Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

Kutambua uwezo wa akili kati ya mtu mweusi na mweupe angalia Korea Kaskazini na Iran dhidi ya Mataifa ya Afrika

Tanzania ina watu wenye akili sana, ila wanatawaliwa na watu mbumbumbu waliojificha kwenye chama chenye kuvaa kijani na njano wanaoamini katika kusifu na kuabudu upuuzi kwa kisingizio cha uchawa.
 
Ukitaka kutambua utofauti wa uwezo wa akili baina ya mtu mweusi na mweupe.

Tazama namna North Korea yenye vikwazo chungu nzima, Iran yenye vikwazo chungu nzima dhidi ya mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara usiisahau nchi ya Tanzania.

NB: Napo sisitiza kuwa uwezo wa kiakili wa mtu mweupe haupo sawa na wa mtu mweusi tuwe tunaelewa.
Wote tuna akili na uwezo sawa ,shida ipo kwenye misingi mibovu ya utawala toka tumetoka mikononi mwa tawala za kikoloni na umimi ( ubinafsi) uliotawala nafsi za watu weusi.
Irani na Korea Kaskazini Viongozi wako madarakani wanatumia resources za nchi wanatengeneza miundombinu ambayo itamfaidisha kila mwananchi...kama barabara nzuri,mifumo ya nishati endelevu,mahospitali ya maana,mashule yenye elimu bora kabisa ,mifumo ya umwagiliaji kiasi ya kwamba wanalima mwaka mzima pasipo kutegemea mvua,hivi vyote anayenufaika sio kiongozi ni Taifa zima kwa ujumla wake.
Viongozi wa Kiafrika unawapa madaraka cha kwanza kabisa ni kuhakikisha anatajirika yeye na familia yake,kisha ukoo na kijiji chake,hakuna mipango ya muda mrefu inayofanyiwa uwezeshaji timilifu na wala hakuna sera inayombana kiongozi aliyopo madarakani kusimamia mipango yote ya muda mrefu iliyoachwa na mtangulizi wake.
 
Siropoki kama wewe. Hewa safi inapimwa kwa AQI (Air Quality Index). Na Tz yote AQI ni ya hali ya juu sana, ikiwa mojawapo ya kivutio cha wageni toka nchi zenye hewa chafu kuja hapa ku 'refresh'.
Nitajie miji kumi duniani inayo ongoza kwa hewa safi ?

Isije ikawa tunaongea na wapuuzi humu
 
Tanzania ina watu wenye akili sana, ila wanatawaliwa na watu mbumbumbu waliojificha kwenye chama chenye kuvaa kijani na njano wanaoamini katika kusifu na kuabudu upuuzi kwa kisingizio cha uchawa.
Mbumbumbu hawezi mtawala mtu mwenye akili lazima atakataa. Tanzania wote mbumbumbu
 
Wote tuna akili na uwezo sawa ,shida ipo kwenye misingi mibovu ya utawala toka tumetoka mikononi mwa tawala za kikoloni na umimi ( ubinafsi) uliotawala nafsi za watu weusi.
Irani na Korea Kaskazini Viongozi wako madarakani wanatumia resources za nchi wanatengeneza miundombinu ambayo itamfaidisha kila mwananchi...kama barabara nzuri,mifumo ya nishati endelevu,mahospitali ya maana,mashule yenye elimu bora kabisa ,mifumo ya umwagiliaji kiasi ya kwamba wanalima mwaka mzima pasipo kutegemea mvua,hivi vyote anayenufaika sio kiongozi ni Taifa zima kwa ujumla wake.
Viongozi wa Kiafrika unawapa madaraka cha kwanza kabisa ni kuhakikisha anatajirika yeye na familia yake,kisha ukoo na kijiji chake,hakuna mipango ya muda mrefu inayofanyiwa uwezeshaji timilifu na wala hakuna sera inayombana kiongozi aliyopo madarakani kusimamia mipango yote ya muda mrefu iliyoachwa na mtangulizi wake.
Huo ndio utofauti wa akili wenyewe huwezi sema tupo sawa wakati wao wanafanya hivi sisi tunafanya hivi hapo hatuwezi kuwa sawa hata kidogo
 
Kikwazo kikibwa ni akili
Hata siyo akili. Vikwazo hivi hivi vya kiuchumi. Mnalazimishwa kuingiza demokrasia, bidhaa zenu zinathaminishwa chini, mnalazimishwa soko huria nk. Wachache wanaotaka kujikwamua kama wakina Patrice Lumumba, Sankara, Gaddafi na JPM wanakiona cha mtema kuni. Afrika yote ipo kwenye vikwazo vikali sana.
 
[emoji23][emoji23]
Ukweli ndo huo. Mtu akili zake ni kuchakata papuchi, ni msokolokwinyo, ni kula demu mkali,ni kutembea na mke wa mtu,atapata wapi akili na mda wa kuwaza maendeleo. Wenzetu huko,watoto wawili,tosha. Kwetu huku,kila mkoa kuna mtoto. Ukiambiwa toa matumizi,watu hupotea mazima. Na hao ndo wa kuleta maendeleo?
 
Kama kuua watu na kupiga risasi watu ni Mafanikio Basi alikuwa sahihi
Inafikirisha Sana
Acha chuki wewe , leteni ushahidi wa hayo mnayoyasema.
Nyie tunawaelewa JPM alijua WAJIBU WAKE kama kiongozi .
Sasa ivi nchi imeoza na inanuka rushwa kila pahala.
Rest in peace JPM.
 
Hawa wamissionary walituambia na kutuaminishs kua lilikuwapo dimbwi la maji ambalo Mungu aliweka binaadamu wajitakase na wabarikiwe.

Wakaanza wazungu kunawa na wakatakasika na kubarikiwa sana.

Wakaja waasia nao wakajitosa kwenye dimbwi hilo na wakatakata na kubarikiwa kiasi sion kama wazungu ndio maana hata rangi yao na akili zao si kama wazungu

Wa mwisho kujitosa dimbwini ni sisi waafrika. Wakati huo dimbwi limechafuka na ndio hatukutakata na kupata baraka kiduchu.
 
Back
Top Bottom