LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Lakini ndugai Ni kijana? Mbona muda wote anavunja katiba tu na Ni mzee?Vijana wametuangusha sana kipindi hicho cha Mwendazake! Pia mafunzo ya uongozi yasikome kufanyika kwa vijana wetu. Bado wanahitaji kupikwa kweli kweli. La sivyo hatutakaa tupate viongozi kutoka kwa vijana.
Hapo unakosea pia Mkuu, wakati wa mwendazake kelele zilipigwa sana kwamba anaingilia mihimili mingine, Mahakama na Bunge, Mama akiingilia ishu ya covid-19 hatokuwa tofauti na mwendazake, ila kwa hili mtamshangilia kwa sababu tu atakuwa amewafurahisha nyinyi. Nafikiri kila muhimili uachwe ufanye shughuli zake bila kuingiliwa. BTW hao CDM wamekosa njia kabisa za kisheria kuwatoa hao Covid-19? Kisingizio chao ni kuwa wamekata rufaa Baraza kuu, kwa nini hilo baraza kuu lisikae na kuwavua moja kwa moja uanachama? Utasema watakimbilia mahakamani, wakienda mahakamani ni vizuri zaidi maana katiba ya CDM inasema mwanachama yeyote akienda mahakamani kukishtaki chama na akishindwa kesi anakuwa kajifukuzisha uanachama.
Hakuna Rais asikogusa, na hakuna anayeweza kumvimbia Rais, wote ni kama wateule wa Rais, hayo mengine ni blah blah! Mbona mwendazake aliwanyima hela ya posho za kusafiri na aliwambia mkitaka kusafiri lazima muombe kibari ikulu na walifuata mkia.Hapo unakosea pia Mkuu, wakati wa mwendazake kelele zilipigwa sana kwamba anaingilia mihimili mingine, Mahakama na Bunge, Mama akiingilia ishu ya covid-19 hatokuwa tofauti na mwendazake, ila kwa hili mtamshangilia kwa sababu tu atakuwa amewafurahisha nyinyi. Nafikiri kila muhimili uachwe ufanye shughuli zake bila kuingiliwa. BTW hao CDM wamekosa njia kabisa za kisheria kuwatoa hao Covid-19? Kisingizio chao ni kuwa wamekata rufaa Baraza kuu, kwa nini hilo baraza kuu lisikae na kuwavua moja kwa moja uanachama? Utasema watakimbilia mahakamani, wakienda mahakamani ni vizuri zaidi maana katiba ya CDM inasema mwanachama yeyote akienda mahakamani kukishtaki chama na akishindwa kesi anakuwa kajifukuzisha uanachama.
Pius Msekwa alitoa maoni yake haikuwa Amri.Acha kupotosha sidhani kama unaijua katiba kuliko Msekwa ambaye aliwahi kushika nyadhifa mbali mbali Serikalini ikiwemo Spika wa Bunge. Yeye kahitimisha kwamba hao hawastahili kuwepo Bungeni.
Ishu hapa ni Mama kuingiza muscles zake bungeni, itakuwa ni yale yale ya mwendazake. Anaweza akafanya hili akanogewa na huko mbeleni akaanza kuingilia mambo ambayo hata wewe yakakukera. Mimi naona ni vyema ajiweke pembeni katika hili, Sidhani kama CDM na wanasheria wote walionao wanashindwa kudili na hii ishu (May be kuna jambo nyuma ya pazia hatulijui).Acha kupotosha sidhani kama unaijua katiba kuliko Msekwa ambaye aliwahi kushika nyadhifa mbali mbali Serikalini ikiwemo Spika wa Bunge. Yeye kahitimisha kwamba hao hawastahili kuwepo Bungeni.
Unataka Samia atawale kama alivyokuwa anatawala mwendazake?Hakuna Rais asikogusa, na hakuna anayeweza kumvimbia Rais, wote ni kama wateule wa Rais, hayo mengine ni blah blah! Mbona mwendazake aliwanyima hela ya posho za kusafiri na aliwambia mkitaka kusafiri lazima muombe kibari ikulu na walifuata mkia.
Ishu hapa ni Mama kuingiza muscles zake bungeni, itakuwa ni yale yale ya mwendazake. Anaweza akafanya hili akanogewa na huko mbeleni akaanza kuingilia mambo ambayo hata wewe yakakukera. Mimi naona ni vyema ajiweke pembeni katika hili, Sidhani kama CDM na wanasheria wote walionao wanashindwa kudili na hii ishu (May be kuna jambo nyuma ya pazia hatulijui).
