Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiachilia mbali UKIMWI na UTI ugonjwa mwingine unaotutesa watanzania ni wivu na chukiHahaaa
Waja kwa kuhukumu maisha ya watu hawajambo
Ukiachilia mbali UKIMWI na UTI ugonjwa mwingine unaotutesa watanzania ni wivu na chukiPole kwa msiba huu lulu diva,, nimpongeze kwa moyo wa kumuuguza mama yake hilo tu ni fundisho,kuhusu kujenga asingejenfa kwenye familia isiyomuhusu ktk kurithi hapo ni ujombani kwao,, na hata ingekuwa ni kwa baba zake wakubwa bado sio jukumu lake kupajenga,,
Ila humu wengi akili hazimo Yani, umaskini wa akili una gharama sana
Sina hakika mleta mada umri wake ukoje, uzoefu wake wa maisha ukoje hadi kuja na mada iliyojaa utoto mwingi kiasi hiki (with due respect).Hiyo hela anayo sasa mkuu...uuguze na bado upige plasta ili watu sijui wasikucheke[emoji848]kumbuka yy ndo first n last born hana wa kumsaidia!
Daaah kama mambo yenyewe ndo haya nawashukuru sana kaka zangu kujenga nyumba mpya kijijini kuzaliwa wa mwisho raha asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Masogange alijenga mbona kajumba kazuri kwa baba ake! Kushinda wote hapooo!!!Mastaa wetu sijui wanakwama wapi mjini fujo kibao halafu home miyeyusho
Kupitia kanumba
Agnes masogange
Albert mangwea.
Inaonyesha jinsi gani wasanii wetu wanavyotudanga kwenye mitandao ya ukiwakumbusha unaambulia matusi,
Kuna lile uwoya ndo halijielewi kabisa kila siku lipo hotelini.
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ephraim Kibonde
Imerekebishwa na mbabe mmoja mjini. Kaona aibu wanavyokula bata sana. Kayafanya haya ndani ya siku 2 au tatu muache ngebeNasema nyumba ya tope kwa sababu dar hajajenga anaongoza kwa kupanga mitaani huko hivo basi kwa kuwa yeye ni mtoto pekee wa mama na mama alikuwa na nyumba ya tope basi luludiva ndio anaweka record ya kurithi na kuishi nyumba ya tope
View attachment 2052860
View attachment 2052861
Mtwara ndo makaburini?!!Mimi nina miliki nyumba nzuri zaidi ya tano na mzazi wangu nimemrekebishia nyumba yake hapa Dar anaishi pazuri. Sisi kwetu kabisa ambapo tutazikwa ni Mtwara na huko sijajenga hata banda la bata.
Ina maana siku nikifa nikipelekwa huko ndio kutakuwa kwangu? Najenga nyumba zitakazoniletea faida nikipangisha, siwezi kujenga wakakae mijusi na mapanya. Kule nitaenda kuzikwa tu. Watotocwangu hawawezi kwenda kuishi Masasi huko kusiko na fursa
Kumbe bora ana gari. Wengine ujanja wao wote lakini wanamiliki ID za JFKushangaa ni kuishi nyumba ya tope huku mjini akivimba na gari ya milion 30
Wafu wote wa ukoo wetu uwa wanapelekwa kuzikwa huko. Hata ukifia Sweden lazima ukafukiwe MasasiMtwara ndo makaburini?!!
Masikini kumbe kafiwa na mama ake!?Mwache kwanza dada wa watu atulie, kupoteza mzazi sio masihara mkuu.
Kushangaa ni kuishi nyumba ya tope huku mjini akivimba na gari ya milion 30
Umeongea kwa uchungu sana.Wengine wamemtete wakisema eti hapa duniani tunapita hakuna haja ya kujenga
Wengine wakasema amjengee nani wakati alikuwa na mama yake tu?
Kwetu tunasema ujenge nyumba ya kulinda makaburi.
Wengine wakamtete eti yeye akifa atazikwa kwa mme wake,je kama hotooelewa? Au akifa kabla ya hiyo ndoa? Ya mungu mengi simsemi vibaya.
Hatumsemi vibaya ila msanii anaeweza vimba mjini na gari kali atawezaje shindwa hata mili 10 tu ajenge nyumba ya kawaida?
Kama angekuwa sisi watu wa kawaida tusokuwa na mishahara sawa hakuna shida.
Wasanii wanamiliki simu za mil 3 anapanga nyumba ya laki 5 kwa mwezi iweje usahau kuna maisha ya baadae?
Mimi uwa mawachekesha watu ofisini.nawambia mimi kama akitokea mzamini akanininulia macho matatu naiuza nanunua sumsung ya laki 4 wanacheka.
Ni kwakuwa sina hela labda ndo maana nina uchungu na hela.
Kwakweli katia aibu. Na mimi nikifa leo mkaenda nizika home mtacheka kidogo sana kuwa nyumba yetu imepitwa na wakati ila sio tope .na pale nyumbani pembeni msingi nilouweka pale mwezi ulotipa sio wa kitoto mtajua ninakoelekea.
Mi siwezi chezea pesa, hata ikitokea fala moja akanihonga hata laki siku zote elfu 50000 lazima niitume nyumbani, cement kwetu ni 26000, nondo 27000 trip ya mawe 70000, mchanga 60000,boma linataka tofali 20000, nataka msauzi bati 70 leo nianze kutumia macho matatu? Ni upuuzi.
Ningekuwa na nafasi ya kama hawa wasanii ningefanya vitu vya maana sana
Wasanii ni watu wa ovyo kabisa.
Shida ni kuwa ukiwaza ufanye ukarabati wakati mgonjwa bado anahitaji huduma na pesa zetu hizi za kuunga unga ndio unajikuta unaamua kukomaa tu na mgonjwa.Hapo ni kwa wajomba zake,ila kwa ugonjwa wa mama yake angejiandaa hata kwa kupiga hiyo nyumba plasta na sakafu ya block...lolote hutokea unapokua na mgonjwa ambae hawezi kupona