Kutakuwa na tatizo katika usahihishaji wa mtihani wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislam Kidato cha Nne

Kutakuwa na tatizo katika usahihishaji wa mtihani wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislam Kidato cha Nne

Ungekuwa unajua namna mitihani inavyotungwa na kusahihishwa usingeleta hii mada yako hapa.
Nikwambie tu kama mtihani una maswali 10, basi utapitiwa na watu wasiopungua 14.
Walimu 10 wanaofundisha hilo somo watasahihisha kila mtu swali lake kwa Chain. Karàtasi ikitoka hapo inapita kwa Checker anakagua kama maswali yote yamepitiwa na alama alizopewa in sahihi. Karatasi inapita kwa mtu wa kutotal alama. Baada ya hapo inaenda computer kujazwa. Baada ya kutoka computer kuna watu tena wanahakiki kama alama za computer ni sawa na zilizo kwenye karatasi. Mchakato n mrefu mno kuonewa sio rahisi kama unavyodhani
Kuna marks na grading
Unaweza pata marks 90 ila ukawekewa grade D
 
Kwani uwa inasahishwa na nani mkuu?
Mleta hoja hakujiridhisha na taarifa kabla ya kuleta hoja yake hapa, na pengine hafahamu hiyo mitihani huwa inasahihishwa na kina nani!

Na hili limekuwa tatizo kwa watu wengi wakidhani mitihani ya dini kama bible au Islamic husahihishwa na waalimu wa masomo ya kawaida, kumbe sivyo
 
Mtoa mada usijali.

NECTA huw wanatoa vitabu vinavyoelezea jinsi mwanafunzi alitakiwa kujibu maswali ya mtihani husika.
Na pia huelezea maswali yaliyoleta utata kwa watahiniwa.
Ni ripoti nzuri sana.

Walimu wetu wangekuwa wanafatilia zile ripoti/vitabu vya NECTA watoto wangeimarika sana kwenye kujua namna bora ya kujibu maswali ya mitihani ya Taifa
 
The end determines the beginning..wewe ulikua kilaza tu..kule kwingine ulibahatisha..necta ulikua pekeako ukakosa wa kuegelezea ndio mana ulifeli.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri ni kwamba sikufeli pekeyangu....aliefaulu kwa alama kubwa alipata "C".
Na huyo alikuwa anafundisha elimu ya dini pia.

Sijawahi kuwa kilaza...na sitakuwa kilaza.

'The end determine the beginning...', Ni msemo wenye mashaka.

Aliyepata "A" mwisho haina maana kuwa alipata "A" mwanzo.

Kuna aliyepata "A" mwanzo but mwisho akapata "D".

Kuna sababu ya yote hayo kutokea...

Usahihishaji Mbovu au Buddhist walikuwa kazini siku hiyo.
 
Mi naona hayo masomo ya dini serikali iyafute kabisa maana yamekuwa chanzo cha migogoro ya mara kwa mara baina ya Serikali na wanafunzi wa dini hizo. Wanaotaka kusoma dini wakasome kwa utaratibu wao.
 
Waalimu wa dini wengi tu hata ukienda private schools huwa sio walimu kitaaluma. Mtu kasoma mpaka wapi hata hana profession ya ualimu anakuja analipwa hela kidogo yeye akiwa na akili ya kujitolea na wakati huo kukubali kwa kuwa hana kazi. Huyo ndio anasahihisha wanafunzi wake na kuwapa alama za juu wakienda NECTA wanakosea. Unahisi ukimchukua Padre asiyejua kufuata syllabus akakufundisha Bible Knowledge utapata hata C?

Kuhusu shule za Kiislamu zenyewe hapo ndio nashangaa pia nazo zinakosa kufaulisha hili somo. Waseme shida iko wapi
 
Uzuri ni kwamba sikufeli pekeyangu....aliefaulu kwa alama kubwa alipata "C".
Na huyo alikuwa anafundisha elimu ya dini pia.

Sijawahi kuwa kilaza...na sitakuwa kilaza.

'The end determine the beginning...', Ni msemo wenye mashaka.

Aliyepata "A" mwisho haina maana kuwa alipata "A" mwanzo.

Kuna aliyepata "A" mwanzo but mwisho akapata "D".

Kuna sababu ya yote hayo kutokea...

