Kusuasua kwa harakati za ukombozi nchini ni matokeo ya uongozi dhaifu

Kusuasua kwa harakati za ukombozi nchini ni matokeo ya uongozi dhaifu

Mada hii haimhusu mtu achilia mbali Msigwa bali kusua sua kwa ukombozi wetu.

Zingatia tuna Gen Z dhaifu ikisubiria katiba mpya mezani.

Inawezekana namna gani?

Kwa maana hiyo ninalazimika kuya paste haya hapa kwako pia:

1. Mada umeielewa lakini au na wewe ni kama huyo ndugu mwenye kuwahi mtaa wa Congo?

2. Mada hii haimhusu Msigwa hata kidogo japo hata kama ungependa kumwongelea huyo, kwamba labda alidhani kutakuwa na mabadiliko basi na anyamaze sasa Kwa vile tu hakuwa amesema?

3. Kwamba hapo #3 kwanini huoni kama ndivyo Bado huna lolote la kuwaambia chadema Wala mheshimiwa Mbowe au awaye yote?!
Haimhusu Msigwa na umeambatanisha video inayomuongelea na maandishi yako yameshabihiana na video hiyo.

Huo undumilakuwili ndio tatizo...

Gen Z ni nini au unaiga iga tu wakenya??
 
Haimhusu Msigwa na umeambatanisha video inayomuongelea na maandishi yako yameshabihiana na video hiyo.

Huo undumilakuwili ndio tatizo...

Gen Z ni nini au unaiga iga tu wakenya??

Kwa hiyo wewe usiyekuwa mwandishi umeona mada inamhusu Msigwa?

Kwa hiyo sasa ndiyo imeenda hiyo?

Hiyo si ndiyo "definition ya kitabuni" ya wenda kuzimu ndugu?

"Wonders shall never cease."

Alisikika mwuungwana mmoja akijisemea.
 
Kugeuzana vikaragosi hizo ni hisia binafsi ambazo kila mtu anaweza akatofautiana nawe.

Raila ni mfano mzuri sana kutulia na kuweka kituo nao, ikizingatiwa kuwa:

1. Huyu ni mwana EA mwenzetu ambako hata wanaoongea kiswahili:

Nyimbo za Tanzania zatumika kuhamasisha maandamano Kenya

2. Huyu ni katika mazingira kamili kama yetu kutokea kwenye kadhia ya chama kimoja, katiba mbaya, upinzani, maridhiano, kupata katiba mpya Hadi nchi mikononi mwa wananchi.

3. Huyu aliingia chama tawala kwenda kuwavunjilia mbali huko huko. Labda Msigwa naye ni mwanzo mzuri huo wakupiga makombora ya mbali Raila style?

4. Labda Msigwa ni mjumbe mamluki huko alikokwenda?

5. Hata kama Msigwa CCM, labda si agenda ya chadema, basi yawezekana sasa tuna la kukumbuka kwa Raila kupeleka umamluki ikibidi ikibidi?

6. Nani asiyejua CCM haitatoka kijinga wala kutolewa na wajinga.

7. Kumbe uko wapi mkakati wa kuwatoa CCM lini madarakani?

8. Katiba mpya haitapatikana mezani, kwani hata Raila hakuipata hivyo na mapambano yanaendelea:

Ukombozi kupitia masikilizano na CCM ni kupoteza muda



1. Kwanini ungependa kuikimbia mifano iliyoko kwenye mazingira yetu?

2. Au labda ungeweja mfano upi ambao ungedhani kuuzidi huu wa Raila na Kenya?

3. Au kwa nini ungependa usilaumiwe udhaifu wa viongozi wetu kwa kusua sua kwa ukombozi kwetu?

4. Au hata labda una lolote la kuwakosoa viongozi ving'ang'anizi hawa popote ikizingatiwa inafahamika si ajabu kwetu kuwapo na chawa wa kulipwa?

Tuzitambue tofauti za vyama vya upinzani (ACT, CHADEMA, CUF, nk) na Wanaharakati

5. Au wewe unaona Hawa ndugu halipo la kuwakosoa Kwa sabaini mithili ya malaika kutoka mbinguni?

..Raila alikwenda KANU na chama hicho kikabadilika.

..hakwenda huko halafu akageuzwa kikaragosi kwa kuyakana mambo yote aliyoyasimamia mpaka akawa maarufu.

