Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Kutana na Luludiva; superstar anayeishi nyumba ya tope

Hivi wote mnaomsema mmefikiria kweli?

Yaani akajenge nyumba ya Ukoo ikiwa ana wajomba 9 wamebaki? Mimi ingewabomokea sijengi!!!!

Hao wajomba 9 wameshindwa kujichanga mpaka Luludiva ajenge?? Amuuguze mama yake na hapo hapo ajengee Ukoo??

Nyie mmejenga kwenye Ukoo zenu? sisemei kwa wazazi wenu nasemea kwenye ukoo!!

Ndio watu nawashangaa kumsema lulu wakati ndugz zake ambao ni kwao hapo ndio walitakiwa wajenge na sio lulu bana
Mim nikipata pesa najenga kwangu kwanza sio kwetu baadae kwetu na nikiwa na pesa nyingi
 
Achana na huyo dada ni mpuuzi....

She is soo malicious utadhania sio mwanamke.......

Mtu kafiwa na mama yake the ONLY person she had, kama huwezi ku sympathise, then at least keep quiet.....

Mwenzio hakua na ndugu wa konekshens,wala mtu wa kuprovide for her,simply put she didn't have PRIVILLEGES ambazo Nyie wengine mmezaliwa mmezikuta ...kuji compare na yeye ni kumuonea,

yaani kanishangaza sana kuna baadhi ya watu wana roho ngumu ssana
 
Ndio watu nawashangaa kumsema lulu wakati ndugz zake ambao ni kwao hapo ndio walitakiwa wajenge na sio lulu bana
Mim nikipata pesa najenga kwangu kwanza sio kwetu baadae kwetu na nikiwa na pesa nyingi

Sifa tu za mitandaoni hawana lolote, Watanzania wengi tunajenga kwa wazazi wetu na sio kwa Wajomba zetu wala kwa babu zetu.
 
Wengine wamemtete wakisema eti hapa duniani tunapita hakuna haja ya kujenga

Wengine wakasema amjengee nani wakati alikuwa na mama yake tu?

Kwetu tunasema ujenge nyumba ya kulinda makaburi.

Wengine wakamtete eti yeye akifa atazikwa kwa mme wake,je kama hotooelewa? Au akifa kabla ya hiyo ndoa? Ya mungu mengi simsemi vibaya.

Hatumsemi vibaya ila msanii anaeweza vimba mjini na gari kali atawezaje shindwa hata mili 10 tu ajenge nyumba ya kawaida?

Kama angekuwa sisi watu wa kawaida tusokuwa na mishahara sawa hakuna shida.

Wasanii wanamiliki simu za mil 3 anapanga nyumba ya laki 5 kwa mwezi iweje usahau kuna maisha ya baadae?
Mimi uwa mawachekesha watu ofisini.nawambia mimi kama akitokea mzamini akanininulia macho matatu naiuza nanunua sumsung ya laki 4 wanacheka.

Ni kwakuwa sina hela labda ndo maana nina uchungu na hela.

Kwakweli katia aibu. Na mimi nikifa leo mkaenda nizika home mtacheka kidogo sana kuwa nyumba yetu imepitwa na wakati ila sio tope .na pale nyumbani pembeni msingi nilouweka pale mwezi ulotipa sio wa kitoto mtajua ninakoelekea.

Mi siwezi chezea pesa, hata ikitokea fala moja akanihonga hata laki siku zote elfu 50000 lazima niitume nyumbani, cement kwetu ni 26000, nondo 27000 trip ya mawe 70000, mchanga 60000,boma linataka tofali 20000, nataka msauzi bati 70 leo nianze kutumia macho matatu? Ni upuuzi.
Ningekuwa na nafasi ya kama hawa wasanii ningefanya vitu vya maana sana

Wasanii ni watu wa ovyo kabisa.

Hongr!!
Kwa ule msingi!! Aisee ukimaliza utabakia kutafuna kababu tu.
 
Wengine wamemtete wakisema eti hapa duniani tunapita hakuna haja ya kujenga

Wengine wakasema amjengee nani wakati alikuwa na mama yake tu?

Kwetu tunasema ujenge nyumba ya kulinda makaburi.

Wengine wakamtete eti yeye akifa atazikwa kwa mme wake,je kama hotooelewa? Au akifa kabla ya hiyo ndoa? Ya mungu mengi simsemi vibaya.

Hatumsemi vibaya ila msanii anaeweza vimba mjini na gari kali atawezaje shindwa hata mili 10 tu ajenge nyumba ya kawaida?

Kama angekuwa sisi watu wa kawaida tusokuwa na mishahara sawa hakuna shida.

Wasanii wanamiliki simu za mil 3 anapanga nyumba ya laki 5 kwa mwezi iweje usahau kuna maisha ya baadae?
Mimi uwa mawachekesha watu ofisini.nawambia mimi kama akitokea mzamini akanininulia macho matatu naiuza nanunua sumsung ya laki 4 wanacheka.

Ni kwakuwa sina hela labda ndo maana nina uchungu na hela.

Kwakweli katia aibu. Na mimi nikifa leo mkaenda nizika home mtacheka kidogo sana kuwa nyumba yetu imepitwa na wakati ila sio tope .na pale nyumbani pembeni msingi nilouweka pale mwezi ulotipa sio wa kitoto mtajua ninakoelekea.

Mi siwezi chezea pesa, hata ikitokea fala moja akanihonga hata laki siku zote elfu 50000 lazima niitume nyumbani, cement kwetu ni 26000, nondo 27000 trip ya mawe 70000, mchanga 60000,boma linataka tofali 20000, nataka msauzi bati 70 leo nianze kutumia macho matatu? Ni upuuzi.
Ningekuwa na nafasi ya kama hawa wasanii ningefanya vitu vya maana sana

Wasanii ni watu wa ovyo kabisa.
Kwa gharama hizo za ujenzi nahisi itakuwa Mwanza.
 
Ushawai uguza mgonjwa wa muda mrefu ww ..kuuguza sio mchezo uchumi unayumba na kumbuka almvuta mama ake mjini ..marekebisho yatafanyikaga baadae ....by the way nikiwa kama muhudumu wa afya namuelewa lulu wa wtu
 
Hivi huyu Lulu Diva ni superstar wa kitu gani?
Actress, musician au ni mchekeshaji?
Kwa hakika sijui mnijuze
Huyu mimi huwa hadi nasema kuwa nimezeeka ama😄😳!! Huyu huwa namsikia huwasijajua afanyacho hadi alipofiwa na hata sura yake sikupata ifahamu.

Bongo inaenda kasi sana.
 
Baada ya kusoma gazeti la mwananchi /mwanaspoti nimeacha kumlaumu lulu diva rasmi
 
Back
Top Bottom