Na mimi naliona hili, shule kubwa inakupa confidence.....wewe na ka bachelor kako umekaa na mijamaa ina PhD lazima ujione panzi tu.Anaji console bure tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi naliona hili, shule kubwa inakupa confidence.....wewe na ka bachelor kako umekaa na mijamaa ina PhD lazima ujione panzi tu.Anaji console bure tu.
Ina maana Mchechu hana pesa ya kusomea masters ndio maana anajifariji? Hao wenye PhD ndio waliosema wameokotwa jalalani kwa sababu ya kupata shavu la teuzi?Na mimi naliona hili, shule kubwa inakupa confidence.....wewe na ka bachelor kako umekaa na mijamaa ina PhD lazima ujione panzi tu.
ni kweli kabisa. Kwa mfano hata wazungu wengi wanaokuja africa wanaendesha makampuni makubwa, wengi wao wana high school diploma na college diploma tu. hizo degree wala hawana.Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.
Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.
Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.
Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.
Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
Na mwenye phd akiwa na utendaji mbovu kama wa panzi?Na mimi naliona hili, shule kubwa inakupa confidence.....wewe na ka bachelor kako umekaa na mijamaa ina PhD lazima ujione panzi tu.
Mzee shule kubwa inakupa kujiamini kwani unakuwa na maarifa mengi zaidi.......hata la saba anaweza kuwa mtendaji.Na mwenye phd akiwa na utendaji mbovu kama wa panzi?
Nilitegemea aibane serkali itoe fungu zaidi kuimarisha ubora wa elimu na utafiti wenye tija kwenye vyuo. CSR ni hiyari. Anapendekeza wanafunzi wasaidie vyuo hii sidhani kama itakuwa rahisi maana hakuna kitakachowamotivate alumni wa kibongo kuchangia hivyo vyuo.Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.
Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.
Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.
Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.
Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
Mkuu, ni nani alishauri garage kuu ya DART iwe pale mtaa wa Jangwani ilhali panajulikana kama ni eneo korofi wakati wa mafuriko??ni kweli kabisa. Kwa mfano hata wazungu wengi wanaokuja africa wanaendesha makampuni makubwa, wengi wao wana high scholl diploma na college diploma tu. hizo degree wala hawana.
Ukitaka kujua kuwa kusoma sana si kuwa mtendaji mzuri, angalia mradi wa mabasi ya mwendo kasi. Huko ofisini kwao kumejaa watu wana phd na masters kibao, lakini check kinachotokea field, aibu tupu.
Mkuu, shule kubwa ni lazima ufanane na performance, laa sivyo huo ni ubatili mtupu.Mzee shule kubwa inakupa kujiamini kwani unakuwa na maarifa mengi zaidi.......hata la saba anaweza kuwa mtendaji.
kinadharia ndiyo kiuhalisia siyo. Kujua unachofanya ndicho kinakupa confidence.Mzee shule kubwa inakupa kujiamini kwani unakuwa na maarifa mengi zaidi.......hata la saba anaweza kuwa mtendaji.
Mkuu, ni nani alishauri garage kuu ya DART iwe pale mtaa wa Jangwani ilhali panajulikana kama ni eneo korofi wakati wa mafuriko??
Hii nchi ina mambo ya hovyo sana. Sehemu inajulikana kabisa kuwa ni ya mafuriko alafu mtu bado anaweka garage ya magari ya umma, seriously??wasomi. tusiosoma tulibaki tunawashangaa
Una uhakika au unabashiriNilitegemea watu kama nyie huwa hamkosekana kupinga kila jambo. Sasa mtu kama Nehemia anayekuzidi kila kitu aji console kwa maana hana fedha za kusomea masters? Hata kama sio UDSM anashindwa kwenda Ulaya?
Uhakika unao weweUna uhakika au unabashiri
Ndiyo hivyo tena,ameshakuwa DG.tena siyo sehemu moja.taasisi kubwa kubwa za serikali na private(bank)Scheme ya Serikali sidhan kama inaruhusu mtu kuwa MD,DG, CEO wa Sehemu flani hali ya kuwa hauna MASTERS.
