kinadharia ndiyo kiuhalisia siyo. Kujua unachofanya ndicho kinakupa confidence.
hiyo confidence labda bar tu na vyuoni si field.
Peformance hata la saba anaweza ku-perform, unaperform vipi kwenye swala la kitaaluma na huna shule. Unajua kwa nini mahospitalini baadhi ya wagonjwa huambiwa wakawaone madaktari bingwa, shule hapo ndo ina determine mkuu siyo hicho unachoita sijui utendaji, huna shule utabaki kufanya mazingaombwe tu.Mkuu, shule kubwa ni lazima ufanane na performance, laa sivyo huo ni ubatili mtupu.
Utajuaje mtu huyu ana elimu?Mtu
Yoyote mwenye elimu ni msomi, ila kigezo cha elimu hiyo aliyonayo/aliyoipata inaleta manufaa gani kwa kada yake au eneo lake la ubobezi, jamii inayomzunguka na nchi kwa ujumla hapo ndio huwa panazua mjadala
Siwezi kubisha lakini nilimsikia siku moja anahojiwa ni zamani kidogo kama siyo 2019 ni 2020 alisema ana bachelor sina hakika snMO ana masters ya business administration
Sidhani amewahi kusema ana bachelor, sijui bhanaHivi MO si ana masters kasoma US?
Upo sahihi sn wengi wanasoma ajili ya mishahara ipande na kusubiri uteuzi lakini yeye mwenyewe ukimuuliza alisoma kwa sababu zipi hajuiMtu
Yoyote mwenye elimu ni msomi, ila kigezo cha elimu hiyo aliyonayo/aliyoipata inaleta manufaa gani kwa kada yake au eneo lake la ubobezi, jamii inayomzunguka na nchi kwa ujumla hapo ndio huwa panazua mjadala
Hao madaktari wanaosahau viwembe ndani ya matumbo ya wagonjwa baada ya operation kuisha hao bila ni mabingwa?Peformance hata la saba anaweza ku-perform, unaperform vipi kwenye swala la kitaaluma na huna shule. Unajua kwa nini mahospitalini baadhi ya wagonjwa huambiwa wakawaone madaktari bingwa, shule hapo ndo ina determine mkuu siyo hicho unachoita sijui utendaji, huna shule utabaki kufanya mazingaombwe tu.
Kufanya operation ni shule inahusika haijalishi kuna makosa yamefanyika ya kusahau mkasi......mambo ya kibinadamu hayo.Hao madaktari wanaosahau viwembe ndani ya matumbo ya wagonjwa baada ya operation kuisha hao bila ni mabingwa?
Vp wale waliomfanyia mgonjwa operation ya kichwa badala ya mguu??
Mwenye degree na hana akili huyo sio bure anaugua akiliIlianza Akili ikaja elimu.
Mwenye Akili ndiye aliyeleta viwango vya digree
Unaweza ukawa na elimu lkn husiwe na Akili
Any way Haina haja ya kubishana.....siku ukipata bahati ya kuongeza elimu utaelewa.Confidence sio uhalisia, ni confidence tu ila uhalisia unabaki palepale kwamba huna lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala Haina Sababu ya kumention watu.....ila Kuna tofauti sana kati ya masters ya kupewa na ya kuitafuta.za kupeana ni za akina nani, zinapatikana wapi
Huu ushauri awapelekee sua kwanza.Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.
Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.
Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.
Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.
Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
nazijua mkuu. kuna vyuo na campasses tunazijua ni very low basi tuWala Haina Sababu ya kumention watu.....ila Kuna tofauti sana kati ya masters ya kupewa na ya kuitafuta.
Garage ya magari ya DART iliyojengwa Jangwani wakati panajulikana wakati wa mafuriko ni dhahama, pia ni mambo ya kibinadamu??Kufanya operation ni shule inahusika haijalishi kuna makosa yamefanyika ya kusahau mkasi......mambo ya kibinadamu hayo.
Basi ni fani na fani, fani yangu ya sheria, LL.B, wenye 1st Class hakuna kesi wanashinda, wenye pass, they are doing great!.🤣🤣Mkuu hapana
Mie nilitoka vyema sana
Nikaamua nilitumikie taifa huku uraiani
Kuna wale Wenye pass
Hata kwenye magroup ya wasap ukichangia hoja wanareact hatari
Unagundua ni inferiority complex
Unakaa kimya,kuepusha malumbano
Fani nyingi huwa hivyo, mm kuna watu nilisoma nao matokeo ya ni ya kawaida ila kwenye kuanalyze ishu ni balaa sana.Basi ni fani na fani, fani yangu ya sheria, LL.B, wenye 1st Class hakuna kesi wanashinda, wenye pass, they are doing great!.
P
😂 hii ngumu kumeza mkuuHuu ushauri awapelekee sua kwanza.
Wale jamaa kila siku hakuna hela,ikifika june unashangaa fungu linarudi hazina.
Kwani Msechu ana nini cha ziada?Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.
Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.
Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.
Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.
Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
Hahaaa, duh! Sikutegemea hii coment, mbavu sina. 😄Wenyewe mlisema sisi manesi na wakunga twenye uzoedu wa miaka zaidi ya 15 tuna vyeti feki na tulishazoea kazi zetu kiasi tunaweza kumzalisha mtu kwa miguu bila kutumia mikono huku tuko instagrammar hatufai acheni tuu vyeti vitumike msituumize zaidi tafadhari
Ila tukumbuke pia watu kama hawa ambao wana degree moja lakini uelewa wao na competence huwa ni mkubwa,Ni kweli hakupaswa kusema Ivo....anatuvunja moyo vijana tunaojiendeleza kielimu.Ukweli ni kuwa Kuna tofauti kubwa kati ya degree na masters, labda kama masters unayosoma unasomea vyuo ambavyo ni vya kawaida utabaki vile vile, ila Kuna value kubwa sana unaadd unaposoma masters.Ila kwa mtu mwenye position kubwa kama yake kusoma masters ni muhimu.