Busara tu inatakiwa, lkn kwa kusema Rais maala flani hawezi kugusa hizo ni mbwembwe tu, kama ingekuwa hivyo ungekuwa unasikia viongozi kadhaa wamejiuzulu baada ya kukinzana na Rais, hiyo haitokei kwa sababu Rais ni kila kitu kwa nchi zetu za kiafrika.Unataka Samia atawale kama alivyokuwa anatawala mwendazake?
Siyo vijana wote ni wabaya, ila kosa kubwa alilolifanya mwendazake ni kuweka "qualification" kubwa katika uteuzi wake ni lazima uwe mbabe na usiyelazimika kuzitii sheria za nchi!
Pius Msekwa alitoa maoni yake haikuwa Amri.
Ukweli ni kwamba hilo swala RAIS si vema akaliingilia.
Nchi hii tuna mihimili mitatu ambayo inajitegemea na haitakiwi kuingiliwa na mhimili mwingine
1.Serikali- Mkuu wake ni RAIS
2.Bunge - Mkuu wake ni SPIKA
3. Mahakama - Mkuu wake ni JAJI MKUU
sasa unataka leo Mh:Rais atamke ili kukufurahisha ? Ukifurahia hayo basi haupaswi kulaumu mwendazake wakati anatoa maagizo kote kote.
Mkifurahia kuwa atamke hivyo pia ikitoa akatoa amri kwa Mahakama au bunge kuhusu mwenendo ambao hamuupendi napo itabidi mumuunge mkono
Ni uamuzi rahisi sanaaaaaa kwa Mkuu wa nchi kumfukuza kazi mtumishi yeyote yule, DC ni mtu mdogo mnoooooo
Mwendazake ali entertain tabia kama za akina Sabaya, ila Mkuu wa nchi akiamua mtu yeyote yuleTofautisha uamisho rahisi, Mamlaka na Utashi, Mbona Mwendazane hakumfukuza?
Hiyo katiba unayosema inatambua kuwa Dola ina mihimili mitatu inayojitegemea, Serikali (Kiongozi Rais), Bunge (Kiongozi Spika) na Mahakama (Inaongozwa na jaji mkuu), So alichoapa Samia ni pamoja na kuheshimu hiyo mihimili. Yeye mambo yanayomuhusu ni ya serikali, akiingilia hiyo mihimili anakuwa amevunja kiapo.HUELEWI hata chembe!!!! Kiapo alichokula Samia cha kuilinda na kuitetea Katiba ya Nchi kilimuwekea mipaka wapi anapotakiwa kuingia akiona katiba inapindishwa!? π³π³π³ Hebu tuwekee kipengele cha katiba ambacho kinamzuia Rais au kumuwekea mipaka ya kutoingilia pale katiba inapopindishwa.
Hapo sawa, anaweza kumwita Ndugai kiutu uzima pembeni akamwambia bwashee hapo unakosea, limalize hili kwa kufuata kanuni na sheria.Busara tu inatakiwa, lkn kwa kusema Rais maala flani hawezi kugusa hizo ni mbwembwe tu, kama ingekuwa hivyo ungekuwa unasikia viongozi kadhaa wamejiuzulu baada ya kukinzana na Rais, hiyo haitokei kwa sababu Rais ni kila kitu kwa nchi zetu za kiafrika.
zandranoInasikitisha lkn ndio kaamua Mkuu na Amiri Jeshi Mkuu.
Huenda yapo anayajua zaidi kuliko sisi, lkn kama ni malalamiko yaliyo jaa majungu na fitina basi kwakweli viongozi wazuri na wachapa kazi tutawapoteza.
95% Sabaya kafanya kasi zake kwa kuwatetea wananchi tena wanyonge, ameokoa walio onewa, walio dhulumiwa n.k n.k.
Hakika Mungu atamvusha ktk mtihani huu,
Vijana sisi ni wapumbavu mnoVijana wametuangusha sana kipindi hicho cha Mwendazake! Pia mafunzo ya uongozi yasikome kufanyika kwa vijana wetu. Bado wanahitaji kupikwa kweli kweli. La sivyo hatutakaa tupate viongozi kutoka kwa vijana.
Hiyo katiba unayosema inatambua kuwa Dola ina mihimili mitatu inayojitegemea, Serikali (Kiongozi Rais), Bunge (Kiongozi Spika) na Mahakama (Inaongozwa na jaji mkuu), So alichoapa Samia ni pamoja na kuheshimu hiyo mihimili. Yeye mambo yanayomuhusu ni ya serikali, akiingilia hiyo mihimili anakuwa amevunja kiapo.
This was a moment when the guy knew he was going to be fucked like a hoe. Ukiona mwanaume analia aisee ujue kuna jambo zito sana π