Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu taratibu ndugu yangu, single mothers nao Wana heshima na utu wao.Huyu mtoto lazima awe wa single mother. We fanya tafiti uone
Kama vile ndoa unazo zipiga vita. Zinaheshima zake.Mkuu taratibu ndugu yangu, single mothers nao Wana heshima na utu wao.
Maadili haya jali wewe ni mtoto wa pastor au shekhe.
Mimi sija piga vita kuto kuoa, napiga vita ndoa zisizo na haki au kuwa na uthabiti.Kama vile ndoa unazo zipiga vita. Zinaheshima zake.
Anymore?
Aiseeeee tumsagie kunguni huyu aliyefanya hivi. Please Waziri @Dr Gwajima fanyia kazi hii.Tusitafute views kwa kuwahusisha watoto na vitendo na maneno ambayo hayazingatii Parental Guidance.
Huyu mtoto anaongea matusi makubwa sana ambayo ni kwa watu wazima tu ndiyo wanapaswa kuyatamka.
View attachment 3254752
Mimi sijapinga singomazaMimi sija piga vita kuto kuoa, napiga vita ndoa zisizo na haki au kuwa na uthabiti.
Ndoa ni muunganiko, single mother ni mtu.
Hapana anaweza kuwa wa baba mlevi au TejaHuyu mtoto lazima awe wa single mother. We fanya tafiti uone
Huyo aliyehisika na hili achukuliwe hatua kaliTusitafute views kwa kuwahusisha watoto na vitendo na maneno ambayo hayazingatii Parental Guidance.
Huyu mtoto anaongea matusi makubwa sana ambayo ni kwa watu wazima tu ndiyo wanapaswa kuyatamka.
View attachment 3254752
Na huyo mama atakuwa ni mwanakabudi (mcheza singeri)Huyu mtoto lazima awe wa single mother. We fanya tafiti uone
Kwa Mchakamchaka Wa Ukuaji Wa Teknolojia Wa Kasi Hilo Linakuja Kuwa Kama Unavyotizama Taarifa Ya Habari,,Tena Kwa Nchi Zetu Hizi Vilaza Kibao Tutashuhudia Mengi Zaidi Ya Haya Tunayoendelea KuyashuhudiaSheria isipowekwa nakwambia ipo siku utakuta video za pornography ndo zinapostiwa tuuu ....
Naomba sheria ichukue mkondo wakeTusitafute views kwa kuwahusisha watoto na vitendo na maneno ambayo hayazingatii Parental Guidance.
Huyu mtoto anaongea matusi makubwa sana ambayo ni kwa watu wazima tu ndiyo wanapaswa kuyatamka.
View attachment 3254752
Mambo ya uswazi huko ccm ndiko imeota mizizi. Wananchi si inaona akili zao?Tusitafute views kwa kuwahusisha watoto na vitendo na maneno ambayo hayazingatii Parental Guidance.
Huyu mtoto anaongea matusi makubwa sana ambayo ni kwa watu wazima tu ndiyo wanapaswa kuyatamka.
View attachment 3254752