Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
Kama anayeshinikiza ndo muoaji haina mbaya\Hahahaha!We ndoa za kushinikiza zimepitwa na wakati!
Kama anayeshinikiza ni mzazi wa muoaji hapo kuna mushkeli.
Babe come this way.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anayeshinikiza ndo muoaji haina mbaya\Hahahaha!We ndoa za kushinikiza zimepitwa na wakati!
Mipango yote.............you are mipango yote.
hautovunjwa moyo.
Talaka mapema hii?Hahaha B anataka kupindua nyumba ya mchungaji!Nataka nijiaminishe...cipi ushakula talaka? Unakumbuka ulikuwa uwe wangu? Na huyu hapa chini vipi mpango wake wa nje au ndani?
You can say that again............na hakuna second thought hapo.Kwahiyo ntakua mpango wa kando..mpango wa kati na mpango mzima!?
Kazi nimeshaimaliza..........naweka foundation imara tu.......beam za nondo ya 16mmTalaka mapema hii?Hahaha B anataka kupindua nyumba ya mchungaji!
Nimeshakushtukia!Unataka nimuache mchungaji alafu unichane laivu!Mwendo wa kutosa na kutoswa...staki mie!Kama anayeshinikiza ndo muoaji haina mbaya\
Kama anayeshinikiza ni mzazi wa muoaji hapo kuna mushkeli.
Babe come this way.
Kuwa na wasiwasi na consideration ya risks ni kawaida katika kufanya maamuzi makubwa kama haya.Nimeshakushtukia!Unataka nimuache mchungaji alafu unichane laivu!Mwendo wa kutosa na kutoswa...staki mie!
...na ukanijibu hivi;yah!
unawezekana kabisa
at least kupunguza kazi za nje
KAZI ZA NJE zinakufanya uwe bize sana halaf ''for nothing'' kwakuwa in a long run WANAWAKE NI WALE WALE....!hakuna kitu kipya sana utakikuta huko nje
Kipya ni Tigo utaipata nje ndani sooo au???
Mmh majukumu yatanishinda maana najua hapo kila cheo kina yake!You can say that again............na hakuna second thought hapo.
Kazi nimeshaimaliza..........naweka foundation imara tu.......beam za nondo ya 16mm
majukumu yanakuja nachurale........usiyaogope pia.Mmh majukumu yatanishinda maana najua hapo kila cheo kina yake!
habari yake Bi to ze Gi bana!!!Hahaha...ngoja nimwambie mchungaji kapata adui..Bi tu ze Gi!
Kuwa na wasiwasi na consideration ya risks ni kawaida katika kufanya maamuzi makubwa kama haya.
Babe come this way.
Compatible huh?majukumu yanakuja nachurale........usiyaogope pia.
Compatible partner.
Babe come this way.
Aiseee...ngoja nirudi kitandani tena...
Habari yangu binafsi ya kibua bana!!!HAHAHAHAHA!
Bigirita hapo juu I AM WATCHING.....!
hata VAT hamlipii mnajinufaisha tu
HAHAHAHAHA!
Bigirita hapo juu I AM WATCHING.....!
hata VAT hamlipii mnajinufaisha tu
Unapenda Kibua?kimeumana. ngoja 2one anasemaje. na mimi narudi barazani
Noted..........Hahahaha!Usijali bwana...siti yako itakua hai tebo!