captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Sasa mkuu akishakuwa mtumishi na ana check no kunahaja tena ya kutuma barua ya maombi ya kazi, wao si wanajua taratibu za kumpandisha Mtu cheo mkuu mbona unatuchanganyia habar?Haiwezekani mtumishi ndani ya taasisi ajira yake education level ilikuwa diploma,then aka upgrade na kuwa bachelor holder. Halafu nafasi inapatikana ya mtu mwenye bachelor utegemee achukuliwe wa nje ya taasisi, hiyo never. Na ndio maana Kuna internal recruitment
📌Kwa kawaida kwa nafasi zilizo nyingi mchakato wa usaili huwa na hatua mbili: 1. Usaili wa kuandika (written), 2. Usaili wa mahojiano (oral). Kwa sasa kwenye written nafasi moja hugombaniwa na watu wasiopungua 100 (kwa uchache). Kwa hiyo hizo nafasi 392 kwenye hatua ya written inabidi zigombaniwe na watu 39,200. Ina maana huko NSSF kuna watu wa mikataba na wa kujitolea zaidi ya 30,000? Kama sivyo, kwa nini warahisishiwe hivyo wakati kuna malaki ya watanzania wanaotafuta ajira? Kwa nini hawa wapendelewe kwa kuepushwa na ugumu wanaokabiliana nao waombaji wengine kupitia PSRS?
Hata kama huko NSSF wataamua kusiwe na written baliu ni oral tu, hata hivyo kwa sasa nafasi moja kwenye oral huwa inagombaniwa na waombaji wasiopungua 5, ina maana huko NSSF kuna wjitoleaji na watu wa mikataba zadi ya 1,900? Hiyo mikataba ilitangazwa wapi? hizo nafasi za kujitolea zilitangazwa wapi? Hii haikubaliki hata kidogo!! Ninachokiona ni baadhi ya "wateule" kupita bila kupingwa maana hakuna wapinzani!! Hii haikubaliki hata kidogo!!! Kuna mtu asiyejua kuwa kuna malaki ya wasaka ajira mitaani tena wenye sifa stahiki kabisa!!
We mseng£ ,hii mada sio thread ya kuleta uchoko , tunajadili vitu critical hapa .Hivi kwa akili zako hata wangetangaza nafasi kwa uwazi unadhani ungepata...?
Kwel mkuu huu ni uzembe na ili linadhirishia baadhi ya viongozi ni wazembe na malofa, wanania ovu ya kumchafua Raisi. Mama Raisi wetu amepambana sana katika kutoa Ajira kwa vijana hakuna Mtu asiyeshuhudia ili Ila wapo wapuuzi wasipenda uwazi na ukwel wanapindisha izi baraka za Rais wetu, mchakato wa Ajira ni Bora urudi PSRS uko ndipo penye uwazi na ukwel Ajira zinatoka na watu wanapata kihalaliInternal recruitment ni kwa wale wenye ajira tayari! Akijiendeleza ndani ya ajira na kupata degree kwa mfano, huyo anafanyiwa re-categorization!! Hakuna internal recruitment kwenye ajira mpya!! Patachimbika hadi mahakama ya rufaa ikibidi!! Wasipotrusikiliza, mchakato wa ajira utasimamishwa kwa COURT INJUCTION!! hadi pale kesi ya msingi ya tuhuma za kutaka kuajiri kwa misingi ya ubaguzi kinyume na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 13(1&4), itakaposikilizwa na kufanyiwa maamuzi.
Hebu sema ofisi gani nafasi za kujitolea wanabagua au ni vijana hamtaki kusota mnataka mambo marahisi pesa nyingiHiyo nafasi ya kujitolea iko sawa kwa wote?
Wapi wanaotaka kujitolea na hawapati nafasi hizo.
JENGA nchi inayotawaliwa na mifumo, na taasisi, na taratibu za kitawala na kisheria.Raisi wetu mama Samia naomba uingilie Kati ili suala
Sina Iman na hao wabunge ata hao mawaziri pia, kimbilio letu ni yeye coz naiman naeJENGA nchi inayotawaliwa na mifumo, na taasisi, na taratibu za kitawala na kisheria.
