Kusini mwa Dar es Salaam ni uozo

Kusini mwa Dar es Salaam ni uozo

Wasalaam wadau..nimezunguka sana kusini mwa dar hasa mbagala na vitongoji vyake, vikindu mpaka kisemvule...kwa kweli Kuna watu wengine mno na maisha yanaenda mchakamchaka Ila kwenye masuala ya huduma mbalimbali wapo very poor.kifupi hakuna jambo lolote utakalofanya lenye kuhusisha mtu mwengine likaenda smart Hawa watu sijui ni tofauti na watu wa maeneo mengine??.
Nikijikita kwenye biashara ndio usiseme wapo zero kabisa Wana mazoea sana...hawathamini Ile thamaani ya wanachokifanya..huduma za chakula ni sifuri kabisa Yani mtu ukitaka Kuna chakula Cha tofauti na nyumbani kwako lazma ushike uelekeo wa kigamboni.huwezi PATA sehemu nzuri ukala ama uka chill na familia.huduma za usafiri wapo local sana hata bolt hamna.hata huduma za kifedha ni shida..nilikuwa bank ya crd** mjini nimehudimiwa vizuri tu Ila tawi lao LA kule ni laana tupu...nini kifanyike kuwabadilisha Hawa watu namba ya kufikiri????
Vikindu sio Dar
 
Biashara huku labda ya local staffs.tena wabaguzi kikuda.ukiwwka biashara ya kuelewwka labda mtoto umfanye zezeta
kuna jamaa alitoka chuga akaenda kufungua dula la jumla mbagala zakiem, alikaa miezi mitatau hajauza hata bidhaa za jumla ya laki tano, ilibidi afunge biashara, hakuwa na namna.
 
Maskini na umaskini ni laana mbaya sana..asa wale maskin wavaa kanzu sijui uko madrasa wanafundishwa uchafu...
Mkuu cha kukusaidia tafuta Hela Jenga sehem za watu maisha ya kati...kuish uswailini ni sawa na huko jehanamu tunapoambiwa tukifa na dhambi twapelekwa
 
Niliagiza ugali Dona na nyama pale Zakhem, cha ajabu nililetewa Sembe na mboga iliyopoa kabisa.

Kuuliza nikaambiwa dona limeisha. Nikauliza kuhusu mboga baridi nikajibiwa kwa ukali "kaka siyo lazima ule" nikajibu silipi basi nikaambiwa "weee utalipa"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wasalaam wadau..nimezunguka sana kusini mwa dar hasa mbagala na vitongoji vyake, vikindu mpaka kisemvule...kwa kweli Kuna watu wengine mno na maisha yanaenda mchakamchaka Ila kwenye masuala ya huduma mbalimbali wapo very poor.kifupi hakuna jambo lolote utakalofanya lenye kuhusisha mtu mwengine likaenda smart Hawa watu sijui ni tofauti na watu wa maeneo mengine??.
Nikijikita kwenye biashara ndio usiseme wapo zero kabisa Wana mazoea sana...hawathamini Ile thamaani ya wanachokifanya..huduma za chakula ni sifuri kabisa Yani mtu ukitaka Kuna chakula Cha tofauti na nyumbani kwako lazma ushike uelekeo wa kigamboni.huwezi PATA sehemu nzuri ukala ama uka chill na familia.huduma za usafiri wapo local sana hata bolt hamna.hata huduma za kifedha ni shida..nilikuwa bank ya crd** mjini nimehudimiwa vizuri tu Ila tawi lao LA kule ni laana tupu...nini kifanyike kuwabadilisha Hawa watu namba ya kufikiri????
Hapo uhame fasta tu, la sivyo soon utakuwa kama wao
 
Hii sio case ya watu namna ya kufikiri, bali ni case ya serikali na utengenezaji wa miundombinu bora ya makazi na huduma nyingine.

Wananchi hawana nguvu ya kubadilisha chochote sababu wao ni waongozwaji tu. Huo ni wajibu wa serikali sababu yenyewe ndio yenye power ya kuleta mabadiliko.

The fact that unawasingizia wananchi badala ya serikali ni kuexpose uwezo wako wa akili dhidi ya hao watu.

Marekani haipo pale sababu ya wananchi million 300 bali sababu ya viongozi na serikali ambao ni less than 0.5% ya population nzima.

Alafu mkuu, jifunze kuandika.
 
Hii sio case ya watu namna ya kufikiri, bali ni case ya serikali na utengenezaji wa miundombinu bora ya makazi na huduma nyingine.

Wananchi hawana nguvu ya kubadilisha chochote sababu wao ni waongozwaji tu. Huo ni wajibu wa serikali sababu yenyewe ndio yenye power ya kuleta mabadiliko.

The fact that unawasingizia wananchi badala ya serikali ni kuexpose uwezo wako wa akili dhidi ya hao watu.

Marekani haipo pale sababu ya wananchi million 300 bali sababu ya viongozi na serikali ambao ni less than 0.5% ya population nzima.

Alafu mkuu, jifunze kuandika.
Stupid
 
Maskini na umaskini ni laana mbaya sana..asa wale maskin wavaa kanzu sijui uko madrasa wanafundishwa uchafu...
Mkuu cha kukusaidia tafuta Hela Jenga sehem za watu maisha ya kati...kuish uswailini ni sawa na huko jehanamu tunapoambiwa tukifa na dhambi twapelekwa
Maeneo niliyopo sio uswahilini mm nimejenga kamegere..kuko vizuri tu Ila Mimi nimezungumzia huduma a sio mipango miji
 
We
Mkuu ulikuwa unatafuta kitu gani?
Kuhusu swala la huduma za kifedha hata ukianzia buguruni mpaka Ubungo Kuna benki moja au 2 kwa main road ya Mandela.

Kwa main road hiyo hiyo hakuna kiwanja kizuri Cha bia kwa main road. Sema upewe location maana vitu vizuri haviwi barabarani vinakuwa kwenye machimbo.

Kumalizia DSM inaishia kongowe ukikunja kwenda kigamboni.
Upande wa kushoto ni dsm upande wa kulia ni Pwani.
Ll said.mkuu suala la huduma ni msingi wa biashara na ustawi wa jamii na maeneo mengi kwa bongo hii ni hovyo..Ila huku kumezidi...
Kuna kipindi nilikuwa na mishemishe town za usiku.duuh nilipata tabu sana kwenye usafiri mpaka nikakumbuka kipindi nakaa ada estate...Yani huwezi kurequest bolt.ukirequest inaandika unknown...
 
Back
Top Bottom