Labda kama alipewa favor..
Ukiona mtu anataja elimu yake, ujue ana inferiority complex. Huyo kusema ana kadegrii kamoja anaji console. Hata huyu Ramon Sanchez naona hana shule ni wale wale. Shule ndiyo mpango mzima!Na mimi naliona hili, shule kubwa inakupa confidence.....wewe na ka bachelor kako umekaa na mijamaa ina PhD lazima ujione panzi tu.
Sasa kama yule professor wetu yale ndio majibu ya kumjibu kale katoto ka kidhungu kaliko kuwa kanamuuliza bila woga tujitathimini .......elimu yetu ni mti wa mabua kwa mbao ya mningaKuwa Afisa Mkuu tu wa taasisi (Principal Level) ni lazima uwe na MASTERS
Mimi nina certificate ya procurementUkiona mtu anataja elimu yake, ujue ana inferiority complex. Huyo kusema ana kadegrii kamoja anaji console. Hata huyu Ramon Sanchez naona hana shule ni wale wale. Shule ndiyo mpango mzima!
Ni kweli kabisa....unavyozidi kuongeza elimu confidence inaongezeka sana.Na mimi naliona hili, shule kubwa inakupa confidence.....wewe na ka bachelor kako umekaa na mijamaa ina PhD lazima ujione panzi tu.
Hivi yeye anafikiri ana performance nzuri? Bora angezungumzia msimamo kiitikadi ningemuelewa. Binafsi nafikiri ubabaishaji na ubinafsi ni tatizo kubwa. Majukumu aliyopewa ilibidi awe japo na shahada ya master degree. Tunaona hapa anavyotuchanganya kwa kutaka tuamini kila shirika au taasisi ya umma jukumu la kwanza ni kuingiza fedha.Katika Kikao cha Wenyeviti na watendaji wa taasisi za Umma kinachoendelea Jijini Arusha ambacho kinaongozwa na Msajili wa Hazina Ndg. Nehemia Mchechu, katika moja ya maongezi yake amekiri ana degree moja na hana mpango wa kuongeza nyingine kwa sasa.
Amezungumza hayo baada ya kuzungumzia suala la Vyuo Vikuu kutokuwa na fedha (kulia ukata) hasa vile vikongwe kama UDSM, IFM na Mzumbe wakati wana wanafunzi wengi waliowafundisha na wapo kwenye taasisi mbalimbali ambao wanaweza kusaidia kuidhinisha fedha zitakazowasaidia kwenye masuala yao kupitia CSR etc.
Akachagiza kuwa atafanya kikao na VCs ( makamu wakuu wa vyuo) ili kujadiliana kuhusu issue tofauti ila hana mpango wa kurudi darasani kuchukua degree nyingine wasije wakamkamata bure (kupata Supplementary n.k) hii moja aliyonayo inamtosha.
Ukiangalia kwa namna historia yake ya ufanyaji kazi na wasifu alionao sasa, unaona kabisa kuwa na ma-degree mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri au mwenye sifa ya kuongoza taasisi nyeti, unaweza ukawa na degree moja na bado ukaongoza taasisi nzito na nyeti na bado ukafanya vizuri, uwezo ukiongeza na uzoefu unatosha kabisa kufanya jambo.
Anyway ni hilo tu tuendelee kupambana na kulijenga Taifa letu.
Una uhakika na unachosema ....achana na masters za kupeana.Tunaongelea masters ya kukaa course work mwaka darasani na baada ya hapo unafanya disertation, unapresent proposal unakutana na pannel inakurudisha mara mbili au tatu kabla ya kuruhusiwa data collection. Unapoenda kupresent finding bado unarudishwa si chini ya mara mbili.Badala la kumalizia miaka miwili unafanya masters miaka mitatu.......huwezi kubaki vilevile ndugu.kinadharia ndiyo kiuhalisia siyo. Kujua unachofanya ndicho kinakupa confidence.
hiyo confidence labda bar tu na vyuoni si field.