Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Acha tuambizane ukweli kuhusu hali zilizopo ndani ya jamii zetu hata kama tusipopenda kusikia ukweli sawa tu.
Huu mtindo wa wazazi wa kitanzania kusomesha watoto kwenye shule zenye kuhitaji pesa nyingi na kuacha za kawaida huku hali ya maisha ikiwa haisomeki ni wa kishamba.
Mzazi anaye gharamia pesa nyingi kwa elimu ya mwanae hata kuuza mali zake au kujibana ili mwanae asome shule za ghali halafu baadae anaanza kulilia ajira za kitumwa mwanae apate hata kuhonga ni mtindo wa ajabu.
Ni bora hizo pesa uwekeze bank mwanao asome shule ya kawaida akimaliza unampatia akaanzishe maisha yake.
Au mnunulie asset yoyote mwanao wakati anasoma shule ya kawaida akimaliza itamsaidia huko maishani mwake.
Watoto wa masikini sana walio jipiga piga shule za kawaida kusoma mpaka kumaliza hao kidogo unaweza sema ndio wanapaswa kulalamika kukosa ajira sio yule ambaye mzazi kapoteza pesa zake kwenye elimu kwa ajili ya kuja kulilia ajira za kitumwa.
Wazazi wa sasa wekezeni pesa za watoto wenu bank na kwenye asset mbalimbali halafu peleka shule ya kawaida ili usije kulilia ajira za kitumwa kwa mshahara wa masikitiko.
Hii haiwahusu wale wenye connection za wakubwa huko serikalini maana wao hata wakipeleka watoto wao shule za gharama uhakika wa ajira upo.
Huu mtindo wa wazazi wa kitanzania kusomesha watoto kwenye shule zenye kuhitaji pesa nyingi na kuacha za kawaida huku hali ya maisha ikiwa haisomeki ni wa kishamba.
Mzazi anaye gharamia pesa nyingi kwa elimu ya mwanae hata kuuza mali zake au kujibana ili mwanae asome shule za ghali halafu baadae anaanza kulilia ajira za kitumwa mwanae apate hata kuhonga ni mtindo wa ajabu.
Ni bora hizo pesa uwekeze bank mwanao asome shule ya kawaida akimaliza unampatia akaanzishe maisha yake.
Au mnunulie asset yoyote mwanao wakati anasoma shule ya kawaida akimaliza itamsaidia huko maishani mwake.
Watoto wa masikini sana walio jipiga piga shule za kawaida kusoma mpaka kumaliza hao kidogo unaweza sema ndio wanapaswa kulalamika kukosa ajira sio yule ambaye mzazi kapoteza pesa zake kwenye elimu kwa ajili ya kuja kulilia ajira za kitumwa.
Wazazi wa sasa wekezeni pesa za watoto wenu bank na kwenye asset mbalimbali halafu peleka shule ya kawaida ili usije kulilia ajira za kitumwa kwa mshahara wa masikitiko.
Hii haiwahusu wale wenye connection za wakubwa huko serikalini maana wao hata wakipeleka watoto wao shule za gharama uhakika wa ajira upo.