Kusini mwa Dar es Salaam ni uozo

Huko ni pwani siyo Dar
 
Yes kaka hapa nimebaki na watoto wife kasafiri..nimezurura na watoto kutafta sehemu tule.nimechoka hoi madogo wamelala kwa njaa.hapa nipo kijichi nafakamia chips.pumbavu
kuna mchomngo nausikilizia ukitiki nitakuja huko kufungua sehemu ya kuuza chakula cha watu wa hali ya kati nitaanda mazingira mazuri na usafi wa hali ya juu naamini watu kama wewe huko mko wengi hivyo sitakosa maokoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…