Kusini mwa Dar es Salaam ni uozo

Yes kaka hapa nimebaki na watoto wife kasafiri..nimezurura na watoto kutafta sehemu tule.nimechoka hoi madogo wamelala kwa njaa.hapa nipo kijichi nafakamia chips.pumbavu
Kijichi unaishi sehem Gani? Mbona kijichi hata goba na kunduchi ni uswahilin kuliko kijichi?.
 
Haswaaaa ndio zao
 
Unataka kupanga au kununua? Miande Kuna nyumba za wazito Kule. Kuna wauza madini wengi sana Kule wana mahekalu. Ridhwani naye ana mjengo wake Kule... Usichukulie poa Kona zile mkuu
Nataka kununua kiwanja kijichi.hasa miande ,chekechea ,au neluka kwa jokete
 
Bila shaka ww cyo mwenyeji wa jiji hilo.
Inawezekana umehamia hv karibuni.
Kwa wakazi wa muda mrf hapo Dar wanaijua status ya Mbagala na watu wake
Mzee mm nimezaliwa na kukulia temeke sokota kipindi hicho sokota Kuna mikorosho na mabonde ya mpunga.kipindi uda na mabus ya m sleeping tupo mjini.we mwenzangu mjini lini
 
Bolt na uber mwisho mbagala, Vikindu ni Pwani na huduma ni mbovu sana.

Vikindu sehemu yao ya kujirusha ni Ikweta tu.

Kisemvuli ni bure kabisa, Mkurunga nako ni hovyo kabisa
 
Kuanzia mbagala mkuu kushuka mpaka maeneo hayo ni kichefchef tu
Mkuu ulikuwa unatafuta kitu gani?
Kuhusu swala la huduma za kifedha hata ukianzia buguruni mpaka Ubungo Kuna benki moja au 2 kwa main road ya Mandela.

Kwa main road hiyo hiyo hakuna kiwanja kizuri Cha bia kwa main road. Sema upewe location maana vitu vizuri haviwi barabarani vinakuwa kwenye machimbo.

Kumalizia DSM inaishia kongowe ukikunja kwenda kigamboni.
Upande wa kushoto ni dsm upande wa kulia ni Pwani.
 
Wazee wa viwanja mmewasili😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…