Kusuasua kwa harakati za ukombozi nchini ni matokeo ya uongozi dhaifu

Haimhusu Msigwa na umeambatanisha video inayomuongelea na maandishi yako yameshabihiana na video hiyo.

Huo undumilakuwili ndio tatizo...

Gen Z ni nini au unaiga iga tu wakenya??
 
Haimhusu Msigwa na umeambatanisha video inayomuongelea na maandishi yako yameshabihiana na video hiyo.

Huo undumilakuwili ndio tatizo...

Gen Z ni nini au unaiga iga tu wakenya??

Kwa hiyo wewe usiyekuwa mwandishi umeona mada inamhusu Msigwa?

Kwa hiyo sasa ndiyo imeenda hiyo?

Hiyo si ndiyo "definition ya kitabuni" ya wenda kuzimu ndugu?

"Wonders shall never cease."

Alisikika mwuungwana mmoja akijisemea.
 

..Raila alikwenda KANU na chama hicho kikabadilika.

..hakwenda huko halafu akageuzwa kikaragosi kwa kuyakana mambo yote aliyoyasimamia mpaka akawa maarufu.

..hawa wa kwetu wakienda Ccm baadhi wanakuwa kimya kabisa, wengine wanakuwa watu wa hovyo kuliko wana-Ccm wenyewe.
 
Kwa hiyo wewe usiyekuwa mwandishi umeona mada inamhusu Msigwa?

Kwa hiyo sasa ndiyo imeenda hiyo?

Hiyo si ndiyo "definition ya kitabuni" ya wenda kuzimu ndugu?

"Wonders shall never cease."

Alisikika mwuungwana mmoja akijisemea.
Endelea kujitekenya huku unacheka kijana.
"Msigwa" ni mfano wa watu wenye tabia hizo, ndio maana ametumika kwenye comments za wadau wengi.

Gen Z ni marekani sio Africa, jifunze.
 
Tatizo wewe huwa unajiona una akili kuzidi wengine, kumbe fyongo tu. Hiki ni nini hata Dudu baya anakushinda katika kujenga hoja
 
Endelea kujitekenya huku unacheka kijana.

Kwanini mjitekenya mcheka usiwe wewe?

"Msigwa" ni mfano wa watu wenye tabia hizo, ndio maana ametumika kwenye comments za wadau wengi.

Kwanini isiwe kuwa huyo unayemdhania ndiye asiwe siye?

Gen Z ni marekani sio Africa, jifunze.

Bila kusahau post #2 inakuhusu sana:

Kwamba una IQ ndogo sana kijana; kwanini hilo liwe tatizo langu?

"Komaa kamanda, kunja ngumi zungusha."

Inasemekana kuwa kauli pendwa ya sultan mmoja anayemiliki chawa wa kulipwa wa aina yako.
 
Tatizo wewe huwa unajiona una akili kuzidi wengine, kumbe fyongo tu. Hiki ni nini hata Dudu baya anakushinda katika kujenga hoja

Hayo ni maoni yako ndugu.

Usichojua ni kuwa wengine nasi hukuona unajiona una akili kuzidi wengine kumbe fyongo.

Kwa hakika wewe na huyo ulimtaja ngoma droo kwa maana hamna kitu.

Bila kusahau post #2 inakuhusu sana chawa wa head kama wewe.

Bure kabisa!
 
..Raila alikwenda KANU na chama hicho kikabadilika.

Raila hakwenda kubadilisha KANU Bali kuiangusha na ilipo inabidi kubadilika.

..hakwenda huko halafu akageuzwa kikaragosi kwa kuyakana mambo yote aliyoyasimamia mpaka akawa maarufu.

Yawezekana unaowaona vikaragosi ni maoni yako na wengine wanaona tofauti. Kulikoni kujihesabia haki hivyo?

Aliyoyaongea kama ni kweli hudhani ni kero zenye kuhitaji kufanyiwa Kazi?

Tubakie kwenye state of denial hadi lini?