Kwa nini unarukia kwa Samia akuhurumie ??? What if she doesn't give a fvck ??? Samia kasema juzi Mtwara hana muda wa vidukuduku vyenu, mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa! Matatizo yako na mapambano yako na hali yako peleka kwa Mbunge! Mbunge atawapelekea serikali Bungeni! She said as much.
Una hakika gani kama Samia hana mentality hizi hizi za wakubwa wa NSSF ???
Samia ndio alisema hadharani mashirika yaajiri yenyewe, hata hajui na hajali kwa nini ajira zilirudishwa UTUMISHI. Kama alivyosema Dr. Nshala, Rais hajui Uclifutwa lini na kwa nini, yeye kaurudisha tu Uchifu ghafla bila maelezo, hajui historia ya nchi, haelewi, hajali!
Rais hakueleza serikali yake ita mitigate vipi athari za mashirika kuajiri yenyewe, she don't give a rats ass!!! Get a clue!
Kati ya Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa NSSF na Rais wa nchi kuna mabosi wangapi na taasisi ngapi na sheria ngapi hapo katikati ???? Tunabembeleza huruma za Rais, kwa nini usiseme, kwa mfano, Waziri wajibika ????
Na Wewe Si ukaajiriwe huko unapo jitolea?Haiingii akilini NSSF wamepata wapi huu ujeuri wa kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote ili kuajiri wateule wao tu waliopewa nafasi kinyemela ya mikataba na kwa gia ya "kujitolea". Lazima nyuma yake kuna vigogo vinasukuma hii agenda nyuma ya pazia!
Haishangazi yalishaanza makelele ya baadhi ya vigogo kuishambulia PSRS kwa kutumia kisingizio cha mapungufu yake ili kupenyeza agenda ya taasisi kuajiri wenyewe!
Tayari baadhi ya mawaziri na wabunge walishaanza kuandaa mazingira kwa kutaka waliojitolea kupewa kipaumbele!! Lakini mbaya zaidi si tu hizi taasisi zinaridhika kwa kuajiri zenyewe, lakini zimeenda mbali zaidi na kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote kwenye ajira. Tayari walishaweka watu wao bila ushindani na kuwapa mikataba na sasa wanataka kuwathibitisha.
Hii haikubaliki. Ndio maana tunamwomba Rais Samia alikemee hili kwa nguvu zote, vinginevyo Watanzania wataamini kuwa UBAGUZI HUU UNA BARAKA ZA RAIS!
Ninaamini NSSF huenda wanazo nyingi zaidi, na hizi nafasi 392 za mwanzo ni za kupimia kina cha maji tu. Wakifanikiwa hapo huenda hata matangazo ya kazi kwenye tovuti yao wakaacha kuyatoa, wakawa wanatangaziana tu kwenye magroup yao ya Whatsaap. Sehemu ya tangazo lao hilo hapo chini:
INTERNAL VACANCY ANNOUNCEMENTNational Social Security Fund (NSSF) as part of our commitment to encourage growth anddevelopment within the Fund, we are excited to announce 392 internal job opportunities available for all Fund’s employees with specific task contracts. Only candidates who are inspecific task contract term within the Fund should apply.
Naomba watanzania tulipinge jambo hili kwa nguvu zetu zote, vinginevyo hii nchi itakuwa na matabaka ya WATWANA na WATAWALA. Kama huna mtu huko juu hutakuwa na nafasi ya kupenya hata kama uwezo na sifa unazo.
Wakigoma kubadili msimamo niwaombe mawakili kuomba COURT INJUCTION kusimamisha mchakato huu wa ajira za ubaguzi, huku mkifungua kesi mahakamani kuwatetea watanzania walio wengi ambao hawana "Connection" na wanategemea kupata ajira kupitia ushindani wa wazi na wa haki kwa watanzania wote!
