Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Hapo unakuwa na familia nne zinakutegemea mwanaume! Hatari na nusu
Ndio maana watu wanatushangaa wengine kurukia sunguratope. Utasikia, "aaaah bwana lucchese unajishushuia hadhi, we ni mtu wa kutoka na pisi kali za maana sio hawa sungura tope".
Wanashindwa kung'amua kwamba watu tumeshafanya cost-benefit analysis mapema mno. Naweka kirikuu changu mafuta ya kidebe nazama msanga kwa mbele huko maeneo ya Dabalu nakamata kuku saaafi kabisa wa kienyeji na maisha yanaenda. Ukimhonga mbegu za alizeti tu, umemaliza picha mapema sana.
 
Usikute ni uamuzi tu [emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 2054097View attachment 2054098
IMG_20211223_065906.jpg
 
Ndio maana watu wanatushangaa wengine kurukia sunguratope. Utasikia, "aaaah bwana lucchese unajishushuia hadhi, we ni mtu wa kutoka na pisi kali za maana sio hawa sungura tope".
Wanashindwa kung'amua kwamba watu tumeshafanya cost-benefit analysis mapema mno. Naweka kirikuu changu mafuta ya kidebe nazama msanga kwa mbele huko maeneo ya Dabalu nakamata kuku saaafi kabisa wa kienyeji na maisha yanaenda. Ukimhonga mbegu za alizeti tu, umemaliza picha mapema sana.
K ni k ndugu yangu! Jambo la msingi ni kukojoa. K ya gharama ni chimbuko la umaskini uliokithiri.
 
Kila kitu kinaenda kwa mipango...Sasa ulitaka ajenge hapo halafu akae Nani??

Pia kuna vijiji ukijenga nyumba nzuri wanakijiji wanakuonea wivu kinachofata ni kurogwa

Handeni huko na turiani watu wakule kiboko hahaha wasione una maendeleo wanakuroga,,,kama turiani waliroga hadi mashine ya kusagia wakati wameletewa iwasaidie wao wazee wakazi wakaipindisha
 
Wachagga hawana nyumba za tope acha kudaganya kule nyumba nyingi ni nzuri kuliko hata za huku Dar kwenye msongamamo na uchafu
Hahahahaha kwamba uchaggani hakunaga nyumba za tope kabisa?? Tz hiihii ninayoijua mimi?😂
 
Lulu diva ndo nani hapa mjini ?

Au yule anae taka mahali ya 500 milion
 
Fanya mwaya kila la kheri, mimi baba aliacha kajenga sema nyumba mitindo ya zamani. Pako safi tu sema sasa hivi watu wamejenga nyumba mpya naanza kuona haiendani na wakati.

All the best wazazi kwanza
Hiyohiyo fanya repair itakaa vizuri sio lazima ujenge mpya...wengi siku hizi wanazibadili
 
Ndio maana watu wanatushangaa wengine kurukia sunguratope. Utasikia, "aaaah bwana lucchese unajishushuia hadhi, we ni mtu wa kutoka na pisi kali za maana sio hawa sungura tope".
Wanashindwa kung'amua kwamba watu tumeshafanya cost-benefit analysis mapema mno. Naweka kirikuu changu mafuta ya kidebe nazama msanga kwa mbele huko maeneo ya Dabalu nakamata kuku saaafi kabisa wa kienyeji na maisha yanaenda. Ukimhonga mbegu za alizeti tu, umemaliza picha mapema sana.
Kibaharia 😂😂😂,mi siendi mbali hapo buza tu kwa mpanyoa vikuku vipo 100 kidogo buku 10 nyingi utakula mbususu mpaka unaomba poo.iwepo ela ya bia tu na nyamachoma.
 
Ndomaana nikamuuliza huyo anaedai kuwa uchagani hakuna nyumba za tope[emoji23].

Hili Kabila huwa linajikuta aje sijui, mimi uchagani sidanganywi CHOCHOTE kule, nyumba za tope za kutosha tu.
Zipo nyingi sana, mfano kahe,nimeziona hata mwaka huu,
Pia Kuna nyumba uchagani umeme wanausikia TU mijini

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaha kwamba uchaggani hakunaga nyumba za tope kabisa?? Tz hiihii ninayoijua mimi?[emoji23]
Mkuu hamna nyumba mbovu hata za tope zimeshaisha kabisa nyumba nzuri kuliko hizi za Dar bana with well planed streets
 
Ndomaana nikamuuliza huyo anaedai kuwa uchagani hakuna nyumba za tope[emoji23].

Hili Kabila huwa linajikuta aje sijui, mimi uchagani sidanganywi CHOCHOTE kule, nyumba za tope za kutosha tu.
Na kwambia hamna Sasa hzo nyumba kijijini kwetu wewe una force tu, acha wivu na wachaga
 
Back
Top Bottom