Kutakuwa na tatizo katika usahihishaji wa mtihani wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislam Kidato cha Nne

Kutakuwa na tatizo katika usahihishaji wa mtihani wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislam Kidato cha Nne

Siku hizi madrasa au kukalilishana kiarabu tukizani tunapack dini kichwani kumeonekana ni swala lisilo both kwa wazazi na wanafunzi wenyewe.Wamegundua elmu akhela haina mpango wowote na unaongeza ma Complicators wa maisha tu vivyo hivyo na upande wa dini ya Kikristo watu wameona michosho hata kwenda kanisani kwa sababu kunasababisha kupoteza hela kwa hicho kinachoitwa sadaka na zaka.We haingii akilini kanisa linajengwa kwa michango ila ikifika muda muumini anataka kujenga nyumba kanisa na viongozi wake wanasema fumbeni macho tuombee mpate nyumba PUMBAFUU makanisa yamekuwa ni ya watu wenye stress za maisha na wazee
Kipi muhimu sasa kwenye maisha?
 
Kusahihisha mitihani ni jukumu la walimu wateule, lakini linapokuja suala la matokeo ni jukumu la Baraza kupitia syndicate ya watu wachache. Watu hawa kwa kiasi kikubwa ndio huamua, kupanga na kupangua vile wanavyoona inafaa.
Ndio maana si ajabu kusikia walimu walioenda kusahihisha wakisema mwaka huu somo X wanafunzi wamefanya vibaya Sana, lakini yakija matokeo wanafunzi wamefaulu kwa kiasi cha kupaa mno.
Binafsi nadhani, ni wakati sasa kufanya mabadiliko ya kimkakati katika mambo kadhaa yanayohusu mitihani. Sina shaka na sifa za watendaji wa baraza, lakini umakini na kujiridhisha katika masuala yanayoweza kuibua taharuki yafanyiwe kazi ipasavyo.

Ndimi, mwalimu wa Chekechea
 
Baraza la mitihani waangalie.
Imekuwaje hakuna wastani mzuri katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislam kwenye matokeo ya kidato cha nne?
Kuna walakini katika usahihishaji.
Serikali ifanye uchunguzi.
Ili ukweli ubainike. Kama ni watoto wote waliofanya somo hilo hawana uwezo wa kupata A tujue. Ripoti itolewe na iwe wazi kwa kila mtu kuisoma. Ili wazazi waondoa malalamiko yao baada ya kujua kwamba watoto wao hawana uwezo wa kufaulu grade A ya somo hilo.
Asante
Kwani Islamic linatakiwa kufindishwa na mwalimu mtaalam kwa kifata silabasi au hata ustaadh anaweza fundisha huko madrasa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]walisahihisha Walokole
Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)

Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%

Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.

Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.

Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.

Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.

Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
 
Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)

Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%

Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.

Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.

Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.

Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.

Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Jamaa yangu alisimamiaga paper necta, madogo baada ya kupiga paper one, hawakurudi kupiga paper two, walipoulizwa kila mmoja anasonya tu!!!
 
Enzi za Ndalichako akiwa akiwa Katibu Mkuu(NECTA) Waislamu waliwahi kuandamana kwenda NECTA kupinga matokeo ya namna hii.

Baadae ripoti ilitoka na kubainika kulikuwa na walakini..
Unaweza kutuwekea hapa hiyo ripoti ili tuamini sio umbea
 
Kipi muhimu sasa kwenye maisha?
Muhimu ni kuwekeza juhudi kwenye kuoambana na maisha kuwa mwema na mwenye huruma na kuzungumza na Mungu wako bila kumfokea wala kwenda huko kwa kina Mwamposa au misikitini.REFFER wazungu ndo waliotuletea dini ila mambo kwenda church wameachana nayo wamewekeza jitihada na matumizi ya akili leo wamekuwa blessed kushinda sisi mabingwa wa kunena kwenye ma sinagogi ya kina Suguye.
 
Tutaona mengi
JamiiForums885375397.gif
 
Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)

Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%

Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.

Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.

Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.

Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.

Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Nahisi kuna shida eneo hilo
 
Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)

Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%

Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.

Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.

Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.

Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.

Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Aisee...
 
Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini. Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.
Inategemea ulichokuwa umefundishwa au kujifundisha ni nini na jibu sahihi ni nini. Vinaweza vikawa ni vitu viwili tofauti, dini sio sayansi
 
Back
Top Bottom