Utazidi kuumia sana amigo 😂😂, monday is blue kwa walio kwenye asali wewe endelea kubweka mitandaoniWe mseng£ ,hii mada sio thread ya kuleta uchoko , tunajadili vitu critical hapa .
Kabinue makalio yako kwenye thread za umbea huko
Kima wewe
🔧🔧🔧JENGA nchi inayotawaliwa na mifumo, na taasisi, na taratibu za kitawala na kisheria.
Kwa nini unarukia kwa Samia akuhurumie ??? What if she doesn't give a fvck ??? Samia kasema juzi Mtwara hana muda wa vidukuduku vyenu, mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa! Matatizo yako na mapambano yako na hali yako peleka kwa Mbunge! Ndio mentality ya Rais!
Una hakika gani kama Samia hana mentality hizi hizi za wakubwa wa NSSF ???
Samia ndio alisema hadharani mashirika yaajiri yenyewe, hata hajui na hajali kwa nini ajira zilirudishwa UTUMISHI. Kama alivyosema Dr. Nshala, Rais hajui Uchifu ulifutwa lini na kwa nini, yeye kaurudisha tu Uchifu ghafla bila maelezo, hajui historia ya nchi, haelewi, hajali!
Rais hakueleza serikali yake ita mitigate vipi athari za mashirika kuajiri yenyewe, she don't give a rats ass!!! Get a clue! Nenda mahakamani!
mbona hiki kiburi hamkua nacho kipindi cha JPM...JENGA nchi inayotawaliwa na mifumo, na taasisi, na taratibu za kitawala na kisheria.
Kwa nini unarukia kwa Samia akuhurumie ??? What if she doesn't give a fvck ??? Samia kasema juzi Mtwara hana muda wa vidukuduku vyenu, mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa! Matatizo yako na mapambano yako na hali yako peleka kwa Mbunge! Ndio mentality ya Rais!
Una hakika gani kama Samia hana mentality hizi hizi za wakubwa wa NSSF ???
Samia ndio alisema hadharani mashirika yaajiri yenyewe, hata hajui na hajali kwa nini ajira zilirudishwa UTUMISHI. Kama alivyosema Dr. Nshala, Rais hajui Uchifu ulifutwa lini na kwa nini, yeye kaurudisha tu Uchifu ghafla bila maelezo, hajui historia ya nchi, haelewi, hajali!
Rais hakueleza serikali yake ita mitigate vipi athari za mashirika kuajiri yenyewe, she don't give a rats ass!!! Get a clue! Nenda mahakamani!
Hajizungumzii yeye kama yeye!! tunazungumzia mchakato wa haki kkwa wote, siyo lazima apate yeye, lakini atakayepata atakuwa amepata kwa haki!! Mbona PSRS watu wamnapata nafasi kwenye taasisi mbalimbali bila connection yoyote? Hicho ndicho tunachokipigania!!Hivi kwa akili zako hata wangetangaza nafasi kwa uwazi unadhani ungepata...?
Ni kwa watu wanaotegemewa kwenye serikali yake watende haki kinyume chake hawatendi haki!! Inabidi aingilie kati vinginevyo watamwangusha!!
actually hata, hao waliojitolea humo humo NSSF hizo nafasi 392 haziwatoshi,Haiingii akilini NSSF wamepata wapi huu ujeuri wa kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote ili kuajiri wateule wao tu waliopewa nafasi kinyemela ya mikataba na kwa gia ya "kujitolea". Lazima nyuma yake kuna vigogo vinasukuma hii agenda nyuma ya pazia!
Haishangazi yalishaanza makelele ya baadhi ya vigogo kuishambulia PSRS kwa kutumia kisingizio cha mapungufu yake ili kupenyeza agenda ya taasisi kuajiri wenyewe!
Tayari baadhi ya mawaziri na wabunge walishaanza kuandaa mazingira kwa kutaka waliojitolea kupewa kipaumbele!! Lakini mbaya zaidi si tu hizi taasisi zinaridhika kwa kuajiri zenyewe, lakini zimeenda mbali zaidi na kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote kwenye ajira. Tayari walishaweka watu wao bila ushindani na kuwapa mikataba na sasa wanataka kuwathibitisha.
