Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Hahahaha!We ndoa za kushinikiza zimepitwa na wakati!
Kama anayeshinikiza ndo muoaji haina mbaya\
Kama anayeshinikiza ni mzazi wa muoaji hapo kuna mushkeli.

Babe come this way.
 
Nataka nijiaminishe...cipi ushakula talaka? Unakumbuka ulikuwa uwe wangu? Na huyu hapa chini vipi mpango wake wa nje au ndani?
Talaka mapema hii?Hahaha B anataka kupindua nyumba ya mchungaji!
 
Kama anayeshinikiza ndo muoaji haina mbaya\
Kama anayeshinikiza ni mzazi wa muoaji hapo kuna mushkeli.

Babe come this way.
Nimeshakushtukia!Unataka nimuache mchungaji alafu unichane laivu!Mwendo wa kutosa na kutoswa...staki mie!
 
Nimeshakushtukia!Unataka nimuache mchungaji alafu unichane laivu!Mwendo wa kutosa na kutoswa...staki mie!
Kuwa na wasiwasi na consideration ya risks ni kawaida katika kufanya maamuzi makubwa kama haya.

Babe come this way.
 
dena kwa msisitizo tu,niliandika hivi:
yah!
unawezekana kabisa

at least kupunguza kazi za nje

KAZI ZA NJE zinakufanya uwe bize sana halaf ''for nothing'' kwakuwa in a long run WANAWAKE NI WALE WALE....!hakuna kitu kipya sana utakikuta huko nje
...na ukanijibu hivi;

Kipya ni Tigo utaipata nje ndani sooo au???
 
HAHAHAHAHA!

Bigirita hapo juu I AM WATCHING.....!

hata VAT hamlipii mnajinufaisha tu
 
Kuwa na wasiwasi na consideration ya risks ni kawaida katika kufanya maamuzi makubwa kama haya.

Babe come this way.

Well...sinsi riski nazisoma ngoja nibanane na mchungaji wangu!
 
Back
Top Bottom