Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
we dogo itakuwa mkuundu unakuwasha!Muulize mama ako au ingia youtube utamuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we dogo itakuwa mkuundu unakuwasha!Muulize mama ako au ingia youtube utamuona
Umekosa basha eti?we dogo itakuwa mkuundu unakuwasha!
Ndio maana watu wanatushangaa wengine kurukia sunguratope. Utasikia, "aaaah bwana lucchese unajishushuia hadhi, we ni mtu wa kutoka na pisi kali za maana sio hawa sungura tope".Hapo unakuwa na familia nne zinakutegemea mwanaume! Hatari na nusu
K ni k ndugu yangu! Jambo la msingi ni kukojoa. K ya gharama ni chimbuko la umaskini uliokithiri.Ndio maana watu wanatushangaa wengine kurukia sunguratope. Utasikia, "aaaah bwana lucchese unajishushuia hadhi, we ni mtu wa kutoka na pisi kali za maana sio hawa sungura tope".
Wanashindwa kung'amua kwamba watu tumeshafanya cost-benefit analysis mapema mno. Naweka kirikuu changu mafuta ya kidebe nazama msanga kwa mbele huko maeneo ya Dabalu nakamata kuku saaafi kabisa wa kienyeji na maisha yanaenda. Ukimhonga mbegu za alizeti tu, umemaliza picha mapema sana.
Kila kitu kinaenda kwa mipango...Sasa ulitaka ajenge hapo halafu akae Nani??
Pia kuna vijiji ukijenga nyumba nzuri wanakijiji wanakuonea wivu kinachofata ni kurogwa
Hahahahaha kwamba uchaggani hakunaga nyumba za tope kabisa?? Tz hiihii ninayoijua mimi?😂Wachagga hawana nyumba za tope acha kudaganya kule nyumba nyingi ni nzuri kuliko hata za huku Dar kwenye msongamamo na uchafu
Zatope uchagani nimeona,Hahahahaha kwamba uchaggani hakunaga nyumba za tope kabisa?? Tz hiihii ninayoijua mimi?[emoji23]
Hiyohiyo fanya repair itakaa vizuri sio lazima ujenge mpya...wengi siku hizi wanazibadiliFanya mwaya kila la kheri, mimi baba aliacha kajenga sema nyumba mitindo ya zamani. Pako safi tu sema sasa hivi watu wamejenga nyumba mpya naanza kuona haiendani na wakati.
All the best wazazi kwanza
Kibaharia 😂😂😂,mi siendi mbali hapo buza tu kwa mpanyoa vikuku vipo 100 kidogo buku 10 nyingi utakula mbususu mpaka unaomba poo.iwepo ela ya bia tu na nyamachoma.Ndio maana watu wanatushangaa wengine kurukia sunguratope. Utasikia, "aaaah bwana lucchese unajishushuia hadhi, we ni mtu wa kutoka na pisi kali za maana sio hawa sungura tope".
Wanashindwa kung'amua kwamba watu tumeshafanya cost-benefit analysis mapema mno. Naweka kirikuu changu mafuta ya kidebe nazama msanga kwa mbele huko maeneo ya Dabalu nakamata kuku saaafi kabisa wa kienyeji na maisha yanaenda. Ukimhonga mbegu za alizeti tu, umemaliza picha mapema sana.
Ndomaana nikamuuliza huyo anaedai kuwa uchagani hakuna nyumba za tope😂.
Zipo nyingi sana, mfano kahe,nimeziona hata mwaka huu,Ndomaana nikamuuliza huyo anaedai kuwa uchagani hakuna nyumba za tope[emoji23].
Hili Kabila huwa linajikuta aje sijui, mimi uchagani sidanganywi CHOCHOTE kule, nyumba za tope za kutosha tu.
Mkuu hamna nyumba mbovu hata za tope zimeshaisha kabisa nyumba nzuri kuliko hizi za Dar bana with well planed streetsHahahahaha kwamba uchaggani hakunaga nyumba za tope kabisa?? Tz hiihii ninayoijua mimi?[emoji23]
Kahe ni uchagani ipi mkuu, unajua vijiji vya uchagani kweli weweZipo nyingi sana, mfano kahe,nimeziona hata mwaka huu,
Pia Kuna nyumba uchagani umeme wanausikia TU mijini
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Na kwambia hamna Sasa hzo nyumba kijijini kwetu wewe una force tu, acha wivu na wachagaNdomaana nikamuuliza huyo anaedai kuwa uchagani hakuna nyumba za tope[emoji23].
Hili Kabila huwa linajikuta aje sijui, mimi uchagani sidanganywi CHOCHOTE kule, nyumba za tope za kutosha tu.
Sijui je kahe IPO mkoa upi labda? Wenyeji wa pale sio wachaga?Kahe ni uchagani ipi mkuu, unajua vijiji vya uchagani kweli wewe
Weka picha, usikute umeona huko kahe kama huyu mwemzako