Hii haikubaliki. Ndio maana tunamwomba Rais Samia alikemee hili kwa nguvu zote, vinginevyo Watanzania wataamini kuwa UBAGUZI HUU UNA BARAKA ZA RAIS!
Ninaamini NSSF huenda wanazo nyingi zaidi, na hizi nafasi 392 za mwanzo ni za kupimia kina cha maji tu. Wakifanikiwa hapo huenda hata matangazo ya kazi kwenye tovuti yao wakaacha kuyatoa, wakawa wanatangaziana tu kwenye magroup yao ya Whatsaap. Sehemu ya tangazo lao hilo hapo chini:
INTERNAL VACANCY ANNOUNCEMENTNational Social Security Fund (NSSF) as part of our commitment to encourage growth anddevelopment within the Fund, we are excited to announce 392 internal job opportunities available for all Fund’s employees with specific task contracts. Only candidates who are inspecific task contract term within the Fund should apply.
Naomba watanzania tulipinge jambo hili kwa nguvu zetu zote, vinginevyo hii nchi itakuwa na matabaka ya WATWANA na WATAWALA. Kama huna mtu huko juu hutakuwa na nafasi ya kupenya hata kama uwezo na sifa unazo.
Wakigoma kubadili msimamo niwaombe mawakili kuomba COURT INJUCTION kusimamisha mchakato huu wa ajira za ubaguzi, huku mkifungua kesi mahakamani kuwatetea watanzania walio wengi ambao hawana "Connection" na wanategemea kupata ajira kupitia ushindani wa wazi na wa haki kwa watanzania wote!
Sasa na kwa kupitia ili hao hao ndo wanaomungusha kama kwa sisi wananchi Tu wametusaliti kwa yeye je, na yeye ndo anamamlaka ya kulimaliza ili, Raisi wetu naomba uliingilie ili Kati hawa hawa watu hawana Nia nzuri na wewe.JENGA nchi inayotawaliwa na mifumo, na taasisi, na taratibu za kitawala na kisheria.
Kwa nini unarukia kwa Samia akuhurumie ??? What if she doesn't give a fvck ??? Samia kasema juzi Mtwara hana muda wa vidukuduku vyenu, mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa! Matatizo yako na mapambano yako na hali yako peleka kwa Mbunge! Ndio mentality ya Rais!
Una hakika gani kama Samia hana mentality hizi hizi za wakubwa wa NSSF ???
Samia ndio alisema hadharani mashirika yaajiri yenyewe, hata hajui na hajali kwa nini ajira zilirudishwa UTUMISHI. Kama alivyosema Dr. Nshala, Rais hajui Uchifu ulifutwa lini na kwa nini, yeye kaurudisha tu Uchifu ghafla bila maelezo, hajui historia ya nchi, haelewi, hajali!
Rais hakueleza serikali yake ita mitigate vipi athari za mashirika kuajiri yenyewe, she don't give a rats ass!!! Get a clue! Nenda mahakamani!
Unauhakika gani huko psrs hakuna urasimu..? Saivi ni kuangalia unamjua nani kama ndugu zako hawapo kwenye system ndo hivyo tena poleeeHajizungumzii yeye kama yeye!! tunazungumzia mchakato wa haki kkwa wote, siyo lazima apate yeye, lakini atakayepata atakuwa amepata kwa haki!! Mbona PSRS watu wamnapata nafasi kwenye taasisi mbalimbali bila connection yoyote? Hicho ndicho tunachokipigania!!
Kwa asilimia 99.9% PSRS hakuna urasimu wadau mbalimbali wamelamba asali na wanatoa ushuhuda umu hawakua na connection yeyote na wapo kweny mapipa ya asaliUnauhakika gani huko psrs hakuna urasimu..? Saivi ni kuangalia unamjua nani kama ndugu zako hawapo kwenye system ndo hivyo tena poleee