Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Nasema nyumba ya tope kwa sababu dar hajajenga anaongoza kwa kupanga mitaani huko hivo basi kwa kuwa yeye ni mtoto pekee wa mama na mama alikuwa na nyumba ya tope basi luludiva ndio anaweka record ya kurithi na kuishi nyumba ya tope

View attachment 2052860

View attachment 2052861
Binafsi katika hili nasimama na Lulu.. aisee Kwa namna ambavyo Mama yake alikuwa anaumwa hakukuwa na umuhimu wa kujenga kuliko kumuuguza, na kingine Kwa msanii kuoendeza na kuishi nyumba nzuri mjini ni moja ya Branding ni Sawa na kufanya investment ambayo baadae inamlipa Kwa namna ambavyo watu Wengine sio rahisi kufahamu..

so Lulu Diva kwangu ni moja wa wanawake wachache ambao ni mashujaa Sana hakumtupa Mama yake na wala hakuogopa kumpost pamoja na Hali aliyokuwa nayo yani.

Next time kabla hujamlaumu MTU jaribu kuvaa viatu vyake kwanza.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Binafsi katika hili nasimama na Lulu.. aisee Kwa namna ambavyo Mama yake alikuwa anaumwa hakukuwa na umuhimu wa kujenga kuliko kumuuguza, na kingine Kwa msanii kuoendeza na kuishi nyumba nzuri mjini ni moja ya Branding ni Sawa na kufanya investment ambayo baadae inamlipa Kwa namna ambavyo watu Wengine sio rahisi kufahamu..

so Lulu Diva kwangu ni moja wa wanawake wachache ambao ni mashujaa Sana hakumtupa Mama yake na wala hakuogopa kumpost pamoja na Hali aliyokuwa nayo yani.

Next time kabla hujamlaumu MTU jaribu kuvaa viatu vyake kwanza.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Thread closed!!
 
Mastaa wetu sijui wanakwama wapi mjini fujo kibao halafu home miyeyusho
Kupitia kanumba
Agnes masogange
Albert mangwea.

Inaonyesha jinsi gani wasanii wetu wanavyotudanga kwenye mitandao ya ukiwakumbusha unaambulia matusi,

Kuna lile uwoya ndo halijielewi kabisa kila siku lipo hotelini.
Masogange alijitahidi
 
Mimi sioni cha ajabu hapo. Lulu Diva ni mpambanaji tu kama walivyo watu wengi nchi hii.

Alianza kuigiza, mambo yakagoma, akawa video vixen na sasa hivi anakomaa na kuimba.

Sasa sioni popote kama kuna sababu ya kushangaa.
Mtu kapanga kwenye gorofa Mbezi beach. Halafu kwao kuko hivi ?Aibu kwa kweli.
 
Hivi wote mnaomsema mmefikiria kweli?

Yaani akajenge nyumba ya Ukoo ikiwa ana wajomba 9 wamebaki? Mimi ingewabomokea sijengi!!!!

Hao wajomba 9 wameshindwa kujichanga mpaka Luludiva ajenge?? Amuuguze mama yake na hapo hapo ajengee Ukoo??

Nyie mmejenga kwenye Ukoo zenu? sisemei kwa wazazi wenu nasemea kwenye ukoo!!
 
Kuna huyu changu mwingine aliyekua mke wa yule mrundi mchezaji mpk akafa kwa stress anatembeza papuchi tu,show off kibao huku mbunye imejaa matango tu.
 
Wengine wamemtete wakisema eti hapa duniani tunapita hakuna haja ya kujenga

Wengine wakasema amjengee nani wakati alikuwa na mama yake tu?

Kwetu tunasema ujenge nyumba ya kulinda makaburi.

Wengine wakamtete eti yeye akifa atazikwa kwa mme wake,je kama hotooelewa? Au akifa kabla ya hiyo ndoa? Ya mungu mengi simsemi vibaya.