..hawa wa kwetu wakienda Ccm baadhi wanakuwa kimya kabisa, wengine wanakuwa watu wa hovyo kuliko wana-Ccm wenyewe.
 
Kwa hiyo wewe usiyekuwa mwandishi umeona mada inamhusu Msigwa?

Kwa hiyo sasa ndiyo imeenda hiyo?

Hiyo si ndiyo "definition ya kitabuni" ya wenda kuzimu ndugu?

"Wonders shall never cease."

Alisikika mwuungwana mmoja akijisemea.
Endelea kujitekenya huku unacheka kijana.
"Msigwa" ni mfano wa watu wenye tabia hizo, ndio maana ametumika kwenye comments za wadau wengi.

Gen Z ni marekani sio Africa, jifunze.
 
Kwamba hawa nao tumawapa majukwaa ya kisiasa na kuwashangilia?


Kwamba tuna hata wenye kujidhania kuwa ni wenye hoja kuliko hata wenye CV zao zinazojulikana kimataifa?
Kwamba tumefikia hatua ya kuwaacha hata wapuuzi kuwanyanyapaa wenye akili zao?

Na Bado tupo tupo tunakenua? Ama kwa hakika haya ni matokeo ya wazi ya ombwe litokanalo na uongozi ulio dhaifu. Watu aina hizi walipaswa kukemewa pasipo na kuwaonea haya.

Udhaifu, iliwaudhi mno aina za kina Yobo. Tusipende mno kusifiwa hata tusipostahili. Udhaifu si tusi, bali dhana sahihi ya ukosoaji yenye lengo zaidi la kujenga.

Kwanini wanakofanikiwa kwenye harakati zao, huko viongozi wao huhama vyama na hata wakabadili washirika bila ya unyanyapaa wa kipuuzi kama wa huku kwetu?

Laila alijiunga na KANU, akawa na Ruto, Kibaki, Kenyatta, Mudavadi, Wetangula, Musyoka, nk na matokeo yake huko mwenye nchi mwabanchi? Ila sisi tumeshindwa kuelewa kutokuwa na maadui wa kudumu kuna faida kubwa kwa nchi zaidi ya faida binafsi.

Kwetu walikuja kina Lowassa(r.i.p), Sumaye, Ngombale(r.i.p) nk ambayo ilikuwa ni hatua njema mno. Tulipiga hatua mbele kiasi gani kipindi hicho? Ni mamburula peke yao wenye kuthubutu kuyabeza mafanikio ya kipindi hicho.

Kwanini iwe dhambi kwa Mbowe, Lissu au Msigwa au awaye yote kuhamia CCM wakati wowote? Au kwa Nape, Januari, Mpina au awaye yote kuhamia CHADEMA au ACT Wazalendo? Hatuwezi kuyaweka maslahi ya nchi yetu mbele?

Utayasikia mamburula mburula, "hatumtaki huyo!" Kwani wewe ni nani ndugu? Au hata kwa CV yako ipi basi yenye kuweza kutushawishi hivyo na wengine basi?

Kwamba kama vipi mkaanzishe chenu au mhame chama? Looh! Kwanini hayo yasiwahusu ninyi?

Shughuli ni watu. Hii nchi haiwezi kukombolewa ndani ya wimbi la ujinga ndugu zangu.

Habari ndiyo hiyo.
Tatizo wewe huwa unajiona una akili kuzidi wengine, kumbe fyongo tu. Hiki ni nini hata Dudu baya anakushinda katika kujenga hoja
 
Endelea kujitekenya huku unacheka kijana.

Kwanini mjitekenya mcheka usiwe wewe?

"Msigwa" ni mfano wa watu wenye tabia hizo, ndio maana ametumika kwenye comments za wadau wengi.

Kwanini isiwe kuwa huyo unayemdhania ndiye asiwe siye?

Gen Z ni marekani sio Africa, jifunze.

Bila kusahau post #2 inakuhusu sana:

Kwamba una IQ ndogo sana kijana; kwanini hilo liwe tatizo langu?

"Komaa kamanda, kunja ngumi zungusha."

Inasemekana kuwa kauli pendwa ya sultan mmoja anayemiliki chawa wa kulipwa wa aina yako.
 
