Kusuasua kwa harakati za ukombozi nchini ni matokeo ya uongozi dhaifu

Unaipima IQ jf, post hapa matokeo yako ya IQ test uliyofanya..

Anyway watu wa majigambo namna yako hamfai kuanzisha nyuzi za mijadala ambayo itatoa mawazo tofauti na jinsi ninyi mnavyofikiri.
 
Unaipima IQ jf, post hapa matokeo yako ya IQ test uliyofanya..

Anyway watu wa majigambo namna yako hamfai kuanzisha nyuzi za mijadala ambayo itatoa mawazo tofauti na jinsi ninyi mnavyofikiri.

Yako posted post #2 kwa ajili yako.

Pole lakini ila habari ndiyo hiyo.
 
Ni aina ya watu wanaojizungusha na mara nyingi huwa hawana hoja inayoeleweka, anarukaruka ili akibanwa apate loophole ya kutokea kua mm sizungumzii hayo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…