Hatumsemi vibaya ila msanii anaeweza vimba mjini na gari kali atawezaje shindwa hata mili 10 tu ajenge nyumba ya kawaida?

Kama angekuwa sisi watu wa kawaida tusokuwa na mishahara sawa hakuna shida.

Wasanii wanamiliki simu za mil 3 anapanga nyumba ya laki 5 kwa mwezi iweje usahau kuna maisha ya baadae?
Mimi uwa mawachekesha watu ofisini.nawambia mimi kama akitokea mzamini akanininulia macho matatu naiuza nanunua sumsung ya laki 4 wanacheka.

Ni kwakuwa sina hela labda ndo maana nina uchungu na hela.

Kwakweli katia aibu. Na mimi nikifa leo mkaenda nizika home mtacheka kidogo sana kuwa nyumba yetu imepitwa na wakati ila sio tope .na pale nyumbani pembeni msingi nilouweka pale mwezi ulotipa sio wa kitoto mtajua ninakoelekea.

Mi siwezi chezea pesa, hata ikitokea fala moja akanihonga hata laki siku zote elfu 50000 lazima niitume nyumbani, cement kwetu ni 26000, nondo 27000 trip ya mawe 70000, mchanga 60000,boma linataka tofali 20000, nataka msauzi bati 70 leo nianze kutumia macho matatu? Ni upuuzi.
Ningekuwa na nafasi ya kama hawa wasanii ningefanya vitu vya maana sana

Wasanii ni watu wa ovyo kabisa.

Unajenga kwenu haujengi Nyumba ya Ukoo wewe peke yako!!!

Unaweza kuwa unawajengea wazazi wako, ila sio kuwajengea wajomba zako tena ambao wapo 9 ila wameshindwa kutumia akili.

Maisha yametofautiana ikiwa wewe unapambana kujenga kwenu, Lulu diva alikua anapambana kumuuguza mama yake!!

Kama ambavyo wewe unajenga kwenu kuna watu wazazi wao walishajenga makwao muda tu na wewe hapa wanakushangaa wazazi wako walishindwa vipi kujenga mpaka uje uwajengee wewe!!! maisha yametofautiana tusichekane tusibezane .....vipato na changamoto zipo tofauti.

binti mdogo asie na baba wala ndugu, kuuguza ugonjwa aina ule kwa miaka karibia 5 leo hii mnamsema kisa kujenga muwe na utu!!!
 
Makavelli lives On
c3bdf282b96a51317099f4069ad37c78.jpg
 
Unajenga kwenu haujengi Nyumba ya Ukoo wewe peke yako!!!

Unaweza kuwa unawajengea wazazi wako, ila sio kuwajengea wajomba zako tena ambao wapo 9 ila wameshindwa kutumia akili.

Maisha yametofautiana ikiwa wewe unapambana kujenga kwenu, Lulu diva alikua anapambana kumuuguza mama yake!!

Kama ambavyo wewe unajenga kwenu kuna watu wazazi wao walishajenga makwao muda tu na wewe hapa wanakushangaa wazazi wako walishindwa vipi kujenga mpaka uje uwajengee wewe!!! maisha yametofautiana tusichekane tusibezane .....vipato na changamoto zipo tofauti.

binti mdogo asie na baba wala ndugu, kuuguza ugonjwa aina ule kwa miaka karibia 5 leo hii mnamsema kisa kujenga muwe na utu!!!
Achana na huyo dada ni mpuuzi....

She is soo malicious utadhania sio mwanamke.......

Mtu kafiwa na mama yake the ONLY person she had, kama huwezi ku sympathise, then at least keep quiet.....

Mwenzio hakua na ndugu wa konekshens,wala mtu wa kuprovide for her,simply put she didn't have PRIVILLEGES ambazo Nyie wengine mmezaliwa mmezikuta ...kuji compare na yeye ni kumuonea,
 
Back
Top Bottom