Tatizo wewe huwa unajiona una akili kuzidi wengine, kumbe fyongo tu. Hiki ni nini hata Dudu baya anakushinda katika kujenga hoja

Hayo ni maoni yako ndugu.

Usichojua ni kuwa wengine nasi hukuona unajiona una akili kuzidi wengine kumbe fyongo.

Kwa hakika wewe na huyo ulimtaja ngoma droo kwa maana hamna kitu.

Bila kusahau post #2 inakuhusu sana chawa wa head kama wewe.

Bure kabisa!
 
..Raila alikwenda KANU na chama hicho kikabadilika.

Raila hakwenda kubadilisha KANU Bali kuiangusha na ilipo inabidi kubadilika.

..hakwenda huko halafu akageuzwa kikaragosi kwa kuyakana mambo yote aliyoyasimamia mpaka akawa maarufu.

Yawezekana unaowaona vikaragosi ni maoni yako na wengine wanaona tofauti. Kulikoni kujihesabia haki hivyo?

Aliyoyaongea kama ni kweli hudhani ni kero zenye kuhitaji kufanyiwa Kazi?

Tubakie kwenye state of denial hadi lini?

..hawa wa kwetu wakienda Ccm baadhi wanakuwa kimya kabisa, wengine wanakuwa watu wa hovyo kuliko wana-Ccm wenyewe.

Inaweza kuwa hawa si wetu au labda wanatuona hatuko tayari Kwa mabadiliko kwa kuumbatia uozo huu tunaoambiwa miaka nenda rudi bila kuchukua hatua zozote.

Vipi kudai demokrasia bila demokrasia?

Nimekuuliza maswali kadhaa bila ya majibu kwenye moja. Kulikoni ndugu?
 
Kila mtu ana haki ya kusema anachoamini kama unavyoweza kuungana na huyo mwamba kwenye mada ukasafiri naye hadi Congo kama amekuvutia.



Totally IRRATIONAL to you is not necessarily to everybody.

Ustaarabu: Tusipangiane; kila mtu anawajibika na mechi zake.



I hope you buy this: Lissu anayo capacity ya ku appreciate na ku implement agenda ya masafa marefu yenye uwezo wa kuiangusha CCM, Raila style na ndiyo maana huko kuna vibrant Gen Z.

Zingatia:

CCM haitatolewa madarakani kijinga, above all na wajinga!
Ile kufikiri tu kuwa CCM inatakiwa kutolewa madarakani nao ni ujinga mkubwa. You have no clue of the real issues.

Hakuna anayekupangia cha kuandika ila ukiandika uongo na unafiki tutakujibu tukiwa na muda.
 
Ile kufikiri tu kuwa CCM inatakiwa kutolewa madarakani nao ni ujinga mkubwa. You have no clue of the real issues.

Ile kufikiri tu kuwa unachodhani wewe kuwa ndicho basi ndiyo hicho na kuwa ni final and terminate, ni ujinga uliopitiliza.

Kwani who are you ndugu?
Hakuna anayekupangia cha kuandika ila ukiandika uongo na unafiki tutakujibu tukiwa na muda.

Kama unajua tunao uhuru wa kuandika unadhani hilo ni habari kwa nani kumbe?

Ama hakika mtu empty headed kama wewe you merit no response.

Bure kabisa!
 
Ile kufikiri tu kuwa unachodhani wewe kuwa ndicho basi ndiyo hicho na kuwa ni final and terminate, ni ujinga uliopitiliza.

Kwani who are you ndugu?


Kama unajua tunao uhuru wa kuandika unadhani hilo ni habari kwa nani kumbe?

Ama hakika mtu empty headed kama wewe you merit no response.

Bure kabisa!
Wewe ni mnafiki na muongo. Una chuki na baadhi ya viongozi wa upinzani. Unaandika maneno marefu ya kuzunguka zunguka kujifanya una hoja ya maana ukitarajia wataondoshwa kirahisi kupitia maneno tu.

Speak directly. Kufurahia kwa kificho kauli za wanasiasa uchwara kama Msigwa na Mollel hakuna tija. Weka msimamo wako wazi ueleweke. Wako watu watakuunga mkono na pengine hata kuchukua hatua. Come outta closet!
 
Hayo ni maoni yako ndugu.