Usahihishaji Mbovu au Buddhist walikuwa kazini siku hiyo.
Masomo ya dini mitihani na usahihishaje wake hufanywa na hao hao wanaowafundisha.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baraza la mitihani waangalie.
Imekuwaje hakuna wastani mzuri katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislam kwenye matokeo ya kidato cha nne?
Kuna walakini katika usahihishaji.
Serikali ifanye uchunguzi.
Ili ukweli ubainike. Kama ni watoto wote waliofanya somo hilo hawana uwezo wa kupata A tujue. Ripoti itolewe na iwe wazi kwa kila mtu kuisoma. Ili wazazi waondoa malalamiko yao baada ya kujua kwamba watoto wao hawana uwezo wa kufaulu grade A ya somo hilo.
Asante
ile shule ya mbeya haijatoa A kwenye somo la dini ya kiislamu mbna top 4 wote wametoka kwao au wote ni Christian

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Mi naona hayo masomo ya dini serikali iyafute kabisa maana yamekuwa chanzo cha migogoro ya mara kwa mara baina ya Serikali na wanafunzi wa dini hizo. Wanaotaka kusoma dini wakasome kwa utaratibu wao.
Hili ndio suala la msingi..masomo wafundishane huko madrasa au Sunday school..wajaziane maks wenyewe.

Serikali haina dini nashangaa kuundekeza huu upuuzi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)

Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%

Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.

Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.

Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.

Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.

Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
😂😂😂Hwataki mfaulu sana mtakuja chukua vyeo vyao vya ushkhe, natabia tu
 
Baraza la mitihani waangalie.
Imekuwaje hakuna wastani mzuri katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislam kwenye matokeo ya kidato cha nne?
Kuna walakini katika usahihishaji.
Serikali ifanye uchunguzi.
Ili ukweli ubainike. Kama ni watoto wote waliofanya somo hilo hawana uwezo wa kupata A tujue. Ripoti itolewe na iwe wazi kwa kila mtu kuisoma. Ili wazazi waondoa malalamiko yao baada ya kujua kwamba watoto wao hawana uwezo wa kufaulu grade A ya somo hilo.
Asante
Siku hizi madrasa au kukalilishana kiarabu tukizani tunapack dini kichwani kumeonekana ni swala lisilo both kwa wazazi na wanafunzi wenyewe.Wamegundua elmu akhela haina mpango wowote na unaongeza ma Complicators wa maisha tu vivyo hivyo na upande wa dini ya Kikristo watu wameona michosho hata kwenda kanisani kwa sababu kunasababisha kupoteza hela kwa hicho kinachoitwa sadaka na zaka.We haingii akilini kanisa linajengwa kwa michango ila ikifika muda muumini anataka kujenga nyumba kanisa na viongozi wake wanasema fumbeni macho tuombee mpate nyumba PUMBAFUU makanisa yamekuwa ni ya watu wenye stress za maisha na wazee
 
Masomo ya dini mitihani na usahihishaje wake hufanywa na hao hao wanaowafundisha.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue ni kwamba wanaolalamika ni wengi...
Na lalamiko ni moja, kuwa wanahisi wanakoseshwa makusudi.

Inabidi hilo liangaliwe kwa jicho pevu...
Hatakama wanaosahihisha ni hao walimu wa dini.
 
Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)

Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%

Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.

Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.

Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.

Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.

Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Kwa hiyo unahisi walisahisha Maaskofu na mapadree au? Sasa hujuma inatokea wapi?
 
Ungekuwa unajua namna mitihani inavyotungwa na kusahihishwa usingeleta hii mada yako hapa.
Nikwambie tu kama mtihani una maswali 10, basi utapitiwa na watu wasiopungua 14.
Walimu 10 wanaofundisha hilo somo watasahihisha kila mtu swali lake kwa Chain. Karàtasi ikitoka hapo inapita kwa Checker anakagua kama maswali yote yamepitiwa na alama alizopewa in sahihi. Karatasi inapita kwa mtu wa kutotal alama. Baada ya hapo inaenda computer kujazwa. Baada ya kutoka computer kuna watu tena wanahakiki kama alama za computer ni sawa na zilizo kwenye karatasi. Mchakato n mrefu mno kuonewa sio rahisi kama unavyodhani
I see!!!
 
Mnakaririshwa madude ya ajabu ajabu. Mara sijui unaanza kusoma kutokea kulia kwenda kushoto, Sasa kwa nini msifeli.
 
We ile lugha ya mtume usiichukulie poa bila mijeredi huwezi kuishika,uliza walimu wa madrasa watakwambia bora kichina ni rahisi kuliko kiarabu
Kiarabu ni lugha nyepesi kuliko hata Kiswahili ambacho ni mtoto wa kiarabu.
 
Back
Top Bottom