mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
KumbeKiarabu ni lugha nyepesi kuliko hata Kiswahili ambacho ni mtoto wa kiarabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeKiarabu ni lugha nyepesi kuliko hata Kiswahili ambacho ni mtoto wa kiarabu.
Kipi muhimu sasa kwenye maisha?Siku hizi madrasa au kukalilishana kiarabu tukizani tunapack dini kichwani kumeonekana ni swala lisilo both kwa wazazi na wanafunzi wenyewe.Wamegundua elmu akhela haina mpango wowote na unaongeza ma Complicators wa maisha tu vivyo hivyo na upande wa dini ya Kikristo watu wameona michosho hata kwenda kanisani kwa sababu kunasababisha kupoteza hela kwa hicho kinachoitwa sadaka na zaka.We haingii akilini kanisa linajengwa kwa michango ila ikifika muda muumini anataka kujenga nyumba kanisa na viongozi wake wanasema fumbeni macho tuombee mpate nyumba PUMBAFUU makanisa yamekuwa ni ya watu wenye stress za maisha na wazee
Kwani Islamic linatakiwa kufindishwa na mwalimu mtaalam kwa kifata silabasi au hata ustaadh anaweza fundisha huko madrasa?Baraza la mitihani waangalie.
Imekuwaje hakuna wastani mzuri katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislam kwenye matokeo ya kidato cha nne?
Kuna walakini katika usahihishaji.
Serikali ifanye uchunguzi.
Ili ukweli ubainike. Kama ni watoto wote waliofanya somo hilo hawana uwezo wa kupata A tujue. Ripoti itolewe na iwe wazi kwa kila mtu kuisoma. Ili wazazi waondoa malalamiko yao baada ya kujua kwamba watoto wao hawana uwezo wa kufaulu grade A ya somo hilo.
Asante
Inasemekana wakati mtume anafundishwa ile kitu na malaika alikuwa anapewa kibano sio cha sayari hii[emoji23]We ile lugha ya mtume usiichukulie poa bila mijeredi huwezi kuishika,uliza walimu wa madrasa watakwambia bora kichina ni rahisi kuliko kiarabu
Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)
Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%
Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.
Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.
Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.
Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.
Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Wanasema wanahujumiwa..kama huyu mzee kilizi wa JF Mohamed SaidUISLAM na wafuasi wake umejaa ma Complicators wengi sana
Takbiiir. Japo Pale Msamvu University inahesabiwa vizuri tuNa bora serikali walivofanya paper za dini ziwe ni benefits kwa candidate na sio kuwa credit za kwenda high education
Jamaa yangu alisimamiaga paper necta, madogo baada ya kupiga paper one, hawakurudi kupiga paper two, walipoulizwa kila mmoja anasonya tu!!!Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)
Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%
Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.
Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.
Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.
Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.
Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Wasaudia weusi shidaaaJamaa yangu alisimamiaga paper necta, madogo baada ya kupiga paper one, hawakurudi kupiga paper two, walipoulizwa kila mmoja anasonya tu!!!
Unaweza kutuwekea hapa hiyo ripoti ili tuamini sio umbeaEnzi za Ndalichako akiwa akiwa Katibu Mkuu(NECTA) Waislamu waliwahi kuandamana kwenda NECTA kupinga matokeo ya namna hii.
Baadae ripoti ilitoka na kubainika kulikuwa na walakini..
D inaanzia ngapi mpaka ngapi mkuuKuna marks na grading
Unaweza pata marks 90 ila ukawekewa grade D
Muhimu ni kuwekeza juhudi kwenye kuoambana na maisha kuwa mwema na mwenye huruma na kuzungumza na Mungu wako bila kumfokea wala kwenda huko kwa kina Mwamposa au misikitini.REFFER wazungu ndo waliotuletea dini ila mambo kwenda church wameachana nayo wamewekeza jitihada na matumizi ya akili leo wamekuwa blessed kushinda sisi mabingwa wa kunena kwenye ma sinagogi ya kina Suguye.Kipi muhimu sasa kwenye maisha?
Nahisi kuna shida eneo hiloNilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)
Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%
Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.
Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.
Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.
Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.
Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Aisee...Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)
Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%
Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.
Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.
Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.
Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISM.
Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Inategemea ulichokuwa umefundishwa au kujifundisha ni nini na jibu sahihi ni nini. Vinaweza vikawa ni vitu viwili tofauti, dini sio sayansiMtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini. Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.