
Castle na kibua wapi na wapi?
 
Orait..........naona wewe ni genius........unarudi home ukiwa na bia kichwani na kongoro tumboni.
Ukiingia tu, unawahi castle ya kopo kwa fridge....then unakaa mezani, unapiga story tu, huli wala nn.
Castle na kibua wapi na wapi?

Hivi kula na familia lazima iwe dinner....mnaonaje tuwe tunapiga supu asubuhi na familia (saa 11 au 12 alfajiri) then haoooo...hili tunaweza kulifanya kila siku za wiki pamoja na mikiki mikiki yake...and in that way tutakuwa tume-keep flame na familia burning
 
Unajua hata kusali tunaweza kusalia nyumbani, ila msikitini na kanisani kuna raha yake

Tukienda ZERO pub tunahudumiwa na Eliza, kwanza bia inakuwa tamu zaidi, halafu tunakuwa tumetoa ajira kwa Eliza na mangi wa jikoni

hii ni kisera zaidi
MKUKUTA
Vision 2025
 
Back
Top Bottom