Usichojua ni kuwa wengine nasi hukuona unajiona una akili kuzidi wengine kumbe fyongo.

Kwa hakika wewe na huyo ulimtaja ngoma droo kwa maana hamna kitu.

Bila kusahau post #2 inakuhusu sana chawa wa head kama wewe.

Bure kabisa!
Bure kabisa
 
Wewe ni mnafiki na muongo. Una chuki na baadhi ya viongozi wa upinzani. Unaandika maneno marefu ya kuzunguka zunguka kujifanya una hoja ya maana ukitarajia wataondoshwa kirahisi kupitia maneno tu.

Speak directly. Kufurahia kwa kificho kauli za wanasiasa uchwara kama Msigwa na Mollel hakuna tija. Weka msimamo wako wazi ueleweke. Wako watu watakuunga mkono na pengine hata kuchukua hatua. Come outta closet!
brazaj ni wa ovyo tu
 
Wewe ni mnafiki na muongo. Una chuki na baadhi ya viongozi wa upinzani. Unaandika maneno marefu ya kuzunguka zunguka kujifanya una hoja ya maana ukitarajia wataondoshwa kirahisi kupitia maneno tu.

Speak directly. Kufurahia kwa kificho kauli za wanasiasa uchwara kama Msigwa na Mollel hakuna tija. Weka msimamo wako wazi ueleweke. Wako watu watakuunga mkono na pengine hata kuchukua hatua. Come outta closet!

Post #2 ilikuwa mahsusi kwa watu kama wewe ndugu.

Ninakazia:

You merit no response.

Habari ndiyo hiyo ndugu mwenye ku masquerade kama mwana CCM uchwara when it deems you fit.
 
..hii dhana ya " uadui wa kudumu..." ktk siasa nayo inatumika holela-holela.

..dhana hiyo huko tulikoitoa maana yake ni kwamba wanasiasa wa itikadi tofauti wanaweza kufanya kazi pamoja ktk baadhi ya mambo wanayokubaliana.

..kwa hapa Tanzania maana yake ni mwanasiasa kujikana, na kuwaacha kwenye mataa, wananchi waliokuwa naye toka mchanga mpaka anakuwa maarufu.
Adui kwenye siasa ni yule anayetenda uovu dhidi ya wananchi (taifa), adui wa haki.
Kuwa vyama tofauti, mkitafuta uongozi wa serikali kwa kuwatetea wananchi (taifa) na haki siyo uadui na hivyo halali kabisa kuungana.
 
Kweli ni kweli na haki ni haki, haiangaliwi imetoka au imesemwa na nani. Vyote vina asili kwa Mungu.
Utawatambua kwa maneno na matendo yao.

Hapo ndipo tulipokwama na ndiyo maana ukombozi utaendelea hadi tuwafurushe wasaka fursa kwenye harakati:

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

Ndiyo maana hata haki za wapalestina hawawezi kuzisemea.

Hawajui maana ya haki wala sababu za kuzidai au hata kuwaunga mkono waluo wahanga.

Kwao kina Mandela na kina Che ni wapumbavu.

Ukombozi gani na viongozi au wafuasi mzigo hao wenye allergy towards haki?
 
Post #2 ilikuwa mahsusi kwa watu kama wewe ndugu.

Ninakazia:

You merit no response.

Habari ndiyo hiyo ndugu mwenye ku masquerade kama mwana CCM uchwara when it deems you fit.
Be smart. Sina huo ujinga wa kuwa (sio hata kujifanya) mwanaCCM. Wala usipoteze muda kunifikiria kwenye chama chochote cha siasa. I’m way above that cesspit. Just focus on your mission however desperate and miserable it is.

Ukitumia akili vizuri unaweza kufanikisha malengo yako badala ya kuhangaika kushikilia kila takataka inayopita karibu yako.
 
Be smart. Sina huo ujinga wa kuwa (sio hata kujifanya) mwanaCCM. Wala usipoteze muda kunifikiria kwenye chama chochote cha siasa. I’m way above that cesspit. Just focus on your mission however desperate and miserable it is.

Ukitumia akili vizuri unaweza kufanikisha malengo yako badala ya kuhangaika kushikilia kila takataka inayopita karibu yako.

Mjinga ni wewe na tulishakubaliana kujibu wajinga ni matumizi mabaya ya muda.

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Back
Top Bottom