..hawa wa kwetu wakienda Ccm baadhi wanakuwa kimya kabisa, wengine wanakuwa watu wa hovyo kuliko wana-Ccm wenyewe.

Inaweza kuwa hawa si wetu au labda wanatuona hatuko tayari Kwa mabadiliko kwa kuumbatia uozo huu tunaoambiwa miaka nenda rudi bila kuchukua hatua zozote.

Vipi kudai demokrasia bila demokrasia?

Nimekuuliza maswali kadhaa bila ya majibu kwenye moja. Kulikoni ndugu?
 
Ile kufikiri tu kuwa CCM inatakiwa kutolewa madarakani nao ni ujinga mkubwa. You have no clue of the real issues.

Hakuna anayekupangia cha kuandika ila ukiandika uongo na unafiki tutakujibu tukiwa na muda.
 
Ile kufikiri tu kuwa CCM inatakiwa kutolewa madarakani nao ni ujinga mkubwa. You have no clue of the real issues.

Ile kufikiri tu kuwa unachodhani wewe kuwa ndicho basi ndiyo hicho na kuwa ni final and terminate, ni ujinga uliopitiliza.

Kwani who are you ndugu?
Hakuna anayekupangia cha kuandika ila ukiandika uongo na unafiki tutakujibu tukiwa na muda.

Kama unajua tunao uhuru wa kuandika unadhani hilo ni habari kwa nani kumbe?

Ama hakika mtu empty headed kama wewe you merit no response.

Bure kabisa!
 
Wewe ni mnafiki na muongo. Una chuki na baadhi ya viongozi wa upinzani. Unaandika maneno marefu ya kuzunguka zunguka kujifanya una hoja ya maana ukitarajia wataondoshwa kirahisi kupitia maneno tu.

Speak directly. Kufurahia kwa kificho kauli za wanasiasa uchwara kama Msigwa na Mollel hakuna tija. Weka msimamo wako wazi ueleweke. Wako watu watakuunga mkono na pengine hata kuchukua hatua. Come outta closet!
 
Bure kabisa
 
brazaj ni wa ovyo tu
 

Post #2 ilikuwa mahsusi kwa watu kama wewe ndugu.

Ninakazia:

You merit no response.

Habari ndiyo hiyo ndugu mwenye ku masquerade kama mwana CCM uchwara when it deems you fit.
 
Adui kwenye siasa ni yule anayetenda uovu dhidi ya wananchi (taifa), adui wa haki.
Kuwa vyama tofauti, mkitafuta uongozi wa serikali kwa kuwatetea wananchi (taifa) na haki siyo uadui na hivyo halali kabisa kuungana.
 
Kweli ni kweli na haki ni haki, haiangaliwi imetoka au imesemwa na nani. Vyote vina asili kwa Mungu.
Utawatambua kwa maneno na matendo yao.

Hapo ndipo tulipokwama na ndiyo maana ukombozi utaendelea hadi tuwafurushe wasaka fursa kwenye harakati:

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

Ndiyo maana hata haki za wapalestina hawawezi kuzisemea.

Hawajui maana ya haki wala sababu za kuzidai au hata kuwaunga mkono waluo wahanga.

Kwao kina Mandela na kina Che ni wapumbavu.

Ukombozi gani na viongozi au wafuasi mzigo hao wenye allergy towards haki?
 
Post #2 ilikuwa mahsusi kwa watu kama wewe ndugu.

Ninakazia:

You merit no response.

Habari ndiyo hiyo ndugu mwenye ku masquerade kama mwana CCM uchwara when it deems you fit.
Be smart. Sina huo ujinga wa kuwa (sio hata kujifanya) mwanaCCM. Wala usipoteze muda kunifikiria kwenye chama chochote cha siasa. I’m way above that cesspit. Just focus on your mission however desperate and miserable it is.

Ukitumia akili vizuri unaweza kufanikisha malengo yako badala ya kuhangaika kushikilia kila takataka inayopita karibu yako.
 

Mjinga ni wewe na tulishakubaliana kujibu wajinga ni matumizi mabaya ya muda.

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…